Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Nyerere kuwakataa Waisrael alikuwa na maana kubwa leo hii tunawakaribisha nchini kwa mikono miwili sijui kwa sababu gani, kutoelewa au ushabiki.
Hawa jamaa ni wabaguzi na wabinafsi wanaojiona ni watu bora kuliko kiumbe yeyote duniani.
Wakiishi mahali popote hupenda kukaa juu ya sheria na kujihusisha na uovu wowote unaujua wewe ili mradi waendelee kuwepo katika nafasi ya juu.
Hawana asili ya kufuata sheria,hujihusisha na magenge ya uovu na hata Mungu hawamjui, hata Yesu hawamjui,nashangaa watu wamepandikizwa imani kuwa hawa ni watu wema sijui imekuwaje!
 
Sie watanzania bado sana jamani hata tutokwe povu weee tunajichochea hasira tu. Ubinadamu wetu sie ni level ya chini sana ni haki yao mataifa yalostaarabika kutuogopa. Hao wanaokayaliwa hapo kwenye hiyo clip na wasudan lkn mi najua hata afrika inawakataa sana wasomali na tanzania ikiwemo cha ajabu kipi?.
Lazima tuelewe kwamba hatubaguliwi kwasababu ya rangi ila akili na mitazamo yetu duni sana. Huyo myahudi anasikika akisema "we dont wants you COWARDS" hakusema africans. Sie waafrika kweli ni cowards, wachafu,wavivu,wanafiki hii ipo waz hata hapahapa kwetu
 
Inasifika kwa kilimo cha bustani za nyanya na ufugaji wa kuku wa nyama,
 
Wewe lofa wa kisukuma,wenzio siyo wakristo kama unavyodhani,na wapo kwa sababu ya marekani tu,ka wilaya kale kazungukwe na mashababi bila msaada wa EU na amerika ?
Kama wanategemea msaada toka EU, kwann Israel wanaweza kufanya chochote na hakunai wa kumkemea..?!
 
Shukrani kwa elimu.

Kiboko ya hawa jamaa alikuwa Hitler, aliwachoma moto uchi vitoto vya Israel..
8597f39b9719da796e6a6812eb53f81c.jpg

Tena kiboko kabisa hapo akiwa kwa juu akikicheck kikosi cha maangamizi
 
Israel ni taifa gandamizi linalopewa jeuri na marekani maana wamarekani wanafaidika na hawa watu katika suala la kudhibiti mashariki ya kati na uporaji wa mafuta ya waarab hivo hata bajeti ya ulinzi ya Israel mmarekani anatoa kila mwaka
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndio Taifa lenye mashoga wengi duniani,,,katika wanaume kumi,,,basi watatu mapunga
 
Wajerumani walidhani wayahudi ni maadui zao The holocaust is not monocausal.
kwanza lazima tujue kuwa ukristo ni ant-judaism na ulaya yote hii ilitambulika sio tu ujerumani na austria na iikumbukwe wayahudi walikuwa wachache sana europe so they had lot to suffer wayahudi walikuwa hawana nchi, na walikuwa masikini kazi walizoruhusiwa kufanya ilikuwa banking and trading wote tunajua hivyo.

Kipindi kile cha french revolution na napoleonic war ujerumani walikuwa mashabiki wa napoleon na nchi nyingi zilizokuwa shabiki wa napoleon zilikuwa ni nchi za kidikteta baadae Germany, Austria,Spain,Portugal vile vile.

Wayahudi waliipenda hii idea watu wakawaona kuwa wako wrong side ikumbukwe napoleonic war pia ilikuwa ni ideological war.

To fight the French ideologie, you other alterative ideologies rise up. An ideology against the french revolutionaries became christianity. na hapa sasa ukristo ukawa more conservative than it was before. Especially the german protestants.

Ideology nyingine against the French was the idea of "Volk" - au tunaweza iita people - vs. nation. ambayo ilikuwa ina biologic background, excluding the yews. walivyopewa haki zao karne ya 19 ilkawa balaa waliendelea balaa. wakaenda na mazingira na ukuaji wa teknolojia kwa sababu ya akili zao . ikawafanya jamii za ulaya wawe jealous and anxious. wakaunda theory yao ya Darwin .

Mbaya zaidi wayahudi wakawa katika nchi nyingi ni politically leftwing. mfano mdogo tu ujeurmani Karl Marx was jewish, na wengine wasocial democrats walikuwa jewish. upande mwingine, makapitalist wengi walikuwa wayahudi. upeo wao ukawa ni influence, mfano Sigmund Freud na Albert Einstein. baadhi ya watu waliwaidentify wayahudi na modernity. na modernity ina bright side and a dark side ikumbukwe ikawafanya wayahudi kwa wajerumani wawe ni a symbol of the dark side of modernity.kama nilivyosema mwanzo wayahudi prefered left wing or d emocratic parties.

Baada ya WW1, the rightwing parties in Germany walisema wamesalitiwa na left wing parties hasa hasa wayahudi.

Ujerumani baada ya ww1 walikuwa na muunganiko wa ukristo na antjudaisim wivu kwa socialdarinism ukawaganda kupoteza vita na kusambaratika kwa idea ya VOLK chuki kwa wayahudi ikawajaa na tukiangalia mapinduzi ya vita za napolepnic watu walipigana wenyewe kama nchi vita kipindi kicho haikuwa ni vita za wafalme na maadui zao kama enzi za kina ceasar watu waliopitiwa na ideologie ya volk watu wote walipigana
men, woman, children, all became the enemy which is to fight.

Warfare katika ideologie ya nchi ilisambaa na haikuwa tena against army au against enemy, ikawa against civilians nchi nzima au watu wote kwa hiyo mifano yote hapo kama maandamano ya Atlanta of the Union army mauaji ya kimbari ya Armenians in WWI. kambi za mateso za waingereza kule buerwar, mabomu mijini kama (Guernica, Coventry, Dresden, Hiroshima) etc.

Wanationalsocialists waliita hii the battle of Verdun. ambayo ilitokea February and December 1916 about 750000 french and german soldiers walikufa hapa.

Kwa namna hii Germans regarded the jewish as the enemy, and the enemy is to exterminate.

Ndio maana kilichofuatia hapa ni kuwachinja na hitler aliwachinja kweli wengi wao aliwachinjia kijiji cha sobibor, Poland ambapo kulikuwa na extermination camp pale
Tanzania tuna watu wengi wenye uwezo wa kuchanganua mambo.you are one of them but I wonder why Tanzania is still in the state of terrible poverty and national backwardness? Mimi nakupongeza sana kwa knowledge uliyonayo!
 
Hittler hakuwauwa waIsrael bali aliwauwa wayahudi maana wakati huo hakukua na nchi inayoitwa Israel. Nchi ya Israel imeundwa 1948 pamoja na Indonesia kama sikosei
 
Hittler hakuwauwa waIsrael bali aliwauwa wayahudi maana wakati huo hakukua na nchi inayoitwa Israel. Nchi ya Israel imeundwa 1948 pamoja na Indonesia kama sikosei
Unaweza kuua nchi kweli!!?? mikelele kila kukicha kwamba mmeonewa, acha JPM akaze tu maana hakuna namna.
 
Back
Top Bottom