Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Nini tena ,Rafiki niambie nimekosea wapi tena?Hahaaaahaaa!!ila wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena ,Rafiki niambie nimekosea wapi tena?Hahaaaahaaa!!ila wewe
Hapana rafiki...weye wala vichwa vya kuku au miguu!!Nini tena ,Rafiki niambie nimekosea wapi tena?
Aseeh hayo madude hapana.[emoji2] [emoji2] [emoji2] kaka Ely...bwana!!hilo ndo life La uswaziii
Hahahaaaa....Mimi sili utumbo na kichwa tu baasiAseeh hayo madude hapana.
Mboga tamu sana hiyo, mara ya kwanza nimeila pale mnazi mmoja (rikky hotel) yani kila nikifika pale menu yangu ni ugali+msusa.
Kweli tuna maisha ya shida mdogo wangu lakini kula utumbo wa kuku? Mmmh..[emoji2] [emoji2] [emoji2] kaka Ely...bwana!!hilo ndo life La uswaziii
Mimi nakula utumbo wa kuku, kule msasani maandazi road nikipitagaHapana rafiki...weye wala vichwa vya kuku au miguu!!
We Sista du ,wakishua huwezi kula hivi unaumwa tumboHahahaaaa....Mimi sili utumbo na kichwa tu baasi
Hahaaaahaaa!!!wanauza fungu 200 au 300 mpk 500...miguu mmoja 150..kichwa 150...watu wa pwani hawapendi mboga za majani wanapenda sana ushombo ushombo yaani wako radhi wale dagaa wa buku kuliko kunnua tembele la La 300..Kweli tuna maisha ya shida mdogo wangu lakini kula utumbo wa kuku? Mmmh..
Inawezena tatizo ni uwasilishaji ila Kuelewa nako ni kipaji after all.Hii thread mmeibaka tu, sijasema kupretend wasukuma tunasema mashikolo mageni, yani hujawahi kuingia labda hotel nzuri ndo unapelekwa sasa kwa mara ya kwanza hujui vitu unapambana vipi na ushamba?! Umezoea kuoga na kopo hizo jacuzzi unafanyaje? Inaletwa menu pale siju maize, garnished with soy nini nini huko kumbe makande ila haujui....ndo nlichokimaanisha
😀😀😀😀Inawezena tatizo ni uwasilishaji ila Kuelewa nako ni kipaji after all.
Kuna mshikaji alitokaga huko Marangu kitambo sasa si unajua vyoo na mabafu ya town jamaa akawa anaoga na kujisugulia ile brash ya kusugulia sink la choo kwa muda kama wa mwezi ivi mpaka alipogundua anachokifanya sio sahihi
Hii alikuja kutuhadithia mwenyewe huku akijicheka, kila mtu ni mshamba katika kipindi flani cha maisha yake hahahaha
Wee chikunde utaniaibisha bhana.Chikunde vipi tena? Isijekuwa ndo umeghairi kunipeleka airport sijui ipo ipo?
Daah unafyonza ule ubongo[emoji15] [emoji15] [emoji15]Teh unang'ata tu mifupa na kufyonza
Hahhaha mimi wa kukufanyia hivyo kweli?Wee chikunde utaniaibisha bhana.
Ila unanikwepa bana, hadi nimehisi hivyo sasa, manake.....duuh!!
Nasubiri uje unitoe out we msukumaShualina,
Kwani kula kwa mkono ni ushamba/ jambo la kiswazi?
Mbona hata huko kwingine watu wa kada zote hula kwa kutumia mikono!
Hakuna ubaya wowote ule kwa mtu kula kwa kutumia mikono yake.
Kwanza ndo moja ya kazi za mikono.
Na wala si ushamba.
Ushamba ni kushikilia dhana potofu kwamba kula kwa kutumia mikono ni ushamba.
Nasubiri uje unitoe out we msukuma
teh...teh..teh...Kweli niwe mboga 12 halafu uma na kisu viniaibishe? Haiwezekani
Aibu ya nini sasa? Kwani kushika uma na mkono wa kulia ni dhambi au kunaubaya wowote?Alafu unapaswa muelewe kwamba,
Si lazima kutumia uma na kisu kwenye kula,
Huo ni utamaduni wa kizungu, na asilimia kubwa hizi hotel watalii ni wazungu,
Kama wewe ni Mwafrika au Arabs ni utamaduni kula kwa mikono yako.
Nakumbuka wkt nafanya field TFDA, tulienda kukagua Capetown fish market, baada ya ukaguzi tukaletewa hayo mambo, pemben kulikuwa na wakorea.
Walikuwa wanatumia mikono kula na wala si hayo mavitu, sisi ndo tulikuwa twajishaua.
Mtu kisu kashika mkono wa kushoto, umma mkono wa kulia, ilikuwa aibu tu mezani, kuku anakatwa hakatiki, mara kutelezaaa, mtu anakula huku macho yamemtoka kama samaki, hasira kibaooo
Hahahaha
Aibuu!!