Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Mboga tamu sana hiyo, mara ya kwanza nimeila pale mnazi mmoja (rikky hotel) yani kila nikifika pale menu yangu ni ugali+msusa.

Nimeitamani inabidi niile na ugali wa mhogo mchana huu
 
Kweli tuna maisha ya shida mdogo wangu lakini kula utumbo wa kuku? Mmmh..
Hahaaaahaaa!!!wanauza fungu 200 au 300 mpk 500...miguu mmoja 150..kichwa 150...watu wa pwani hawapendi mboga za majani wanapenda sana ushombo ushombo yaani wako radhi wale dagaa wa buku kuliko kunnua tembele la La 300..
Halafu kula tembele kwa watu wa pwani wanaona umefulia..yani
 
Siwez ficha haiba yangu nakula vile navyotaka kula haijalishi ni offer au nanunua yanini kujinyima uhuru
 
Hii thread mmeibaka tu, sijasema kupretend wasukuma tunasema mashikolo mageni, yani hujawahi kuingia labda hotel nzuri ndo unapelekwa sasa kwa mara ya kwanza hujui vitu unapambana vipi na ushamba?! Umezoea kuoga na kopo hizo jacuzzi unafanyaje? Inaletwa menu pale siju maize, garnished with soy nini nini huko kumbe makande ila haujui....ndo nlichokimaanisha
Inawezena tatizo ni uwasilishaji ila Kuelewa nako ni kipaji after all.

Kuna mshikaji alitokaga huko Marangu kitambo sasa si unajua vyoo na mabafu ya town jamaa akawa anaoga na kujisugulia ile brash ya kusugulia sink la choo kwa muda kama wa mwezi ivi mpaka alipogundua anachokifanya sio sahihi

Hii alikuja kutuhadithia mwenyewe huku akijicheka, kila mtu ni mshamba katika kipindi flani cha maisha yake hahahaha
 
Inawezena tatizo ni uwasilishaji ila Kuelewa nako ni kipaji after all.

Kuna mshikaji alitokaga huko Marangu kitambo sasa si unajua vyoo na mabafu ya town jamaa akawa anaoga na kujisugulia ile brash ya kusugulia sink la choo kwa muda kama wa mwezi ivi mpaka alipogundua anachokifanya sio sahihi

Hii alikuja kutuhadithia mwenyewe huku akijicheka, kila mtu ni mshamba katika kipindi flani cha maisha yake hahahaha
😀😀😀😀
 
Shualina,

Kwani kula kwa mkono ni ushamba/ jambo la kiswazi?

Mbona hata huko kwingine watu wa kada zote hula kwa kutumia mikono!

Hakuna ubaya wowote ule kwa mtu kula kwa kutumia mikono yake.

Kwanza ndo moja ya kazi za mikono.

Na wala si ushamba.

Ushamba ni kushikilia dhana potofu kwamba kula kwa kutumia mikono ni ushamba.
Nasubiri uje unitoe out we msukuma
 
Alafu unapaswa muelewe kwamba,
Si lazima kutumia uma na kisu kwenye kula,
Huo ni utamaduni wa kizungu, na asilimia kubwa hizi hotel watalii ni wazungu,

Kama wewe ni Mwafrika au Arabs ni utamaduni kula kwa mikono yako.

Nakumbuka wkt nafanya field TFDA, tulienda kukagua Capetown fish market, baada ya ukaguzi tukaletewa hayo mambo, pemben kulikuwa na wakorea.

Walikuwa wanatumia mikono kula na wala si hayo mavitu, sisi ndo tulikuwa twajishaua.

Mtu kisu kashika mkono wa kushoto, umma mkono wa kulia, ilikuwa aibu tu mezani, kuku anakatwa hakatiki, mara kutelezaaa, mtu anakula huku macho yamemtoka kama samaki, hasira kibaooo

Hahahaha
Aibuu!!
Aibu ya nini sasa? Kwani kushika uma na mkono wa kulia ni dhambi au kunaubaya wowote?
 
Back
Top Bottom