Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kumkosea kuku au samaki siwezi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kumkosea kuku au samaki siwezi kabisa.
Ngoja nikatafute mwendelezo [emoji23][emoji23][emoji23].
Mimi kitu kilichonishinda ni kujivunga. Ukinitoa out sehemu za heshima sijui za uma, vijiti, visu, na nini sijui[emoji23][emoji23] naweka kando!!!!
Sema Mimi Baby mwelewa wakati mwingine ananishauri tuu "usitumie hivyo tutaaibika" na pia huwa ananifasiria menu [emoji23][emoji23][emoji23]maana sishindwi kuagiza uji nikijua kitu cha maana.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii thread mmeibaka tu, sijasema kupretend wasukuma tunasema mashikolo mageni, yani hujawahi kuingia labda hotel nzuri ndo unapelekwa sasa kwa mara ya kwanza hujui vitu unapambana vipi na ushamba?! Umezoea kuoga na kopo hizo jacuzzi unafanyaje? Inaletwa menu pale siju maize, garnished with soy nini nini huko kumbe makande ila haujui....ndo nlichokimaanishaSipendi demu pretender hata siku moja nikigundua tu nakupiga chini mara moja
Kwahy watu wameleta uchikunde ktk Uzi? HahahahaHii thread mmeibaka tu, sijasema kupretend wasukuma tunasema mashikolo mageni, yani hujawahi kuingia labda hotel nzuri ndo unapelekwa sasa kwa mara ya kwanza hujui vitu unapambana vipi na ushamba?! Umezoea kuoga na kopo hizo jacuzzi unafanyaje? Inaletwa menu pale siju maize, garnished with soy nini nini huko kumbe makande ila haujui....ndo nlichokimaanisha
Uchikunde umetawala mada imegeuka kichwa chini miguu juu tehKwahy watu wameleta uchikunde ktk Uzi? Hahahaha
HahahahaUchikunde umetawala mada imegeuka kichwa chini miguu juu teh
MamboMi bwana sinaga aibu nakula vzr we nishangae tu utajua mwenyewe
Safi shikamoooMambo
Marhabaa hujamboSafi shikamooo
Sijambo kaka..mzima!!!Marhabaa hujambo
Safi shikamooo
Hahahaha, mzima unataka kuninyima nn tena kuniita kakaSijambo kaka..mzima!!!
Hahaaa...hapana!!!Hahahaha, mzima unataka kuninyima nn tena kuniita kaka