Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ila...Hahaaa...hapana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila...Hahaaa...hapana!!!
Nini tena mtu chakeIla...
Basi bana ,nisije onekana msumbufuNini tena mtu chake
Hahaaa!kua na amani tuBasi bana ,nisije onekana msumbufu
Sawa ,Aman ipoHahaaa!kua na amani tu
Utumbo wa kuku nimekuja kuona dar wanaula,ila toka nizaliwe kwenye familia yetu utumbo wa kuku huwa unatupwa mpaka keshoUtumbo wa kuku? daah bora nipike uji.
Ni heri nikala mboga za majani na maharage siku 7 za wiki kuliko kula utumbo wa kuku. Ili mtu aambiwe kala nyama au?Mkuu vinaliwa tena sana tu.
Ikifika mida ya jioni unaona watu wanapita na masinia yamejaa miguu, utumbo na vipapatio kutokea Kisutu huko.
Hio ndio misosi yetu, ukipata na tembele ukakazia na maji ya Kandoro ya kutosha kinachofuata ni kuvua tu shati na kulala kibarazani kupata upepo safi kabisa huku unahemea juuu juu.
Kweli kabisa, utumbo wa kuku??Utumbo wa kuku? daah bora nipike uji.
Mboga tamu sana hiyo, mara ya kwanza nimeila pale mnazi mmoja (rikky hotel) yani kila nikifika pale menu yangu ni ugali+msusa.Msusa ni majani ya maboga
Jumlisha vichwa na miguu..Kweli kabisa, utumbo wa kuku??
Heri nikala maharage+mboga ya majani siku saba za wiki, utumbo, kichwa na miguu sili kwa kweli.Jumlisha vichwa na miguu..
Mkuu dagaa mchele Na hombo au mchicha wa Nazi ni vitamu asikwambie MTU. Mimi ikifika ijumaa natafuta zile dagaa ili jumamosi nijilie ugali Kwa raha. Jumamosi kula Nyama sijui samaki nakulaga basi tuu ila roho yangu iko Kwa dagaa mchele
Hahaaaahaaa!!ila weweSawa ,Aman ipo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaka uswazi huko mbona sana tu!!mnoo kuna watu wamaishi kwa kuuza utumbo na miguu ya kuku ujue...vinauzwa balaaNi heri nikala mboga za majani na maharage siku 7 za wiki kuliko kula utumbo wa kuku. Ili mtu aambiwe kala nyama au?
Ndio utumbo,miguu na vichwaa!!!Utumbo wa kuku? daah bora nipike uji.
Watu wa kanda ya ziwa hawali utumbo na miguu niliona nilivyokua huko...huku pwani twalaaaAhahahahahah hapana aisee mi sio wa kishua lakin hivyo vimiguuu hapana,wewe je unakula?
Utumbo na kichwa sili vingine hapo twendeee!![emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Sipendi miguu ya kuku,kichwa,shingo,mgongo
Migui sitakagi hata kuiona nikiagiza kuku wanaitupa kabisa na kichwa sitaki viona
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kaka Ely...bwana!!hilo ndo life La uswaziiiHeri nikala maharage+mboga ya majani siku saba za wiki, utumbo, kichwa na miguu sili kwa kweli.
Jumlisha vichwa na miguu..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapo ndo napokupendagaa!!!Mimi wala sivungi. Nakula Kwa mkono Kwa raha zangu. Mambo ya kuigjza unakula hushibi haihusu. Sana Sana nikiona haya ntakula zangu chips Na firigisi au mishkaki ya samaki najua hamna mbwembwe za kisu. Ila kuku Na samaki nakula Na mkono wala sioni aibu. Tumbo langu mwenyewe aibu ya kazi gani sasa. Unakuta MTU anakula Kwa kisu anahangaika. Nawaambiaga embu nawa mikono uenjoy Chakula hakijaletwa bure hiki.