Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Kina Chikunde wanapoenda swimming pool ilhali hawajui kuogelea,hili ndio pozi lao
FB_IMG_1538298726863.jpg
 
Mkuu vinaliwa tena sana tu.

Ikifika mida ya jioni unaona watu wanapita na masinia yamejaa miguu, utumbo na vipapatio kutokea Kisutu huko.

Hio ndio misosi yetu, ukipata na tembele ukakazia na maji ya Kandoro ya kutosha kinachofuata ni kuvua tu shati na kulala kibarazani kupata upepo safi kabisa huku unahemea juuu juu.
Ni heri nikala mboga za majani na maharage siku 7 za wiki kuliko kula utumbo wa kuku. Ili mtu aambiwe kala nyama au?
 
Mkuu dagaa mchele Na hombo au mchicha wa Nazi ni vitamu asikwambie MTU. Mimi ikifika ijumaa natafuta zile dagaa ili jumamosi nijilie ugali Kwa raha. Jumamosi kula Nyama sijui samaki nakulaga basi tuu ila roho yangu iko Kwa dagaa mchele

Dagaa mchele ninini?
 
Ni heri nikala mboga za majani na maharage siku 7 za wiki kuliko kula utumbo wa kuku. Ili mtu aambiwe kala nyama au?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kaka uswazi huko mbona sana tu!!mnoo kuna watu wamaishi kwa kuuza utumbo na miguu ya kuku ujue...vinauzwa balaa
 
Sipendi miguu ya kuku,kichwa,shingo,mgongo
Migui sitakagi hata kuiona nikiagiza kuku wanaitupa kabisa na kichwa sitaki viona
Utumbo na kichwa sili vingine hapo twendeee!![emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Mimi wala sivungi. Nakula Kwa mkono Kwa raha zangu. Mambo ya kuigjza unakula hushibi haihusu. Sana Sana nikiona haya ntakula zangu chips Na firigisi au mishkaki ya samaki najua hamna mbwembwe za kisu. Ila kuku Na samaki nakula Na mkono wala sioni aibu. Tumbo langu mwenyewe aibu ya kazi gani sasa. Unakuta MTU anakula Kwa kisu anahangaika. Nawaambiaga embu nawa mikono uenjoy Chakula hakijaletwa bure hiki.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hapo ndo napokupendagaa!!!
 
Back
Top Bottom