Unaepuka vipi kuwa "Chikunde" ukiwa unadate na mtu mambo safi?

Kuna mtu fudenge alikuwa ananiita Chikundeee.... my Chikundeee twende samaki samaki leo..... Nami namjibu okee baby Chikundeee. Hehehehehhee Chikundeee.
 
daah nimecheka sana
 
Ndio nilikua nakaa maeneo hayo karibu na kanisa pale mbele kidogo kuna bar nimeisahau jina hahaha aisee ni noma sana ila saizi niko zangu mbezi beach huku napunga upepo
He he he he
Mkuu na wewe wa tungi??

Unapajua mwembe radu??
 
Story yako imenikumbusha mbali sana ..
Nilikuwa nasimamia harusi ya jamaa yangu ... walifunga ndoa Dar then wakaleta harusi nyumbani ... wakanambia niwatafutie sehemu ya kupumzika .. nikawachukulia chumba Hill Front hotel .. jioni wakaomba wapelekwe sehemu yenye samaki wa ukweli tukaenda villa park; huko tulikaa wanne tukipanga namna ya kwenda kijijini kesho yake kwa ajili ya sherehe.
Alikuwepo mdada ambaye alikuwa ameandaliwa kwa ajili ya kuwa mpambe wa bibi harusi, huku mimi nikiwa mpambe wa bwana harusi ...
Huyo dada alikuwa mrembo kweli kweli hadi nilikuwa nasita kumsemesha .. lakini baada ya kumaliza kula samaki wa kuchoma .. akaomba maji ya kunawa .. dah! nilimshangaa kitendo cha kujifuta maji kwenye nguo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…