Shetani yuko CHADEMA wanaohubiri umwagaji damu. Mtamwaga damu ya Lissu, wake zenu na watoto wenu mwaka huuCCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani yuko CHADEMA wanaohubiri umwagaji damu. Mtamwaga damu ya Lissu, wake zenu na watoto wenu mwaka huuCCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani
Sijui kwanini ila nikisikia mtu anaisifia CCM nakerekwa roho vibaya mno
UDOM walipigwa mkwara kuwa lazima wahudhurieMsiache kuwalipa Kama 2015 bado wakata viuno wanadai,watu wanafata viuno sera mpya hamna zaidi ya marudio ya sgr, flyover, ndege, mabeberu
ukweli mchungu...kingine huwa mnalazimisha baadhi ya makundi kama Machinga kuhudhuria mikutano yenu...hili nimeshuhudia Dodoma!.Hoja za kitoto sana !
Wewe kaa ukiamini hivyo hadi october 28 uone muziki wake sandukuni.mikutano ya ccm bila wasanii na malori si lolote si chochote.
Mnatia huruma, malori mnayo tatizo watu wa kuwabeba ndo hawapo, unaona hilo lori hapo juzi Kawe.mikutano ya ccm bila wasanii na malori si lolote si chochote.
Wasanii hawapigi kura?Wasanii wanafata nini bila wasanii jukwaani atabaki bashiru na slow pekee
Na saccos ya kanda ile vipi? Kumbe wagombea karibu wote wanatoka kanda ileee!! Nilikuwa sijui mleta mada amenifumbua macho!CCM ni chama cha kishetani na hovyo kilichosalia Duniani
Niliposoma tu hii para wala sikuwa na haja ya kuendelea kusoma ugolo.! Yaani CHADEMA ilikuwa na mbunge Kinondoni? Ilikuwa na mbunge Segerea? Ilikuwa na mbunge Temeke?1.wabunge wake wengi waliunga juhudi - Takribani wabunge watatu machachari wa kinondoni ,segerea na temeke walivua magwanda wakavaa ukijani hii iliwaboa wanachadema wapigakura walioteseka kuwapigania hasa kule segere mpaka sasa kuna vijana ni waremavu na wautara hata hakwenda kuwaona hospital na badala yake akakimbilia ccm ,ulikuwa ni usaliti wa kipuuzi sana hapa wanawajibu na msubirie kwenye sanduku la kura
Kinachofurahisha zaidi ni kwamba bashiru kwa kinywa chake alisema hawatotumia wasanii uchaguzi huuu...masanii yalivyo mazombi yamejikusanya yoooote IPO Dodoma..wanashindana kujipendekezamikutano ya ccm bila wasanii na malori si lolote si chochote.
Msiache kuwalipa Kama 2015 bado wakata viuno wanadai,watu wanafata viuno sera mpya hamna zaidi ya marudio ya sgr, flyover, ndege, mabeberu
Kadanganye watoto...bure kwa lipi?bashiru alilalamika hadharani kwamba mnawalipa hela nyingiIssue ilikuwa gharama, sasa wasanii wamejitolea kumuunga mkono kipenzi cha watanzania utawazuia? wamejitolea free of charge.
Sasa wamejitolea wanamnadi JPM bure utawazuia vipi wakati wanajigharamia?Kadanganye watoto...bure kwa lipi?bashiru alilalamika hadharani kwamba mnawalipa hela nyingi
Hicho ndiyo chama dume kwenye mkutano wa CCM unaweza kujitangaza kitaifa kwanza mikutano yao lazima iwe live. Sasa uende kwenye Saccos ya Chadema hakuna watu wa kutosha wala mkutano hauonyeshwi live!! Utakuwa na akili kweli kwenda kuonyesha show kwenye mkutano wa saccos??!!Kinachofurahisha zaidi ni kwamba bashiru kwa kinywa chake alisema hawatotumia wasanii uchaguzi huuu...masanii yalivyo mazombi yamejikusanya yoooote IPO Dodoma..wanashindana kujipendekeza
Ndhani kalizingatia vema wengi wanaobaki nyumabani ni wanawake wazee na wstaarabu amabao wote wataipigia CCMMhu! Hakuna point hapo. Kuna watu wanapiga kura ingawa hawajawahi kuwa kwenye hizo kampeni. Je, kwa hawa unasemaje? Kura ni tofauti na kuona watu wanavyofurika kusikiliza. Kuna watu hawahudhurii kampeni, lakini wanajua watampigia nani kura. Je, kwenye utafiti wako, umelizingatia hilo?