ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Wasanii waje CDM?kwenye kampeni?ney wa mitego walimfanyia Nini?Hoja za kitoto sana !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii waje CDM?kwenye kampeni?ney wa mitego walimfanyia Nini?Hoja za kitoto sana !
Kakudanganya nani wewe! Kama mmeshindwa kuwatumia wasanii ni ninyi CDM ! Wasanii ni sehemu ya hamasa na burudani! Kampeni ni pamoja na burudani !.. Achaneneni na mziki wa CCM hamuuwezi !
Nadhani nyie wana chadema huwa mnafikiri kwa kutumia mikun..... Jambo la muhimu katika mikutano ya kampeni ni watu waje kwa wingi ili wasikilize sera kisha waamue. Hivyo kutumia mbinu zozote ili watu wengi wahudhurie katika mkutano wako ni swala la muhimu sana.
Tatizo mbinu za vita ya kisiasa hamzijui. Hivyo mnabakia kubeza hata vitu vya msingi katika vita ya kisiasa. Kenge nyie
CCM siyo wajinga kutumia wasanii. Watu wanajaa kuangalia wasanii sawa, lakini hawa hawa watu wanapata nafasi ya kusikiliza hoja za wanaccm. Wapo amabo wanatoka pale na mawazo mapya ya kuipigia kura CCM. Kama hujui hilo basi kila siku matabaki kusema mnaibiwa kura. CCM wana sera ya kutoridhika na wanachama au wafuasi walionao, wao kila siku wanalenga kuongeza watu wapya ikiwemo kwa kutumia njia mbaimbali ikiwemo hiyo ya wasanii. Jiulize kwa nini Cocacola au Pepsi wanatumia nguvu kubwa kujitangaza wakati tayari jina lao katika biashara ni kubwa?mikutano ya ccm bila wasanii na malori si lolote si chochote.
jamaa anajiendea tu kama gari bovu..Kala matapishi yake huyu!
Najiepusha kuwatukana uvccm kwa kuwalamba block.Kakudanganya nani wewe! Kama mmeshindwa kuwatumia wasanii ni ninyi CDM ! Wasanii ni sehemu ya hamasa na burudani! Kampeni ni pamoja na burudani !.. Achaneneni na mziki wa CCM hamuuwezi !
Mhu! Hakuna point hapo. Kuna watu wanapiga kura ingawa hawajawahi kuwa kwenye hizo kampeni. Je, kwa hawa unasemaje? Kura ni tofauti na kuona watu wanavyofurika kusikiliza. Kuna watu hawahudhurii kampeni, lakini wanajua watampigia nani kura. Je, kwenye utafiti wako, umelizingatia hilo?
Dah...akili zao za hovyo sana...tokea 2015 hadi sasa wamelipwa zaidi shilingi bilioni 52.....tena zimetokana na kodi zetu sisi wananchi...halafu bado wanataka nitoke Kimanzichana hadi Mbagala kwa nauli yangu kuja kuwasikiliza.... kwa sasa mtatusamehe tuNadhani nyie wana chadema huwa mnafikiri kwa kutumia mikun..... Jambo la muhimu katika mikutano ya kampeni ni watu waje kwa wingi ili wasikilize sera kisha waamue. Hivyo kutumia mbinu zozote ili watu wengi wahudhurie katika mkutano wako ni swala la muhimu sana.
Tatizo mbinu za vita ya kisiasa hamzijui. Hivyo mnabakia kubeza hata vitu vya msingi katika vita ya kisiasa. Kenge nyie
Hadi trump alitumia wasaniiKakudanganya nani wewe! Kama mmeshindwa kuwatumia wasanii ni ninyi CDM ! Wasanii ni sehemu ya hamasa na burudani! Kampeni ni pamoja na burudani !.. Achaneneni na mziki wa CCM hamuuwezi !
Kwa upande wangu, kila chama cha siasa kina namna yake ya kupata vyanzo vya mapato, provided wanachokifanya hakivunji sheria za nchi. Kuchangishana pesa kwa wale wanaotaka na wanaoweza kufanya hivyo ni tofauti na 'ndugu anayeishi kwa kuomba'. Kama kuchangishana pesa ni aibu basi kwa msingi huo huo hata michango ya ada za vyama, harusi, msiba etc ni aibu pia.Ila lazima tukubalieni, ukuiona ndugu yako anaishi kwa kuomba lazima usikitike. Chadema kuishi kwa kuomba muda huu ni mfadhaiko kwa wanachama na washabiki.
Wananchi wanajua ni kiongozi gani watamchagua kuwe na kampeni au kusiwe na kampeni. Hata hivyo, kampeni ni fursa ya kupata ufafanuzi au kuelewa zaidi sera zinazonadiwa na chama cha siasa kwa wananchi. Mwaka 2015 wananchi wa Ukerewe waliamua kabla ya uchaguzi kuwa kura za Rais wangempa JPM na Lowassa za mbunge na baadhi ya madiwani na ndivyo ilivyokuwa. Kwa hiyo, kwa watu wengi tayari wanaenda kwenye kampeni au hata kama hawaendi lakini wanajua kura zao watampa nani. Kwa msingi huo, wananchi wawe wengi kwenye kampeni au wachache, it doesn't matter. After all, siyo wote wanaoenda kwenye kampeni ni wapiga kura na siyo wote wasioenda kwenye kampeni siyo wapiga kura. Kuna wanaoenda kwenye kampeni na ni wapiga kura na kuna wengine si wapiga kura. Hata kwa wale wanaobaki nyumbani - baadhi ni wapiga kura na baadhi si wapiga kura.Ndhani kalizingatia vema wengi wanaobaki nyumabani ni wanawake wazee na wstaarabu amabao wote wataipigia CCM
Hawana muda wa kwenda kwenye majukwaa.
Umekosea. Mimi nina tango mama Lissu
Kwa upande wangu, kila chama cha siasa kina namna yake ya kupata vyanzo vya mapato, provided wanachokifanya hakivunji sheria za nchi. Kuchangishana pesa kwa wale wanaotaka na wanaoweza kufanya hivyo ni tofauti na 'ndugu anayeishi kwa kuomba'. Kama kuchangishana pesa ni aibu basi kwa msingi huo huo hata michango ya ada za vyama, harusi, msiba etc ni aibu pia.
Yanapingana na msemo Hakuna kupeleka maendeleo kwa wapinzaniMaendeleo hayana vyama!