Uchaguzi 2020 Unafahamu kwanini CHADEMA imekataliwa Dar?

Uchaguzi 2020 Unafahamu kwanini CHADEMA imekataliwa Dar?

Kuomba kwa kutembeza debe na kofia ni kutaka msaada kwa yeyote yule atakaye kuonea huruma. Sasa ndio Chadema imefikia hapo? Tumechangisha kwa muda mtindo tofauti kwa muda mrefu lakini sio mtinda kwa hali hii wa kudhalilisha.

Tunakokwenda inaweza kuwa kwa shida sana, kwa kuwa vyanzo vya kuaminika vimepotea na kutafuta vyanzo vipya siku zote sio rahisi kama ambavyo wengi wanavyo weza dhani.

Kama zaidi ya shs million 740 za hakika kila mwezi hazikufanya kazi ya maana, inatakiwa tujue huko mbele chama kitapoteza uwezo wa kusambaza injili ya Chadema kabisa.

Kipimo cha joto cha Chadema huwa huku Kilimanjaro. Hali ni tofauti sana tangu nijiunge Chadema mwaka 1994, utasikia uwongo mwingi mitandaoni lakini tusijenge imani ya matokeo kuwa kama tunavyoaminishwa, tukipata mbunge hata mmoja Kilimanjaro yote lazima tuinue mikono juu.

Wengi wanajaribu kumwelezea Magufuli kama alivyo lakini huku wananchi wameamua kuishi nae na sio Tundu Lissu. Hata DC wa Hai tunamponda sana huku mitandaoni lakini nakuhakikishia wakazi wa huku Hai wana muona ni shujaa wao.

Kama angekuwa ni mtu wa Hai ( Mmachame ) shuguli ya Mbowe ingekuwa imeeisha. This time around there is a big mis match between Hai residents and non residents of Hai who originally from Hai, na wanaoishi Hai wao ndio wapiga kur. Influence ya Non residents this time ni ndogo sanaaaaa na kama haipo.
Hujitambui mzee, Kinondoni na Temeke walikuwa wabunge wa CUF na Segerea UKAWA walimsimamisha Mtatiro alishindwa na mgombea wa CCM.

Usiropoke jambo usilolijua.
 
Tangu uzinduzi wa kampain ya uchaguzi mkuu chama kikuu cha upinzania kinachomalizia muda wake kimeonekana kupoteza mvuto na mahudhurio hafifu mbagala, kawe na leo segerea kimepata watoto na wanachama wachache hivyo kuzua taharuki nini kimekikumba chama hiki kilichokuwa kinajaza watu sana .hizi ni nondo kuhusu hili:

1. Wabunge wake wengi waliunga juhudi - Takribani wabunge watatu machachari wa kinondoni ,segerea na temeke walivua magwanda wakavaa ukijani hii iliwaboa wanachadema wapigakura walioteseka kuwapigania hasa kule segere mpaka sasa kuna vijana ni waremavu na wautara hata hakwenda kuwaona hospital na badala yake akakimbilia ccm ,ulikuwa ni usaliti wa kipuuzi sana hapa wanawajibu na msubirie kwenye sanduku la kura

2. Wagombea wengi ni watu kutoka kanda moja ya kaskazini na sio wazawa wa pwani ni watu wakuja hivyo inaonesha umimi na ukanda ndani ya chama .asia msangi.mdee.lukumay.john mrema,Boniface jacob,poul ataly na huyu ndugu yake mbowe mliomweka kinondoni .hii imeibua hasira kwa wazawa na kuona kuwa mnataka kuleta ukanda .

3. Kuwepo wasiwasi wa vurumai mikutanoni -kuna wasiwasi mkubwa hapa dar tangu vurugu za kinondoni na polis kuuwa mwanafunzi kumekuwa na wasiwasi katika shugli za chadema kuwa zimekaa kijinai hivyo saa yoyote kinaweza kunuka .

4.Hakuna jipya ni mwendelezo wa story ambazo hapa dar zilizungumzwa sana kipindi cha tukio la lisu kushambuliwa so watu wanashangaa kuone mwendelezo hii inamaana hii single imechuja ni bora chama kikajielekeza kwenye hoja za maendeleo badala ya tukio la kushambuliwa lisu


5. Ujio wa ACT wazalendo hii imefufua wanakaCUF baada ya maalimu kuhamia ACT na kusomba wafuasi hasa mbagala.temeke.ilala na mjini kati ,maana maeneo mengi ya pwani ni CUF ilivyofubaa na sasa wameona ACT ndio alternative yao kwa sasa .

6. Siasa za utapeli na kuchangishana pesa kwa lazima kila mgombea kuanzia wa udiwani anaomba pesa huku nyama vidogo tena vizivyo na ruzuku hawaombi pesa vyama kana chauma.act.adc na n.k vinajitegemea inakuwaje chadema chama kikubwa chenye rukuzu kubwa kwa muda mrefu kiombe ombe pese

USSR
Acha ufala... CDM imekataliwa vipi? CDM wamegawa maeneo matatu Kawe, Zakhem na Tabata so wangefanya Mara moja pasingetosha... Hiyo ni science huwezi kuelewa wewe kilaza WA LB7
 
Mhu! Hakuna point hapo. Kuna watu wanapiga kura ingawa hawajawahi kuwa kwenye hizo kampeni. Je, kwa hawa unasemaje? Kura ni tofauti na kuona watu wanavyofurika kusikiliza. Kuna watu hawahudhurii kampeni, lakini wanajua watampigia nani kura. Je, kwenye utafiti wako, umelizingatia hilo?
MATAGA hawawezi kujua hilo
 
Tangu uzinduzi wa kampain ya uchaguzi mkuu chama kikuu cha upinzania kinachomalizia muda wake kimeonekana kupoteza mvuto na mahudhurio hafifu mbagala, kawe na leo segerea kimepata watoto na wanachama wachache hivyo kuzua taharuki nini kimekikumba chama hiki kilichokuwa kinajaza watu sana .hizi ni nondo kuhusu hili:

1. Wabunge wake wengi waliunga juhudi - Takribani wabunge watatu machachari wa kinondoni ,segerea na temeke walivua magwanda wakavaa ukijani hii iliwaboa wanachadema wapigakura walioteseka kuwapigania hasa kule segere mpaka sasa kuna vijana ni waremavu na wautara hata hakwenda kuwaona hospital na badala yake akakimbilia ccm ,ulikuwa ni usaliti wa kipuuzi sana hapa wanawajibu na msubirie kwenye sanduku la kura

2. Wagombea wengi ni watu kutoka kanda moja ya kaskazini na sio wazawa wa pwani ni watu wakuja hivyo inaonesha umimi na ukanda ndani ya chama .asia msangi.mdee.lukumay.john mrema,Boniface jacob,poul ataly na huyu ndugu yake mbowe mliomweka kinondoni .hii imeibua hasira kwa wazawa na kuona kuwa mnataka kuleta ukanda .

3. Kuwepo wasiwasi wa vurumai mikutanoni -kuna wasiwasi mkubwa hapa dar tangu vurugu za kinondoni na polis kuuwa mwanafunzi kumekuwa na wasiwasi katika shugli za chadema kuwa zimekaa kijinai hivyo saa yoyote kinaweza kunuka .

4.Hakuna jipya ni mwendelezo wa story ambazo hapa dar zilizungumzwa sana kipindi cha tukio la lisu kushambuliwa so watu wanashangaa kuone mwendelezo hii inamaana hii single imechuja ni bora chama kikajielekeza kwenye hoja za maendeleo badala ya tukio la kushambuliwa lisu


5. Ujio wa ACT wazalendo hii imefufua wanakaCUF baada ya maalimu kuhamia ACT na kusomba wafuasi hasa mbagala.temeke.ilala na mjini kati ,maana maeneo mengi ya pwani ni CUF ilivyofubaa na sasa wameona ACT ndio alternative yao kwa sasa .

6. Siasa za utapeli na kuchangishana pesa kwa lazima kila mgombea kuanzia wa udiwani anaomba pesa huku nyama vidogo tena vizivyo na ruzuku hawaombi pesa vyama kana chauma.act.adc na n.k vinajitegemea inakuwaje chadema chama kikubwa chenye rukuzu kubwa kwa muda mrefu kiombe ombe pese

USSR
Wewe boya, Wabunge wa Kinondoni, Segerea na Temeke walikuwa wa Chadema? Maccm mnakuwaga mafala sana yan
 
Tangu uzinduzi wa kampain ya uchaguzi mkuu chama kikuu cha upinzania kinachomalizia muda wake kimeonekana kupoteza mvuto na mahudhurio hafifu mbagala, kawe na leo segerea kimepata watoto na wanachama wachache hivyo kuzua taharuki nini kimekikumba chama hiki kilichokuwa kinajaza watu sana .hizi ni nondo kuhusu hili:

1. Wabunge wake wengi waliunga juhudi - Takribani wabunge watatu machachari wa kinondoni ,segerea na temeke walivua magwanda wakavaa ukijani hii iliwaboa wanachadema wapigakura walioteseka kuwapigania hasa kule segere mpaka sasa kuna vijana ni waremavu na wautara hata hakwenda kuwaona hospital na badala yake akakimbilia ccm ,ulikuwa ni usaliti wa kipuuzi sana hapa wanawajibu na msubirie kwenye sanduku la kura

2. Wagombea wengi ni watu kutoka kanda moja ya kaskazini na sio wazawa wa pwani ni watu wakuja hivyo inaonesha umimi na ukanda ndani ya chama .asia msangi.mdee.lukumay.john mrema,Boniface jacob,poul ataly na huyu ndugu yake mbowe mliomweka kinondoni .hii imeibua hasira kwa wazawa na kuona kuwa mnataka kuleta ukanda .

3. Kuwepo wasiwasi wa vurumai mikutanoni -kuna wasiwasi mkubwa hapa dar tangu vurugu za kinondoni na polis kuuwa mwanafunzi kumekuwa na wasiwasi katika shugli za chadema kuwa zimekaa kijinai hivyo saa yoyote kinaweza kunuka .

4.Hakuna jipya ni mwendelezo wa story ambazo hapa dar zilizungumzwa sana kipindi cha tukio la lisu kushambuliwa so watu wanashangaa kuone mwendelezo hii inamaana hii single imechuja ni bora chama kikajielekeza kwenye hoja za maendeleo badala ya tukio la kushambuliwa lisu


5. Ujio wa ACT wazalendo hii imefufua wanakaCUF baada ya maalimu kuhamia ACT na kusomba wafuasi hasa mbagala.temeke.ilala na mjini kati ,maana maeneo mengi ya pwani ni CUF ilivyofubaa na sasa wameona ACT ndio alternative yao kwa sasa .

6. Siasa za utapeli na kuchangishana pesa kwa lazima kila mgombea kuanzia wa udiwani anaomba pesa huku nyama vidogo tena vizivyo na ruzuku hawaombi pesa vyama kana chauma.act.adc na n.k vinajitegemea inakuwaje chadema chama kikubwa chenye rukuzu kubwa kwa muda mrefu kiombe ombe pese

USSR
KUKUWEKA SAWA KIDOGO SEGEREA HAIJAWAHI KUWA NA MBUNGE WA UPINZANI ACHILIA MBALI CHADEMA;
KUHUSU UZAWA JIMBO LA SEGEREA NI KAMA JIMBO LA WAHAMIAJI WENGI KUTOKA BARA WAZAWA AMA WENYEJI WA PWANI NI KAMA HAMNA NA WALIOPO NI ASILIMIA NDOGO SANA HAIFIKI HATA 2% WENGI WALIUZA MAENEO YAO WAKAENDA MAENEO YA NJE YA MJI
 
Tangu uzinduzi wa kampain ya uchaguzi mkuu chama kikuu cha upinzania kinachomalizia muda wake kimeonekana kupoteza mvuto na mahudhurio hafifu mbagala, kawe na leo segerea kimepata watoto na wanachama wachache hivyo kuzua taharuki nini kimekikumba chama hiki kilichokuwa kinajaza watu sana .hizi ni nondo kuhusu hili:

1. Wabunge wake wengi waliunga juhudi - Takribani wabunge watatu machachari wa kinondoni ,segerea na temeke walivua magwanda wakavaa ukijani hii iliwaboa wanachadema wapigakura walioteseka kuwapigania hasa kule segere mpaka sasa kuna vijana ni waremavu na wautara hata hakwenda kuwaona hospital na badala yake akakimbilia ccm ,ulikuwa ni usaliti wa kipuuzi sana hapa wanawajibu na msubirie kwenye sanduku la kura

2. Wagombea wengi ni watu kutoka kanda moja ya kaskazini na sio wazawa wa pwani ni watu wakuja hivyo inaonesha umimi na ukanda ndani ya chama .asia msangi.mdee.lukumay.john mrema,Boniface jacob,poul ataly na huyu ndugu yake mbowe mliomweka kinondoni .hii imeibua hasira kwa wazawa na kuona kuwa mnataka kuleta ukanda .

3. Kuwepo wasiwasi wa vurumai mikutanoni -kuna wasiwasi mkubwa hapa dar tangu vurugu za kinondoni na polis kuuwa mwanafunzi kumekuwa na wasiwasi katika shugli za chadema kuwa zimekaa kijinai hivyo saa yoyote kinaweza kunuka .

4.Hakuna jipya ni mwendelezo wa story ambazo hapa dar zilizungumzwa sana kipindi cha tukio la lisu kushambuliwa so watu wanashangaa kuone mwendelezo hii inamaana hii single imechuja ni bora chama kikajielekeza kwenye hoja za maendeleo badala ya tukio la kushambuliwa lisu


5. Ujio wa ACT wazalendo hii imefufua wanakaCUF baada ya maalimu kuhamia ACT na kusomba wafuasi hasa mbagala.temeke.ilala na mjini kati ,maana maeneo mengi ya pwani ni CUF ilivyofubaa na sasa wameona ACT ndio alternative yao kwa sasa .

6. Siasa za utapeli na kuchangishana pesa kwa lazima kila mgombea kuanzia wa udiwani anaomba pesa huku nyama vidogo tena vizivyo na ruzuku hawaombi pesa vyama kana chauma.act.adc na n.k vinajitegemea inakuwaje chadema chama kikubwa chenye rukuzu kubwa kwa muda mrefu kiombe ombe pese

USSR
Uongozi wa juu wa CDM umeshashtukiwa kwa jinsi ulivyo na mikakati mingi ya kibinafsi.

Bosi mkubwa kabisa anayo sifa ya kuwatumia watu na baadae kuwatelekeza, na hiyo tabia imewakera wengi.
 
Kakudanganya nani wewe! Kama mmeshindwa kuwatumia wasanii ni ninyi CDM ! Wasanii ni sehemu ya hamasa na burudani! Kampeni ni pamoja na burudani !.. Achaneneni na mziki wa CCM hamuuwezi !
Akilo ndogo hiyo, tumchague mtu kwa sababu ya hamasa ya wasanii 200! Wewe si bure.
 
Hujitambui mzee, Kinondoni na Temeke walikuwa wabunge wa CUF na Segerea UKAWA walimsimamisha Mtatiro alishindwa na mgombea wa CCM.

Usiropoke jambo usilolijua.

Anaye jitambua ni yule hata akiambiwa uwongo anakubali ? Tupingana na CCM kwa kitu gani kama na sisi tunakuwa wapokeaji hata mambo ya kipumbavu?
 
Mtahangaika sana , iteni ndege , Madaraja , Stiegersgorge , Standard Gauge na flyover zije ziwasikilize halafu ziwapigie kura nyie malimbukeni wa kihutu .
 
Back
Top Bottom