Uchaguzi 2020 Unafahamu kwanini CHADEMA imekataliwa Dar?

Hujitambui mzee, Kinondoni na Temeke walikuwa wabunge wa CUF na Segerea UKAWA walimsimamisha Mtatiro alishindwa na mgombea wa CCM.

Usiropoke jambo usilolijua.
 
Mikutano ya CCM bila wasanii na malori si lolote si chochote.
Mlori yapo na wasanii wapo ..wachukueni tuone nyomi lenu.
Mnabwabwaja tu.kama watz wanapenda hayo mambo kwanin nyie hamfanyi.
 
Acha ufala... CDM imekataliwa vipi? CDM wamegawa maeneo matatu Kawe, Zakhem na Tabata so wangefanya Mara moja pasingetosha... Hiyo ni science huwezi kuelewa wewe kilaza WA LB7
 
MATAGA hawawezi kujua hilo
 
Wewe boya, Wabunge wa Kinondoni, Segerea na Temeke walikuwa wa Chadema? Maccm mnakuwaga mafala sana yan
 
KUKUWEKA SAWA KIDOGO SEGEREA HAIJAWAHI KUWA NA MBUNGE WA UPINZANI ACHILIA MBALI CHADEMA;
KUHUSU UZAWA JIMBO LA SEGEREA NI KAMA JIMBO LA WAHAMIAJI WENGI KUTOKA BARA WAZAWA AMA WENYEJI WA PWANI NI KAMA HAMNA NA WALIOPO NI ASILIMIA NDOGO SANA HAIFIKI HATA 2% WENGI WALIUZA MAENEO YAO WAKAENDA MAENEO YA NJE YA MJI
 
Uongozi wa juu wa CDM umeshashtukiwa kwa jinsi ulivyo na mikakati mingi ya kibinafsi.

Bosi mkubwa kabisa anayo sifa ya kuwatumia watu na baadae kuwatelekeza, na hiyo tabia imewakera wengi.
 
Kakudanganya nani wewe! Kama mmeshindwa kuwatumia wasanii ni ninyi CDM ! Wasanii ni sehemu ya hamasa na burudani! Kampeni ni pamoja na burudani !.. Achaneneni na mziki wa CCM hamuuwezi !
Akilo ndogo hiyo, tumchague mtu kwa sababu ya hamasa ya wasanii 200! Wewe si bure.
 
Hujitambui mzee, Kinondoni na Temeke walikuwa wabunge wa CUF na Segerea UKAWA walimsimamisha Mtatiro alishindwa na mgombea wa CCM.

Usiropoke jambo usilolijua.

Anaye jitambua ni yule hata akiambiwa uwongo anakubali ? Tupingana na CCM kwa kitu gani kama na sisi tunakuwa wapokeaji hata mambo ya kipumbavu?
 
Mtahangaika sana , iteni ndege , Madaraja , Stiegersgorge , Standard Gauge na flyover zije ziwasikilize halafu ziwapigie kura nyie malimbukeni wa kihutu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…