Roman Empire
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 620
- 1,418
Ww kama unafuga mbwa anakunya bandan yakawanye uone kama atalala... Atasimama kutwa akichoka atakuwa analia kulalamika banda chafu.... Mbwa ni mnyama msafi Sana japo anakula vilivyooza....Hahaha nimeipenda iyo, eti uyatawanye
Salaam wakuu, kwanza niwatakie mapumziko mema ya sikukuu ya Maulid.
Kama title inavyojieleza nataka tushare na wewe mbinu mbalimbali za kumfanya mbwa wako kuwa mkali zaidi na kuogofya wezi na vibaka mtaani pengine hata wageni wakifika getini waulize "mbwa mmemfunga?[emoji28] [emoji28]
Kwa kuanzia binafsi nimetumia mbinu tofauti tofauti hasa kwa mbwa wa kienyeji kama ifuatavyo:
1.Kumvutisha msheshe aka ganja na hapa unamwekea pia kwenye msosi.
2.Kumwekea nyigu kwenye banda wanamuuma kwa muda mrefu akitoka halo ni shida.
Kwa wafugaji wa mbwa nawe share hapa unafanya nini mbwa wako kuwa mkali zaidi ili kubadilishana uzoefu.
Aksante
Umesema vizuri ila naomba nikusahihishe kidogo. Pitbull/Rottweiler sio wakorofi shida mbwa unavyo muanzisha ndivyo atakavyo kuwa. Rott ni mbwa anaweza changanyika na mbwa yeyote kikubwa uanze nae bado mdogo na uwafanyie maelewano wanakuwa pamoja bila ya shida kabisa. Me nafuga gsd na maltes na hawana shida,na mwenzangu anafuga Rott na gsd hakuna shidaSio kila mbwa ni mkali... Yani umeokota mbwa njian unatarajia awe mkali?? Sio tu unafuga mbwa kwa ili uonekane umefuga...
Google hawa wanyama...
1. German shefield..huyu ni common sana na hata wanajeshi wanawatumia, pia ni rahisi kuwafindisha.
View attachment 642311
View attachment 642308 View attachment 642309 View attachment 642310
2. Rottweiler. Hawa ni balaa tupu... Ukijichanganya kwenye anga zao wanaweza kukusambaratisha hata wewe mmiliki!!
View attachment 642317 View attachment 642318
3. Bull dog. Huyu nae ni balaa ingine, ana uwezo wa kuvuta hata gari dogo mwenyewe, ni mbwa mwenye nguvu sana!!
View attachment 642324 View attachment 642323 View attachment 642322
Rottweiler na pitbull hawapendi kuchanganywa na species nyingine, na ukijaribu kuwamix na mbwa wengine jua dhoruba itayotokea hapo wenda hata wewe utakimbia kwa uoga!!
Hapana kukata mkia sio suhisho la kuleta ukali kwa mbwa,1. Mbwa inategemeana na ukoo alio toka,2. Mbwa inategemeana na alivyo anzishwa tokea mdogo,3.kuna mafunzo na wafundishaji maalumu wanafunza Mbwa na anakuwa sawa kwa kadiri ya matumizi unayoyahitajiMkuu hata mimi nilitaka niseme hivyo hivyo
No African Basenja. Ridgback ni mwingine kabisa mkuuWengi sana ni ridgeback
Kumbuka mbwa anahitaji socialism kwakuwa ukimweka mbali na watu kila mara huwa anakuwa anahasira kila mara hata amri hasikii, mbwa ni lazima aandaliwe kwa kadiri ya matumizi unayoyahitajisiri ya mbwa ni kumweka mbali na watu usimfanye awazooee watu mfungie bandani usk mtoe !mie bangi simpi ila mkali hatar
Mbwa wako wanaumri gani?mchana huwa unawafungulia kujisaidia?unawasafishia banda mara ngapi kwa siku?unawaogeshaje mbwa wako?unawapa chakula ndani ya banda au nnje?nijibu hapo kwanza ndipo tutajua upungufu upo wapi plzzMimi Mbwa wangu ni wakali ila wanajisaidia bandani kwa kweli wananikera sana, maana kila saa nne usiku nawafungulia mpk saa 12 ahsubuhi lakini bado wanajisaidia bandani na ni wakubwa sijui wataalamu mnashauri vp hapo ?
Umesema sawa kabisa nakupongeza sana kwa ufafanuzi wako mzuri,nakuomba tuendelee kuwaelimisha wenzetu juu ya ufugaji wa Mbwa,ubarikiweDah mkuu wewe hufai kufuga hata kunguni! kwa nini unampa mateso na stress mbwa wako hivyo?
Hao wanyama wengine ni family zetu na unatakiwa u mtreat like a son or daughter you love ,huo wako ninujinga na upuuzi.
Baada ya kutoa povu naanza kukuelekeza.
Kabla hujaamua ku keep a dog lazina ujiulize unamtaka kwa ajili gani.
1.Kuna mbwa mshikaji tu
2.Kuna mbwa wa ulinzi.
Kuna mbwa wa kuongozea njia hasa kwa walemavu wasioona.
3.kuna mbwa wa kuwindia
4.Kuna mbwa wa kusaidia kuchunga.
Kwa kila hitaji hapo juu kuna different breed of dog to choose from but majority ya mbwa wa kienyeji ni hunting dogs yaani wao ile natural insticts yao ya uwindaji ipo juu sana kuliko hawa breeds kutoka nje kumlazimisha kuwa mlinzi maguvu ni kumuonea ila naturally mbwa yeyote akiona stranger eneo la kujidai lazima atachonga mdomo tu huo ni ulinzi tosha.
ukitaka mbwa mguvu kamua mahela vuta G-Shepherd,Rottweller ,Pitt bull or Terrier Bull na kadhalika na aina hizo lazima ukawa train nenda tu pale polisi kikos cha mbwa wata mtrain mbwa wako utalipia ararudi home full discipline and full maujuzi ya ku deal na vibaka.
Nafunga kwa kurudia tena pets are family and treat them with love and respect!
See ya!
Animal lover
Wanamiaka 2.5, mchana si wafungulii bali usiku tu saa nne, nawaogesha kila weekend, nawapa chakula nje ya banda.Mbwa wako wanaumri gani?mchana huwa unawafungulia kujisaidia?unawasafishia banda mara ngapi kwa siku?unawaogeshaje mbwa wako?unawapa chakula ndani ya banda au nnje?nijibu hapo kwanza ndipo tutajua upungufu upo wapi plzz
Ndugu hiyo shida wahi kumwona vet haraka iwezekanavyo,kwa kwenye mtandao haitibiki utampoteza huyo plzzMkuu Mbwa wangu kaishiwa nguvu na baada ya siku km 3 hvi alikuwa hali...nikaanza kumpa uji akawa anakunywa kabisa...SASa nimekuja gudua miguu ya nyuma haifanyi kazi na imevimba...inayofanya kazi ni ya Mbele tu.
Na sasa anakunywa uji bila shida ila pia upumuaji wake siyo wa kawaida..
Tatizo litakuwa ni nn kwa uzoefu wako??
Ni aina ya Golden retriever.
Kama upo dar mpeleke kwa dk sinare pale migombani st fastaMkuu Mbwa wangu kaishiwa nguvu na baada ya siku km 3 hvi alikuwa hali...nikaanza kumpa uji akawa anakunywa kabisa...SASa nimekuja gudua miguu ya nyuma haifanyi kazi na imevimba...inayofanya kazi ni ya Mbele tu.
Na sasa anakunywa uji bila shida ila pia upumuaji wake siyo wa kawaida..
Tatizo litakuwa ni nn kwa uzoefu wako??
Ni aina ya Golden retriever.
Ndugu hiyo sio parvo. Parvo anahara damu na achukuwi raund,huo ni ugonjwa huwa unawapata mbwa na akichelewa kuwaona vet atampotezaHuyo mtafute dakitari wa mbwa amekosa vitamini bila Shaka bado ni mdogo kiumri.. Kuna chanjo YA pavo uenda ikawa aujampatia.... Kiujumla mbwa inatakiwa hapate chanjo Kila baada YA miezi 3 minyoo na vitamini
Mkuu hata pit bull anafundishika shida wengi tunakariri niwakali asilia ila inategemeana na utakavyo muanza toka unapomchukiwa akiwa na miezi2. Hata Rott ni mtawala sana ila nae utakavyo anza nae ndivyo atakavyo kujaUsiwape bangi aiseee...mnaoshauri bangi hamjui kufuga mbwa..kidogo aliyesema kuwapikia Yale masega ya nyigu Yale sijui yana nini aiseee.pia inategemea na aina ya mbwa kama alivyosema mchangiaji hapo. Mbwa kama G.S ni mafunzo tuu ila hawa pitbull nashauri kama mtu hana uhakika sana na anachofanya asiwajaribu hawa .maana haya ni mabishi, yananguvu kuliko bahati mbaya hayana akili kwa maaana ya si wepesi kushika mafunzo muda wowote wanafanya mauaji heavy
Mbwa wa ulinzi ungependa kufuga mbwa gani?Mkuu samahani naomba nisaidie,mm natamani sana kufuga mbwa km mlinzi lkn tatizo naogopa sanaa mbwaaaa nn nifanye ili kukabiliana hii hali ili mwisho wa siku niweze kufugaa?
Mbwa wako wana umri gani?mbwa unaweza hata kumlisha mara 2 na akawa sawa kabisa kikubwa ni kufwata kiasi maalumu cha kumlisha mbwa,unga wa mahindi sio mzuri kwa mbwaWakiwa wawili itapendeza zaidi. Unawalisha kawaida tu ila hakikisha usiwape nyama mbishi na usiwabadilishie chombo cha kulia cha msingi tu viwe visafi. Mi nina order na butcher baadhi wananileteaga nyama kwenye kindoo naziweka kwenye mfuko then naweka kwenye fridge nakua nachomoa mfuko mmoja naichemsha nawapikia na ugali wanakula wanapotoka bandani usiku saa 2-4. Na ni mara moja tu kwa siku.
Unapo andaa bada uwe unaangalia sehemu nzuri na ukumbuke mbwa anahitaji hewa,anatakiwa akae mahali aweze kuangalia mazingira ya nyumba vizuri kwaajili ya ulizi,banda liwekewe sehemu ya kumwaga mikojo kwa nyuma ili isisimame ndaiShukranii sana mkuuu,nikirudi nitawaambia madogo waanze kuandaa banda tayari kwa mlinzi mpya[emoji3]
Ahsante
Kweli unahisi Mimi nimekariri hii ni fani yangu vet..hawa pitbull nimekuwa nao unadhi kwann pitbull hawatumiki zaid kwenye ulinzi na usalama kwa askari?Mkuu hata pit bull anafundishika shida wengi tunakariri niwakali asilia ila inategemeana na utakavyo muanza toka unapomchukiwa akiwa na miezi2. Hata Rott ni mtawala sana ila nae utakavyo anza nae ndivyo atakavyo kuja
1,mbwa usimwogeshe kila wiki ni kosa,2unapompa chakula nnje unapaswa umsimamie ukimzoesha inakuwa hatari akirushiwa chakula atakila,3mbwa hupashwi kumfungia bandani kutwa mbwa anapashwa kufanyishwa matembezi kila jioni akiwa ktk mkanda maalumu.3mbwa ukiwasikia wanalia bandani huku wakikwangua mlango ujuwe anataka kujisaidia na unapashwa kutenga muda mchana unawatoa na kuwazungusha kwa 15 dk na kumrudisha bandani akiuzoea huo muda hatajisaidia ndaniWanamiaka 2.5, mchana si wafungulii bali usiku tu saa nne, nawaogesha kila weekend, nawapa chakula nje ya banda.
Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
Ahsante sana, mbwa anaogeshwa vp?1,mbwa usimwogeshe kila wiki ni kosa,2unapompa chakula nnje unapaswa umsimamie ukimzoesha inakuwa hatari akirushiwa chakula atakila,3mbwa hupashwi kumfungia bandani kutwa mbwa anapashwa kufanyishwa matembezi kila jioni akiwa ktk mkanda maalumu.3mbwa ukiwasikia wanalia bandani huku wakikwangua mlango ujuwe anataka kujisaidia na unapashwa kutenga muda mchana unawatoa na kuwazungusha kwa 15 dk na kumrudisha bandani akiuzoea huo muda hatajisaidia ndani
Mkuu sijasema unakariri wala sijabisha ila kufwatana na ufugaji na maelezo ya.wataalamu na wakufunzi mbwa anajengwa tabia na mbwa anarithi tabia,hata me ni mfugaji wa mbwa mda mrefu natumai ni kuchanganya ujuzi ktk hiitasnia ili tuweze kusaidia wengine nao wafikie leo,sija pinga mawazo yako ina ninawenzangu wanafuga pitt na Rott na wamewaandaa vyema na wako vyema kabisaKweli unahisi Mimi nimekariri hii ni fani yangu vet..hawa pitbull nimekuwa nao unadhi kwann pitbull hawatumiki zaid kwenye ulinzi na usalama kwa askari?