Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Yamekuelea hayo uyasomayo?!Nasoma Biblia...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yamekuelea hayo uyasomayo?!Nasoma Biblia...
Kulia huko tumefananaNajifungia chumbani nalia weeeee mpk dukuduku linaisha. Sometimes naandika maumivu yangu kwenye Daftari
Just smoke a bluntHuwa napenda kuwa alone ili nilieeeeee.......mpka hasira zinapoa
Ila Mimi nikikasirika haswa hata km hasira km ikiisha huwa nakuwaga mpolee yaani unaweza ukadhani mpka baada ya siku 2,3 HIV ndio uchangamfu unrudi
Watoto wa kike mnapenda sana hii sijui kwa niniHuwa napenda kuwa alone ili nilieeeeee.......mpka hasira zinapoa
Ila Mimi nikikasirika haswa hata km hasira km ikiisha huwa nakuwaga mpolee yaani unaweza ukadhani mpka baada ya siku 2,3 HIV ndio uchangamfu unrudi
Safi hii itakuondosha na baadhi ya magonjwaNikikasirika huwa naingia u tube naweka earphones nasikiliza meditation musics
Nimekuwa nikifanya hivi tangu mwaka 2016..
Hii imenisadia na nimebadilika sn,hadi washkaji samtaimz hunitania Kwa kuniita mtakatifu[emoji23][emoji23] maana hata Jambo la kuchukiza kiasi gani nalichukulia poa sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app