Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ni kweli. Neno langu sio sheria pia tunatofautiana situations mbali mbali.lkn huu sio ushauri mzuri..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli. Neno langu sio sheria pia tunatofautiana situations mbali mbali.lkn huu sio ushauri mzuri..
Ndoa ina miaka mi 4 tuna mtoto mmoja, mwanzo nilikua nampenda ila kwasasa simfeel kabisa kutokana nahilo imebaki tu kama mzazi mwenzangu hata ile hali ya kumjali kama mume automatic inapotea kabisa na tunaishi pamoja dah!!Once a cheater,always a cheater.Mna mahusiano ya muda gani?mna watoto?je bado unampenda?kuwa makini asije kukuletea maradhi tu!
nahio ndio inanitokea kwasasa i dont care about him anymore,,lkn huu sio ushauri mzuri..
kama anavumilia baki na ampende kama ameshindwa bas amuache haondoke lkn sio kwa kubaki na kutojali..
Ni kawaida kwamba humjali ni kwasababu anakuumiza na hajali hisia zako na bado anaendelea kukuumiza.Wewe binaadamu mwenye moyo wa nyama kama yeye.Ndoa ina miaka mi 4 tuna mtoto mmoja, mwanzo nilikua nampenda ila kwasasa simfeel kabisa kutokana nahilo imebaki tu kama mzazi mwenzangu hata ile hali ya kumjali kama mume automatic inapotea kabisa na tunaishi pamoja dah!!
Afu sisi wengine tuna nini sasa....? woiii 😝Necha ni ya mwanaume
Kama anampenda ndo ajifunze kutokujali baadhi ya mambo la sivyo atakufa kwa pressure.lkn huu sio ushauri mzuri..
kama anavumilia baki na ampende kama ameshindwa bas amuache haondoke lkn sio kwa kubaki na kutojali..
Sijui chochote kuhusu ndoa ila usimuache wanaume wengi ni wasaliti, hujui nani sio na nani ndio. Pili una mtoto tiyari, nadhani nyuzi za hapa jukwaani unaziona hakuna atakayeamini yalikushinda wote watajua ulikosea wewe.Ndoa ina miaka mi 4 tuna mtoto mmoja, mwanzo nilikua nampenda ila kwasasa simfeel kabisa kutokana nahilo imebaki tu kama mzazi mwenzangu hata ile hali ya kumjali kama mume automatic inapotea kabisa na tunaishi pamoja dah!!
Hapana sijawahi mcheat na kati ya vitu ninavyojivunia na vilivyokamatisha kwake n ni unyumbaa aisee anajua kunivuruga kunako 6 kwa 6 na kati ya vitu nitavomis kwake ni mitii ila sijali tena hilo nikama nimepararaizi kihisiaPolee katika mahusiano yenu hukuwahi kumcheat? Au hata kuna na vudalili vya kucheat amabavo pengine aliweka kinyongo.
Vipi kuhusu huduma ya kindoa hukuwahi mkatalia pengine sababu ya uchovu then mwenzio akachukia ?.
Sijui chochote kuhusu ndoa ila usimuache wanaume wengi ni wasaliti, hujui nani sio na nani ndio. Pili una mtoto tiyari, nadhani nyuzi za hapa jukwaani unaziona hakuna atakayeamini yalikushinda wote watajua ulikosea wewe.
Kwani hatunzi familia, analala nje, anakufokea hakujali tena, hajutii wala kuwa guilty na matendo yake, hakuthamini tena? Cheating sio kwamba hakupendi, asingekupenda angefanya yote niliyouliza hapo. Kutoka nje ni wendawazimu wake ila moyo na amani iko kwa familia yake naamini hivo. Mrudishe kwenye himaya yako
Hi mkuu J!Fanya vile kama ulivyofanya mwanzoni wakati ulipombembeleza mwenzio kule kwenye viunga vya kanisani sijui, mpaka akakukubalia na kukupenda kuwa pamoja nawe kwa huzuni na furaha, hadi mauti itakapowatenganisha 🙂
Nakuona shetani ukiwa kaziniLabda uwe umededi ila kama still unapumua kaa chonjo!😅😅😅
nahio ndio inanitokea kwasasa i dont care about him anymore,,
Huenda anakucheat sababu humpi ushirikiano muwapo faragha. Samehe na timiza wajibu wako kwa mwenzio.Kwasasa sina hamu wala hisia kwa mwenza wangu tatizo ni ananivuruga na kunichanganya sana. Ananicheat mpaka najua sasa moyo umepondeka sana
Anaefurahia maumivu na kuleta mitizamo hasi kwenye maisha ya watu huyo ni shetani na inatakiwa apigwe mawe hadi kufa😂😂😂😂😂😂 nilikuwa sijui kama Extrovert ni shetani 🤣🤣🤣🤣
Kwani 7x70 imetimia😜!? Endelea kusamehe na kumpenda zaidi, vinginevyo jiandae kupandishwa cheo cha kuwa bimkubwa😜!Acha ujuaji wewe, ukifumaniwa wewe uliefumaniwa ndio hisia zinaisha kwa mwenzio eboo! My man cheated on me hii mara ya pili nimekuta evidensi kabisa.