KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ndio maana huwa inaniwia vigumu kuhukumu story za upande mmoja......kila mmoja ana play victim..........Bibie mumeo ashajua unae huyu mchepuko ndipo tatizo limeanzia hapo. Jitahidi uamue moja Kati ya mume na huyo mchepuko ili uwe na amani ya moyo.wakati mwingine story ya upande mmoja ni tamu Sana pole bibie.View attachment 1826134View attachment 1826135
UNAFIKI NA UBINAFSI NDIO KANSA INAYOZITAFUNA NDOA NYINGI ZA WAKATI HUU.....