Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

[emoji23][emoji23][emoji23] Mi nadhani necha ni ya mwanamke labda kama hamsomi maandiko, nyoka si alianza na Eva lakini au [emoji16]
Bro kumbe wee ni ME duuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siku zote nilijua mchuchumio
 
Sasa analalamika nini? Na mpaka anajinadi huku ana mchepuko na wanapendana! Kweli usihukumu upande mmoja kamwe!
Ndo wanawake zetu tufanyaje sasa ni kutumia akili tu kuishi nao.
Na hii ndo akili jamaa aliamua kuitumia yaani achepuke yeye isimuue mwanaume,
amechepuka mwanaume ndo eti inamuuma mwanamke.!!
 
Kwasasa sina hamu wala hisia kwa mwenza wangu tatizo ni ananivuruga na kunichanganya sana. Ananicheat mpaka najua sasa moyo umepondeka sana
Mwanaume ambae hachit itabidi umuumbe wa kwako,tumeumbwa kutamani
 
Ndo wanawake zetu tufanyaje sasa ni kutumia akili tu kuishi nao.
Na hii ndo akili jamaa aliamua kuitumia yaani achepuke yeye isimuue mwanaume,
amechepuka mwanaume ndo eti inamuuma mwanamke.!!
Yote ni effect ya kuchepuka kwake, ila nikitaka kuhalalisha kuchepuka nafsi inanisuta naupotezea huo mchepuko natulia tu, kuna muda nikitaka kuchepuka naona kabisa mume wangu kawazidi vitu vingi sana hivo sioni sababu ya kuhangaika nje ya ndoa
 
Bibie mumeo ashajua unae huyu mchepuko ndipo tatizo limeanzia hapo. Jitahidi uamue moja Kati ya mume na huyo mchepuko ili uwe na amani ya moyo.wakati mwingine story ya upande mmoja ni tamu Sana pole bibie.View attachment 1826134View attachment 1826135
Hii hawezi kuijibia sanasana hatoonekana tena hapa. Yeye kat0mbesh@ huko kwa x wake weeeee anaona raha tu, mumewe kachoka kaamua kulipiza matokeo yake mke anajifanya kuumizwa.

Bahati mbaya sana mwanamke anayet0mbesha nje ya ndoa yake jamii humchukulia ana tabia chafu na mbaya sana kuliko mwanaume.
 
Back
Top Bottom