Alishachepukaga tena kwa kujisifia kabisa ila anataka aonewe huruma😂😂😂Unahitaji utulivu mkubwa katika maamuzi yoyote kwa Sasa, usitumie hasira kukabiliana na hii changamoto, na usichepuke ukidhani ni tiba bali kuongeza majanga zaidi, pole sana
Akilipiza hataweza kusamehe. Atajikuta ananogewa kwa mtu mpyaNa wewe mlipize tu utashangaa umemsamehe.
😘😘😘😘Pole sijui hata nikushaurije maana maumivu ya kuchetiwa mmh, ila msamehe tu maisha yaendelee ila naye basi ajitahidi kuwa mstaarabu na ikiwezekana asikuoneshe macheatings yake
Nyie mkae kwa kutuliaAlaaah,. nature eee,
Kwahiyo mimi na wewe ndio hatuna nature??.woiii
Watu wana data zake aroooo hahahaha kumbe NAYE NI MCHEPUKAJIJF ni zaidi ya maktaba 😂😂😂
Arudi nyumbani muda anaotaka!!????Inaumiza sana mwenza anapokucheat wakati ww ukijiangalia hucheat hata aisee inauma iyo hapa ndo watu wanapo pelekea kiaribiana maisha sasa aisee kicheatiwa inauma sana nikishauri tuu.
Kwa kuwa amerudia makosa yale yale na ww bado unampenda chamsingi mlie buyu yani mkaushie mazima kuwa jeuri kuwa kiburi ulie pitiliza mfanyie na ww vituko vya kufa mtu usimfulie nguo usimpikie yani ww deal na watoto wako kama mnao mana huyo mume wako kashakuona ww mdhaifu.
Rudi nyumbani muda utakao ww yani onesha dharau izo mfanyie jeuri ya kufa mtu nakwambia baada ya muda utamuona akakaa sawa mwenyewe na hato cheat tena na akikaa sawa ndo rudisha sasa ule upendo wa zamani....muishi pamoja mulee watoto mfanye maisha uzuri wetu sisi wanaume tukicheat baada ya Muda tunarudi kwa wake zetu na kuwa watu wapya kabisa.....
Huyu demu kuna kipindi alikuwa na mchepuko ex wake! What i prolly think either alikanywa kisha alianza kumletea drama mumewe kama mjuavyo ma ex walivyo vyanzo vya migogoro...Jamaa aka scoot akaona sasa aanze kumpiga matukio rasmi maana mke unamwambia aachane na mambo ya kijinga hasikii!Polee katika mahusiano yenu hukuwahi kumcheat? Au hata kuna na vudalili vya kucheat amabavo pengine aliweka kinyongo.
Vipi kuhusu huduma ya kindoa hukuwahi mkatalia pengine sababu ya uchovu then mwenzio akachukia ?.
Hapo pagumu sasaAlishachepukaga tena kwa kujisifia kabisa ila anataka aonewe huruma😂😂😂
Si ndo inakuwa unasahau na kumpuuzaAkilipiza hataweza kusamehe. Atajikuta ananogewa kwa mtu mpya
Alihangaika😂😂😂Kibaya zaidi alianza kutafta hata pa kukojozwa.anyway hii ndoa iko na misukosuko mingi sio Kama tunamponda ila Bora Azial umeleta hata uzi shauri za watu zinakufanya utafakari wapi uishie na wapi uanzie.ila mama usiachie ndoa mwenyewe unajionea watu wanavotafuta waume hata humu jamvini.View attachment 1826231
Unanuka mdomo, unakuna kama beberu, husafishi maskio, hutumii hata lotion, pafyum, , in short huna mvuto, lazma arke na watorto wa mjini wanaopaka scrub, etcNa kuna wakati unakaa unajiuliza maswali hupati jibu, hivi inakuwaje mwanamke hacheat lakini kila ukiomba kutiana nae anakupa sababu ili tu usimfanye?
Ndiyo hivyoo, Maisha haya mafupi sana, na wewe chapa njeJesus unamjua nini?? nikweli anatoka na muuza baa aisee! dada akitoka kazini wanahamia club hadi asubuhi wanakuja nyumbani, nilikua nimetoka kikazi
Yaan wanaume wengine hata uishi nao vipi jamani umalaya ni hulka na asilimia 98 ya wanaume wana mwanamke zaidi ya mmoja, mwanamke kama hujazoea kuwa na wengi inatesa sana moyoni, anajikuta amekuwekea chuki ambayo haiishi, Kuna wakati huwa nawaza ivi mwenzangu ikitokea hata akatangulia mi nikiwa mzima ntapata hata chozi kweli🤣🤣🤣🤣🤣Kabisa Yani saivi tunaishi ilimradi tu, hata katika tendo ni kutamani mtu amalize tu atoke kunichosha mie sisisimki hata
Nampoteza wapi sasa mwanaume amuheshimu nini unataka afanye dawa ya moto ni moto isilotaka fanyiwa ww usije ukamfanyia mwenzako uyo jamaa kamumiza uyo mwanamke dawa ya yy kupona majeraha yake ni kuwa kiburi tuuu mwisho wa siku jamaa atakaa sawa tuu ila akimchekea uyo jamaa atamuumiza sana kwa mawazo na anaweza akafa kabla ya muda wake...Arudi nyumbani muda anaotaka!!????
We jamaa ni mwanaume kweli!!
Unampoteza Dada wa watu.
Kumbe dah yani uupuzi kaanza mwenyewe kumbe bac acha aumie tu...Huyu demu kuna kipindi alikuwa na mchepuko ex wake! What i prolly think either alikanywa kisha alianza kumletea drama mumewe kama mjuavyo ma ex walivyo vyanzo vya migogoro...Jamaa aka scoot akaona sasa aanze kumpiga matukio rasmi maana mke unamwambia aachane na mambo ya kijinga hasikii!
Huenda ex wake washakubaliana waachane ila huku mume gari ishawaka sasa! Sahizi anatamani mume aoneshe care ila hilo halipo
Heshima yako kaka [emoji3][emoji3]na samahani pia leo ndo nimegundua hichi kituBrother unaniita mi mchuchumio?? Kidume mzima na six packs zangu niwe mchuchumio? Jiangalie aseee...
Gari likishawaka hyoo imetoka hyo na mm hua Nina principle moja nikikukanya Mara tatu husikii ndo Basi tenaHuyu demu kuna kipindi alikuwa na mchepuko ex wake! What i prolly think either alikanywa kisha alianza kumletea drama mumewe kama mjuavyo ma ex walivyo vyanzo vya migogoro...Jamaa aka scoot akaona sasa aanze kumpiga matukio rasmi maana mke unamwambia aachane na mambo ya kijinga hasikii!
Huenda ex wake washakubaliana waachane ila huku mume gari ishawaka sasa! Sahizi anatamani mume aoneshe care ila hilo halipo
Atakula alipopeleka mboga shwaini huyoGari likishawaka hyoo imetoka hyo na mm hua Nina principle moja nikikukanya Mara tatu husikii ndo Basi tena
Poa poa kiongozi...Heshima yako kaka [emoji3][emoji3]na samahani pia leo ndo nimegundua hichi kitu
HahaAtakula alipopeleka mboga shwaini huyo