Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Unafanyeje kurejesha mapenzi katika ndoa yako?

Pole sana. Hata ambao hatuna cheating ktk ndoa zetu tuna matatizo ya kupoa. Uchumba na ndoa kwa kawaida ni vitu tofauti sana. Mmh... Lakini hiyo ya ku-cheat ni level nyingine! Nikigundua mke ameni-cheat hivi naweza kuwa na nguvu tena za kiume tena kwake? Lakini nyie akina mama hamhitaji nguvu. Mko tayari wakati wote.
Habari wana jf! Mwenzenu moyo wangu umekufa ganzi kabisa kwasasa, nifanyeje kurejesha hisia kwa wangu wa maisha?? Mume wangu alinicheat nikamsamehe amecheat tena nasasa moyo wangu umechukia kiasi cha kutokuwa na hisia nae tenaa!!
 
MC wanaume tulivoumbwa ni tofauti na nyie wanawake, nature yetu mwanaume hawezi kuridhika na mwanamke mmoja..

Nimewasaidia wakulungwa kujibu

Tatizo letu tunababaika sana na muonekano na wanawake wasasa ni mitihani yaani figa figale inye plus gedwe gwede ukimcheki nyoro inakuita,mtoto bambadi uso soft usio chunusi natural color chotara hakika HATUTOBOI akikatiza.
 
Mbona wake zenu wakiwacheat wakiomba msamaha na kusema ni utoto tuu au shetani aliwapitia kuwasamehe inakuwa ngumu..!?eti,
Hapo kuna mambo mawili ya kuzingatia. La kwanza ni la kiasili/kibaiolojia. Yaani vile unavyoona vidume wa jamii za viumbe wote wasivyoridhika na mwanamke mmoja hata kwa binadamu ni vile vile (promiscuous males vs coy females). La pili ni la kijamii/ kifamilia zaidi. Ndoa/familia/jamii zetu zingekuwa imara zaidi iwapo wanawake wangekubali kuona mbali zaidi ya usumbufu wa wanaume wa muda mfupi tena unaosababishwa tu na maumbile yao ya asili. Wanaume tukifika in our fifties na sexual libido zikapungua bila shaka tunaacha ukicheche wa ujanani. Ukiona tumefika in our fifties na bado tunasumbua sumbua basi hiyo ni very unfortunate.
 
Nimekuuliza maswali kadhaa hujajibu lakini nitakushauri:

Kwanza pole kwa unayopitia.

Wewe ndio upo kwenye ndoa na unajua nini unataka kwenye ndoa yako.Wanaume walio wengi wanacheat,ila kama ameshacheat zaidi ya mara moja na anarudia na ww unajua na unamsamehe atakuchukulia poa tu yaani anajua umefika kwake huna la kufanya atakupelekesha sana na mwisho wa siku utaishia kuumia ww.

Kama mwanaume anakupenda na kukuheshimu hata kama atacheat itamuuma sana wewe ukijua na nafsi yake itamsuta mno,angefanya kila awezavyo kuficha uzinzi wake.Kwa maana hio nina mashaka na mapenzi yake kwako.

Mimi nakuwazia wewe na afya yako ya kisaikolojia kwasababu ni dhahiri unampenda mwenzi wako lakini maumivu anayokupatia na jinsi unavyovumilia utakuja kufanya kitu cha ajabu sana.Nakushauri ufate moyo wako kama unaona unaweza kuvumilia hio mikiki unayopitia na utoke salama sawa kama unaona huwezi bora uondoke tu ni kwa maslahi yako binafsi.Huyo mtu inaonekana hio ni tabia yake na usitegemee atabadilika kirahisi atabadilika tu atakapotaka yeye kutulia.

Moyo ukishavunjika ni ngumu mno kurudisha mapenzi kama awali chukulia kikombe kilovunjika hata ukikiunga hakiwi kama mwanzo.Mapenzi yako kwake hayawezi kuwa kama awali hata uaminifu wako kwake labda uendelee kuwa nae kwaajili ya mazoea tu.
 
Hapana niko poa kabisa sina stress hizo kwa sasa. Nimekuwa konky, sugu kabisaaa mwenye maamuzi magumu. Kiufupi if you don't care about me I do the same to you. Naishi kuendana na flow...situmii nguvu
lkn huu sio ushauri mzuri..
kama anavumilia baki na ampende kama ameshindwa bas amuache haondoke lkn sio kwa kubaki na kutojali..
 
Back
Top Bottom