Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
Tafakari mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpyaTuleteeni sera zenu.
Haya ya Makonda....Waachieni CCM wafanye kumpaisha.
Mwenezi wa CCMMkuu habari za kolomije
Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
View attachment 2958295
Shetani anapotajwa kwenye nyumba za ibada tangu Babu yako hajazaliwa hadi leo naye anapewa promo ?Erythrocyte ipo namna na wenzio mmeshanunuliwa kimyakimya,kivipi mnampa promo mtu ambae mnasema hafai?
Haya tuwekee angle unayoitaka ?"Angle" za picha siyo zilezile.
Unataka kusemaje sasa ni mtumishi wa umma shazi litoke wapi wazee wa matukio hata kufananisha rangi hamjui!Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
View attachment 2958295
Sio marope ndio mtoto pendwa?,mnabadili gia dailyHili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
View attachment 2958295
Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
View attachment 2958295
Kwahiyo hiyo angle watu watu wamekimbia!!"Angle" za picha siyo zilezile.
Sera tuliondoka nazo na akina Slaa, Mkumbo, etc 2015 baada ya chama kukodishwa kwa Lowasa. Sasa hivi zimebaki porojo na kusema pipozi tu.Tuleteeni sera zenu.
Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE a.k.a ZIMWI a.k.a chinjachinja anaaibishwa ukweni.Hili ni eneo lile lile na watu walewale, Ya Juu akiwa Mwenezi, Ya Chini akiwa RC mtoto mpendwa wa mama
Tafakari mwenyewe
We komaa na kusifia, ila sidhani kama unachokitaka utakupata.Kaa kwa kutulia wewe maana naona unaweweseka na kuwa kama mgonjwa tangia Mwamba atue katika ardhi ya Arusha. Huwezi ukashindana na Mwamba hata siku moja maana Mungu kampa kibali mkononi mwake. Usishindane na aliyeinuliwa na Mungu .Goliathi alishindana na Daudi lakini akaishia kufa kwa aibu.hata Sauli alipojaribu kutaka kumuua Daudi naye aliishia kufa vibaya sana tena kwa kujiua mwenyewe. Mtakufa na roho mbaya zenu.