Unafikiri ni nani anayekusababishia wewe kuendelea kuwa masikini?

Unafikiri ni nani anayekusababishia wewe kuendelea kuwa masikini?

There is a science of getting rich"..kuna mambo ukiyafanya kwa kujua au kutojua utatajirika tu, upende usipende, uzaliwe familia tajiri au masikini...there is a point to touch.

Hata tunaodai family background tujiulize kuhusu pioneers wa hizo familia walianzaje?....unaweza kukuta walikuwa watu wa kawaida kabisa ila kuna mambo walifanya yakajenga msingi.
...................................................................
Kuna mambo tunapaswa kuyafanya tofauti na tunavyoyafanya, na jambo la kwanza ni kubadili namna tunavyofikiri..
Mwisho wa kujinukuu.
 
Ulishawahi kuwaza jamaa anapambana anakuza mtaji wa biashara au maisha fulani then out of blue unakuja ugonjwa majanga either ukumalize au ukombe ulichowekeza na kukurudisha 0! Hapo shida
 
Inawezekana una ndoto nyingi sana, za kumiliki makampuni, viwanda, au biashara mbalimbali n.k.

Lakini unajitahidi kupambana kila siku ili uweze kutimiza ndoto zako, lakini mambo yanakwama na kugonga ukuta.

Wapo wanaosema kufanya kazi kwa bidii, kunaweza kukusababishia kutimiza ndoto zako.

Na wengine wanasema sio kufanya kazi kwa bidii; bali kufanya kazi kwa maarifa ndio itakusababishia kutimiza ndoto zako.

Lakini vijana kwa wazee wanajituma, lakini malengo hayatimii; zaidi ya kuishia kupata kipato cha kawaida cha kuendesha familia; na sio kufanya uwekezaji mkubwa n.k

Kwa mazingira hayo; Unafikiri ni nani anayekusababishia wewe kuendelea kuwa masikini?​
Tuanze na wewe kwanza tueleze ama unataka uuuze kozi how to be rich
 
Mfumo wa kiutawala ndy chanzo cha umasikini
 
Spot on mate. Kama familia yenyewe tayari imejichokea unadhani utatoboa bwana wewe? Tuache porojo za oh jf ur born poor thats not ur fault but if u die poor thats hr fault. Hayo maneno ya watu waliofanikiwa ili kuonyesha kuwa wao they smarter than most of us.

Ukitaka kujua kuwa familia ndio kila kitu. Nenda kasome back ground ya matajiri wote wakubwa wa dunia. Utaelewa mchango wa familia
Yes, ni rahisi kuendeleza kitu, kuliko kuanzisha kitu. Hili liko wazi.



JESUS IS LORD
 
Mizimu, uchawi na uganga ambao iliabudiwa na mababu na sasa wameiacha hewani...

Inahitaji kuabudiwa kwa sadaka, damu sasa ikiona unataka kutoboa kimaisha inakurudisha nyuma...


Bwana YESU atukuzwe
Binafsi ukoo wangu umeathiriwa sana na mizimu, yaani ... Haya madude hupenda sana kuabudiwa. Waafrika tulikuwa gizani sana hadi kuanza kuabudu mashetani, cheki sasa tunavyorithishana umasikini.


ila YESU NI MWOKOZI
 
Binafsi ukoo wangu umeathiriwa sana na mizimu, yaani ... Haya madude hupenda sana kuabudiwa. Waafrika tulikuwa gizani sana hadi kuanza kuabudu mashetani, cheki sasa tunavyorithishana umasikini.


ila YESU NI MWOKOZI
Inaumiza sana mkuu, maana unaweza kuacha kuabudu hiyo mizimu, uganga, na uchawi.

Lakini kuna ndugu ambao bado wanakukwamisha wanatoa sadaka wanataja majina, huku wanamwaga damu, ndo maana watu wanarudi nyuma kimaendeleo.

Hapa inabidi kutoa ZAKA yani fungu la kumi kwa kila kipato chako...

Hii ndo njia pekee ya kuyakimbia..


Bwana YESU KRISTO atukuzwe
 
Sisi WA familia za ovyo kutoboa ni kama ngamia kupita katika tundu la sindano asikudanganye mtu ,ndio Maana hata huko dunia ya Kwanza kuna kitu wanaita income inequality "The rich are getting richer while the middle class and the poor are increasingly getting even poorer "
 
Back
Top Bottom