Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

Changamoto:
1. Uaminifu kutoka kwa Watoa huduma
Watoa huduma wengi mitandaoni wamekua sio waaminifu, unaweza ukaagiza bidhaa lakini muuzaji akaingia mitini na pesa yako, na bidhaa yako usiipate.

2. Wauzaji hawaweki wazi bei za bidhaa zao
Hii utaikuta sana Instagram, yaan unakuta mtu anauza bidhaa fulani, ukimuuliza "Shngapi??" Anakwambia "Njoo Inbox" sasa unabaki unajiuliza, hii biashara ni ya magendo au vp?
 
Kama tu kulipia huduma au bidhaa mtandaoni, watu wamegeuza kama ndo huduma ya kutolea fedha.
Bado kuna safari ndefu sana.
 
Changamoto:
1. Uaminifu kutoka kwa Watoa huduma
Watoa huduma wengi mitandaoni wamekua sio waaminifu, unaweza ukaagiza bidhaa lakini muuzaji akaingia mitini na pesa yako, na bidhaa yako usiipate.

2. Wauzaji hawaweki wazi bei za bidhaa zao
Hii utaikuta sana Instagram, yaan unakuta mtu anauza bidhaa fulani, ukimuuliza "Shngapi??" Anakwambia "Njoo Inbox" sasa unabaki unajiuliza, hii biashara ni ya magendo au vp?
Je kuwa na e-commerce kama Jumia, Amazon au Alibaba itaweza kusaidia?
 
Changamoto:
1. Uaminifu kutoka kwa Watoa huduma
Watoa huduma wengi mitandaoni wamekua sio waaminifu, unaweza ukaagiza bidhaa lakini muuzaji akaingia mitini na pesa yako, na bidhaa yako usiipate.

2. Wauzaji hawaweki wazi bei za bidhaa zao
Hii utaikuta sana Instagram, yaan unakuta mtu anauza bidhaa fulani, ukimuuliza "Shngapi??" Anakwambia "Njoo Inbox" sasa unabaki unajiuliza, hii biashara ni ya magendo au vp?
😂😂pole rafiki..... embu pitia

INSTAGRAM@dollrubii_decors
Hatuna longolongo

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARINUNI SANA. FREE DELIVERY DAR
 
😂😂pole rafiki..... embu pitia

INSTAGRAM@dollrubii_decors
Hatuna longolongo

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARINUNI SANA. FREE DELIVERY DAR
Account yenu ipo safii... Mpo straight, Inapendeza
 
Watanzania wengi sio waaminifu wateja kwa wauzaji
Kwa wakati huu wateja ndio wasumbufu
Anaagiza kitu boda akifika atasubirishwa saa nzima

Kuna wale mzigo umefika anakwambia nilikosea kuforward picha nataka ile sio hii
Hapo boda anaondoka hatoi hata mia ya usafiri
 
Changamoto:
1. Uaminifu kutoka kwa Watoa huduma
Watoa huduma wengi mitandaoni wamekua sio waaminifu, unaweza ukaagiza bidhaa lakini muuzaji akaingia mitini na pesa yako, na bidhaa yako usiipate.

2. Wauzaji hawaweki wazi bei za bidhaa zao
Hii utaikuta sana Instagram, yaan unakuta mtu anauza bidhaa fulani, ukimuuliza "Shngapi??" Anakwambia "Njoo Inbox" sasa unabaki unajiuliza, hii biashara ni ya magendo au vp?
Hiyo namba 2 inanikera sana! Nikikuta hivyo hua napita mbali maana huko inbox ndio kwenda kupigana ngeu
 
Je kuwa na e-commerce kama Jumia, Amazon au Alibaba itaweza kusaidia?
Mbona zipo nyingi tu, ila zimeshindwa kuwa functional sababu ya kukosa mazingira rafiki ya kuoparate maana CCM kila jambo la maendeleo wao wanaliweka katika sura ya Siasa.
 
😂😂pole rafiki..... embu pitia

INSTAGRAM@dollrubii_decors
Hatuna longolongo

SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065
KARINUNI SANA. FREE DELIVERY DAR
Safi sana sana
 
Mbona zipo nyingi tu, ila zimeshindwa kuwa functional sababu ya kukosa mazingira rafiki ya kuoparate maana CCM kila jambo la maendeleo wao wanaliweka katika sura ya Siasa.
Je unafikiri mazingira yapi rafiki yawekwe ili e-commerce ikuwe Tanzania?
 
Kwa wakati huu wateja ndio wasumbufu
Anaagiza kitu boda akifika atasubirishwa saa nzima

Kuna wale mzigo umefika anakwambia nilikosea kuforward picha nataka ile sio hii
Hapo boda anaondoka hatoi hata mia ya usafiri
Je unafikiri hili swal litatuliwaje
 
Kuna mtu alishaagiza kwa eBay au Alibaba akatapeliwa..... Mbona mm naagiza na nafikishiwa mzigo bila chenga
 
Back
Top Bottom