Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

Unafikiri Tanzania imefikia sehemu unaweza kununua bidhaa na huduma mitandaoni kwa urahisi?

Je unapitia changamoto zipi unaponunua bidhaa mtandaoni? Je nini kifanyike kusuluhisha suala hili kwenye nchi yetu Tanzania?
Changamoto ni kama ifuatavyo;
1. Wafanyabiashara mitandaoni 90% sio waaminifu.

2. Kutokuweka bei za bidhaa na kuishia kumwambia mteja aje DM au inbox.

3. Picha na bidhaa halisi kukosa uhalisia.

4. Kama bidhaa ikakufikia na ikawa haifanyi kazi vizuri huwa ni kazi kubadilishiwa.

5. Kuna bidhaa bei ya usafiri ni kubwa kuliko bei ya bidhaa!!
 
Back
Top Bottom