Kuna JAMAA alikuwa akijiita CYBORG,,jamaa alikuwa mbabe haswa pale shule,,wakati ule ile MOVIE YA CYBORG ya VAN DAMME ndy inatamba,jamaa alijifananisha na lile kubwa la maadui kwenye movie ile,,,basi jamaa alitumia nguvu nyingi hadi jina likamkaa,,sasa baadae akagunduwa kwamba kumbe CYBORG kwenye ile movie hakuwa yule kubwa la maadui,,bali CYBORG ni mwanamke mmoja mle ndani,,na sio mwanaume kama alivyodhani yeye,,basi ikawa shida kulivua jina hilo na huku tushalizoea kumwita,, jina lilitupa shida sana kulisahau,,na ukimwita elewa utafute kwa kupitia, ,HIZI NICK NAMES zingine bila kufanya upembuzi yakinifu ni balaa..