MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
- Thread starter
-
- #161
Yes ndo tuliwasumbua hao wazee,hadi shule za Mungai hizo MET Mufindi Education Trust zikapunguza kudahili wanafunzi nje ya mkoa maana ndo waliolianzisha kasheshe, infact walichoma jengo la utawala wakaharibu chakula stoo kwa kuchanganya sukari mahindi maharage unga na mchele pamoja kisha wakavimwaga uwanja wa basketi, magodoro yao waliyaondoa bwenini wakayapeleka pori ili wachome mabweni lakini FFU waliwahi WAKORINTHO III ilizua kizaazaa kwa kweli RIP bro wako inawezekana namkumbuka!
hahaha aise naikumbuka sana hyo scene ! yeah kaka angu alikua kwenye huo mtafaruku !nakumbuka mazishini walikuja masela weng wanajiita wakoritho !sikuwafatilia sana !ila hilo jina ndo nimelikumbuka !bas kakangu ndo alianzishaga hilo sekeseke ! akafukuzwa shule !anywys rip ! dah !nimetoka machozi huez amini !