Unaikumbuka timu hii ya Taifa ya Uholanzi




Pia hiki kikosi kilikuwa kizuri sana including Marco Van Basten, Ruud Gullit, Ronald Koeman, Danny Blind, Aaron Winter, Frank Rijkaard, Vanenburg, Wouters and Johnny Bosman. Coached by the legendary coach Rinus Michels.

Hawa ndio wa kupongezwa kwa kushinda Euro 1988, kitu pekee ambacho wameshinda so far.
 
Naomba uongeze kweli nyingine, isomeke alikuwa fundi kweli kweli, kuweka msisitizo juu ya kipaji chake kilichotukuka.

Kiukweli soka lake lilikuwa linanikosha kweli kweli, namba 10 ya uhakika, soka la sasa tunakosa namba 10 dizain yake..
Robo fainali kombe la dunia Ufaransa aliwafunga Argentina moja ya magoli bora kabisa kuwahi kufungwa kwenye kombe la Dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…