Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kuna watu wameumbiwaga kubisha tuUbishi ubishi tuu, huyo hata akiambiwa zamu yako imefika ya kuingia kwa daktari anabisha aahahahhaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila kuna watu wameumbiwaga kubisha tu
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
kuna wale unakuta mpo kwenye zebra ye anaona roli linakuja speed huko anavuka taratibu utamskia muache tu anigonge kwani aoni zebra,, ubishi ule tuuitaje Madam K[emoji849]Ni shiiidaaahh.
kuna wale unakuta mpo kwenye zebra ye anaona roli linakuja speed huko anavuka taratibu utamskia muache tu anigonge kwani aoni zebra,, ubishi ule tuuitaje Madam K[emoji849]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Halafu utakuta anasisitiza kabisa kwa kusema akinigonga ndio atajua mimi ni nani?kuna wale unakuta mpo kwenye zebra ye anaona roli linakuja speed huko anavuka taratibu utamskia muache tu anigonge kwani aoni zebra,, ubishi ule tuuitaje Madam K[emoji849]
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anigonge atajua me nan[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Halafu utakuta anasisitiza kabisa kwa kusema akinigonga ndio atajua mimi ni nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti anigonge atajua me nan
Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
Yaaani siwezi kuingia hata ndani kabisa kulala ndio sinto weza hata dakika 10Namba moja na tatu silali hata iweje hata ndani siingii
HahahahaDUUU ao wametisha uyo wa kwnza ndo best of the best wao__uo ni ( ubish) kipeuo cha nne
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawa wangezaliwa kipindi cha mitume wangekuwa wa kwanza kupinga neno la mungu!!
HahahahaView attachment 864262
Ubishi ni kipaji
Yaani hapo kosa moja tu unarudi MOIHahahaha
Jamaa kapanda boda,+ ka-relux kabisaYaani hapo kosa kidogo tu unarudi MOI