Unajiita MBISHI? kutana na wabishi

Unajiita MBISHI? kutana na wabishi

Kuna wabishi wawili niliwahi kuwaona mmoja kajenga juu ya reli isiyotumika na mwingine kenya aliipiga nyoka land cruiser ya polisi
 
Kuna huyu mwamba alijenga kwenye njia ya treni.

13307286_1202143509818168_6713444956694504410_n.jpg
13343073_1202143476484838_5924010280040396706_n.jpg
 
Hatari sana hiyo! Hayo madude huwa yanalepukaga sana. Kukipiga mzinga hilo nyumba yote ikatikisika na watakaokuwemo ndani watakuwa kama Tolabora na mabomu ya Marekani
 
Back
Top Bottom