Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ni mwamba haswaaa
huyu ni mwamba haswaaa
Huyu jamaa kama ameweza kujenga hapo, anaweza kukuuzia hospitali ya serikali huyu.
Pengine reli ishagakufa tangu zamani haitumiki tena! Hakuna shida.
Kuna wabishi wawili niliwahi kuwaona mmoja kajenga juu ya reli isiyotumika na mwingine kenya aliipiga nyoka land cruiser ya polisi
Hahahaha kuna jamaa yangu waliuziwa nyumba ina deni la umeme M10+ hafu muuzaji akatembea mbele na ukali.Huyu jamaa kama ameweza kujenga hapo, anaweza kukuuzia hospitali ya serikali huyu.
kuiba mafuta ndo kupiga nyokaKupiga nyoka?????
Huo ni uzembeHahahaha kuna jamaa yangu waliuziwa nyumba ina deni la umeme M10+ hafu muuzaji akatembea mbele na ukali.
Hapo kwenye kipeuo cha NNE ndio uliua bendi mkuu!DUUU ao wametisha uyo wa kwnza ndo best of the best wao__uo ni ( ubish) kipeuo cha nne
[emoji38] [emoji38] [emoji38] kawawekea na gate, kama watataka kupita atawafungulia.