Unajisikiaje kumuona binti chuoni hapati mahitaji kisa hana pesa?

Unajisikiaje kumuona binti chuoni hapati mahitaji kisa hana pesa?

Enock gabriel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2021
Posts
348
Reaction score
321
Unajisikiaje unapoona kuna msichana anasoma chuo na wewe, anashindia mlo mmoja kwa siku?

Unajisikiaje kuona msichana aliye chuo anavaa hovyo kwa kukosa pesa wakati anapenda kupendeza?

Naumia sana ninapoona chuoni ninaposoma, kuna msichana anakula mlo mmoja kwa siku, havai vizuri, amekosa nuru na tabasamu usoni, kwa sababu ya ugumu wa maisha.

Mzazi au mlezi anadunduliza kumlipia ada na pesa kidogo ya matumizi ambayo kimsingi haitoshi. Alipenda kuvaa vizuri kama wenzake, alipenda kula vizuri, kusuka vizuri n.k, ila hawezi.

Wanaume tupambane kuwaepusha mabinti zetu na kadhia kama hizi.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] huwa natamani kulia ninapowaona mabinti wanaishi hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24], hawa ni mama zetu!

1624257654232.png

 
Nikiona habari kama hizi huwa nakumbuka jamaa mmoja alikuwa anahangaika na maisha akiwa analea watoto wake baada ya mama yao kufariki

Alipambana na mmmoja wa watoto wake wa kike akafanikiwa kufika chuo kikuu
Jamaa alikuwa na furaha sana na kusema nimepambana haswa ila mwaka wa pili msichana karudi home kwao mjamzito

Aliponiambia roho iliniuma sana ila alikuwa strong na kuikubali hali ile
 
Nikiona habari kama hizi huwa nakumbuka jamaa mmoja alikuwa anahangaika na maisha akiwa analea watoto wake baada ya mama yao kufariki
Alipambana na mmmoja wa watoto wake wa kike akafanikiwa kufika chuo kikuu
Jamaa alikuwa na furaha sana na kusema nimepambana haswa ila mwaka wa pili msichana karudi home kwao mjamzito

Aliponiambia roho iliniuma sana ila alikuwa strong na kuikubali hali ile
Dah..inauma sana!!
 
Nikiona habari kama hizi huwa nakumbuka jamaa mmoja alikuwa anahangaika na maisha akiwa analea watoto wake baada ya mama yao kufariki
Alipambana na mmmoja wa watoto wake wa kike akafanikiwa kufika chuo kikuu
Jamaa alikuwa na furaha sana na kusema nimepambana haswa ila mwaka wa pili msichana karudi home kwao mjamzito

Aliponiambia roho iliniuma sana ila alikuwa strong na kuikubali hali ile
Angejifungua mbona ila inategemea alikuwa chuo gani, chuo kama ATC kubeba mimba ni ajabu ila chuo kama SAUT kuna mimba nyingi kuliko first class GPA. Kacheki waliojifungua walivyojazana
 
Unajisikiaje unapoona kuna msichana anasoma chuo na wewe, anashindia mlo mmoja kwa siku?

Unajisikiaje kuona msichana aliye chuo anavaa hovyo kwa kukosa pesa wakati anapenda kupendeza?

Naumia sana ninapoona chuoni ninaposoma, kuna msichana anakula mlo mmoja kwa siku, havai vizuri, amekosa nuru na tabasamu usoni, kwa sababu ya ugumu wa maisha.

Mzazi au mlezi anadunduliza kumlipia ada na pesa kidogo ya matumizi ambayo kimsingi haitoshi. Alipenda kuvaa vizuri kama wenzake, alipenda kula vizuri, kusuka vizuri n.k, ila hawezi.

Wanaume tupambane kuwaepusha mabinti zetu na kadhia kama hizi.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] huwa natamani kulia ninapowaona mabinti wanaishi hivi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24], hawa ni mama zetu!

Vp pale unapoona mshkaji wako njaa ime mpiga afu we una enda kuhonga dem vocher
Mtoa mada mjibu Mr Devil kauliza swal zuri.

Lakn pia chuo co sehemu ya fashion show.
 
Angejifungua mbona ila inategemea alikuwa chuo gani, chuo kama ATC kubeba mimba ni ajabu ila chuo kama SAUT kuna mimba nyingi kuliko first class GPA. Kacheki waliojifungua walivyojazana

Kwa sikumuuliza sana ilibaki nikae kimya tu labda aliendelea
 
Angejifungua mbona ila inategemea alikuwa chuo gani, chuo kama ATC kubeba mimba ni ajabu ila chuo kama SAUT kuna mimba nyingi kuliko first class GPA. Kacheki waliojifungua walivyojazana
Kuna rafiki angu nae yupo SAUT, kajifungua karibuni hivi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom