hellefay
Senior Member
- May 16, 2018
- 116
- 203
Mkuu hii mada imenikumbusha maisha anayoishi kijana mmoja mwanachuo,ni yatima pia ndugu zake hawana support yoyote kwake.Anaishi kwa shida sana, kwa siku anakula mlo mmoja tu.Hana mkopo,alipomaliza form four alipata div one akaamua kujiunga na chuo kwa ngazi ya diploma.
Alipata wasamaria wawili wa kumlipia ada kwa muda wote wa miaka mitatu ya masomo yake.Shida kubwa ipo kwenye gharama za menyu & stationary.Ana jitihada sana hata masomo yake anapata A,ila waswas wangu ni performance yake inaeza kushuka kutokana na hz changamoto anazokutana nazo.
Alipata wasamaria wawili wa kumlipia ada kwa muda wote wa miaka mitatu ya masomo yake.Shida kubwa ipo kwenye gharama za menyu & stationary.Ana jitihada sana hata masomo yake anapata A,ila waswas wangu ni performance yake inaeza kushuka kutokana na hz changamoto anazokutana nazo.