Unajisikiaje kuona Mpangaji mwenzio akiingiza wanawake kila mara?

Unajisikiaje kuona Mpangaji mwenzio akiingiza wanawake kila mara?

Bila shaka huwezi jiskia vizuri.je?nini cha kufanya maana hili ndo lengo la mada yako.

fanya hivi

Eleza hisia zako kwa huyo mpangaji anzisha mazungumzo kwa kueleza kwa utulivu jinsi unavyohisi kuhusu hali hiyo. Tumia kauli za kiume ili kuepuka kutoa shutuma.

eleza athari ambazo analeta kwa familia yako na tabia anayojenga kwa viumbe hawa wadogo.

UKIONA ANAENDELEA NA TABIA HIYO.

kwa mara ya pili,vizia kaleta mwanamke jitokeze mbele yao akiwa yeye na huyu mwanamke mazungumzo yako yawe haya.....

Halo, nilitaka kuongea nanyi nyote wawili kuhusu jambo ambalo limekuwa likinisumbua. Nimekuwa nikihisi kutoridhika mara kwa mara nawewe fulani(jina lake)kwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kila kujicha. Yani tangu umepata haya maradhi umekuwa kila siku unaleta wanawake ndani kwako,,,,kwanini?unataka kuangamiza watoto wa watu ona sasa asubuhi ulikuwa na Amina mchana Mwanaidi jioni hii umeleta na huyu tena.nafsi inanisuta lazima nikwambie ukweli mdogo wangu kifo kinakuita na nitapiga simu nyumbani.

Ukimaliza sema hayo ingia ndani.usisubili ajibu.akifanikiwa kumuingza ndani huyo manzi niite makonda niko hapa nakungoja💯💯
 
Fanya mpango wa kupata nyumba nzuri. Uswahili sana haya mambo hayaepukiki. Panga ushuani kidogo.
 
Fanya mpango wa kupata nyumba nzuri. Uswahili sana haya mambo hayaepukiki. Panga ushuani kidogo.
Napishana na wewe kidogo.
Mambo kama hayo uswahilini sidhani kama yako sana kwakua kuna macho mengi. Ila ukipanga maeneo ya binafsi sana ndiko kunatokea hayo,niliwahi kupanga nyumba mkoa fulani miaka ya nyuma kidogo,jirani yangu alikuwa analeta wanawake watatu mpk wanne kwa siku.
Ila nadhani sababu ya uhuru tuliokuwa nao so haikuwa shida kwake kufanya hayo,nadhani pangekuwa na wakaaji wengi lazima kuna kale kaaibu na Maneno ya watu lazima angejiheshimu.
 
Yani anaingiza ndani kwake mimi nijisikie nini sasa?

Sana sana nitamuomba connection anipasie siku moja moja wife na watoto wakiwa hawapo.

Epuka kuchunguza yasiyokuhusu, mwisho wa siku utatombewa mkeo.
 
Umepanga mahali, halafu kila siku unaona Mpangaji mwenzio anaingiza Malaya ndani kwake.

Unajisikiaje wewe kama Mpangaji?

NB: UNA MKE NA WATOTO.
Heshma yako hujengwa na wewe mwenyewe kijana.
Hii itatokana na watu wanao kuzunguka, aina ya watu unao ishinao na hata marafiki unao ambatana nao.
Ukiwa na jiranj wa aina hiyo basi ipo siku akikosa huyo unae muita malaya, atamuingiza mkeo ama ikibidi wewe mwenyewe.
Kwahiyo kazi kwako kuchagua wapi uishi na hata marafiki wanao kuzunguka.
 
Bila shaka huwezi jiskia vizuri.je?nini cha kufanya maana hili ndo lengo la mada yako.

fanya hivi

Eleza hisia zako kwa huyo mpangaji anzisha mazungumzo kwa kueleza kwa utulivu jinsi unavyohisi kuhusu hali hiyo. Tumia kauli za kiume ili kuepuka kutoa shutuma.

eleza athari ambazo analeta kwa familia yako na tabia anayojenga kwa viumbe hawa wadogo.

UKIONA ANAENDELEA NA TABIA HIYO.

kwa mara ya pili,vizia kaleta mwanamke jitokeze mbele yao akiwa yeye na huyu mwanamke mazungumzo yako yawe haya.....

Halo, nilitaka kuongea nanyi nyote wawili kuhusu jambo ambalo limekuwa likinisumbua. Nimekuwa nikihisi kutoridhika mara kwa mara nawewe fulani(jina lake)kwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kila kujicha. Yani tangu umepata haya maradhi umekuwa kila siku unaleta wanawake ndani kwako,,,,kwanini?unataka kuangamiza watoto wa watu ona sasa asubuhi ulikuwa na Amina mchana Mwanaidi jioni hii umeleta na huyu tena.nafsi inanisuta lazima nikwambie ukweli mdogo wangu kifo kinakuita na nitapiga simu nyumbani.

Ukimaliza sema hayo ingia ndani.usisubili ajibu.akifanikiwa kumuingza ndani huyo manzi niite makonda niko hapa nakungoja💯💯
Kwanini usijisikie vizuri au mmepanga chumba kimoja?
 
Bila shaka huwezi jiskia vizuri.je?nini cha kufanya maana hili ndo lengo la mada yako.

fanya hivi

Eleza hisia zako kwa huyo mpangaji anzisha mazungumzo kwa kueleza kwa utulivu jinsi unavyohisi kuhusu hali hiyo. Tumia kauli za kiume ili kuepuka kutoa shutuma.

eleza athari ambazo analeta kwa familia yako na tabia anayojenga kwa viumbe hawa wadogo.

UKIONA ANAENDELEA NA TABIA HIYO.

kwa mara ya pili,vizia kaleta mwanamke jitokeze mbele yao akiwa yeye na huyu mwanamke mazungumzo yako yawe haya.....

Halo, nilitaka kuongea nanyi nyote wawili kuhusu jambo ambalo limekuwa likinisumbua. Nimekuwa nikihisi kutoridhika mara kwa mara nawewe fulani(jina lake)kwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kila kujicha. Yani tangu umepata haya maradhi umekuwa kila siku unaleta wanawake ndani kwako,,,,kwanini?unataka kuangamiza watoto wa watu ona sasa asubuhi ulikuwa na Amina mchana Mwanaidi jioni hii umeleta na huyu tena.nafsi inanisuta lazima nikwambie ukweli mdogo wangu kifo kinakuita na nitapiga simu nyumbani.

Ukimaliza sema hayo ingia ndani.usisubili ajibu.akifanikiwa kumuingza ndani huyo manzi niite makonda niko hapa nakungoja💯💯
Nomah sana...
 
Rudisha mke na mtoto kwao
Anza sasa na wewe kuingiza kila siku
Ngoma draw.

Za ndani kabisa: Mkeo pia anatamani ajue hao
wadada wanampendea nini jamaa.

Jenga vyumba viwili uhamie kwako haraka
Nyumba kubwa utaijenga baadae.
 
Ukipanga uswahilini hayo mambo hautayaepuka.

Ni kuvumiliana na life style la mwenzio, kikubwa lisitingishe hali yako
Sio uswahilini tu hata makazi ya watu medium kama ni bachelor iyo ni kawaida. Kwa wanaume tunaona normal tu tena katika situations kama izo tunafanyiana na utani kabisa na kufurahi kwa pamoja unakuta mwamba anaingia na demu halafu mshkaji mmoja anajifanya kama anakohoa vile kwaiyo inachukuliwa kama utani tu sasa sijui upande wa wanawake wanaichukuliaje
 
Back
Top Bottom