Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ubahili tu umewajaa😎
Kwani na wewe una liwigi? MEEYAHKaribia vidume vyote hapa vimeponda wavaa mawigi, ninachojiuliza ni nani anadate nao huku mtaani? 😃😃 Acheni unafiki nyie viumbe
Hujaelewa mshoboko[emoji23][emoji23][emoji23]Sometimes tukiwashobokea mnataka tuwashobokee sanaaaa ndio nuelewe kama tumewashobokea. Tuko tofauti kidogo, wengine tunashoboka kidogo tu na ukiwa hujaelewa mshoboko wetu unataka tushoboke sana tunaona kama mnatichosha.
Mimi kiukweli haya mambo artificial siyapendi haswa na naweka hisia zangu wazi
Kama hakuna maslahi mengine ya msingi yatakayowekwa rehani akikwambia, wanaume wengi watapenda kuwa waaminifu kwa kukwambia ukweli kwamba hayo makatani hatuyapendi!Ila chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Ninalo mkuu, nasifiwa kila siku 😃😃Kwani na wewe una liwigi? MEEYAH
Wanakusifia vitu vingine liwig wanazuga wasikukwaze mtoto mzuri waambie waache uongo.Ninalo mkuu, nasifiwa kila siku 😃😃
Tanzania ya Viwanda
Uchumi wa Kati
Watajua wenyewe 😂😂😂Wanakusifia vitu vingine liwig wanazuga wasikukwaze mtoto mzuri waambie waache uongo.
Usisemee mioyo ya wengineKama hakuna maslahi mengine ya msingi yatakayowekwa rehani akikwambia, wanaume wengi watapenda kuwa waaminifu kwa kukwambia ukweli kwamba hayo makatani hatuyapendi!
Unasifiwa ili ukitongozwa usikatea. Hapo hawasifii wigi wanasifia papucha wanayoitakaIla chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Mkuu unalo? Lile la hela nyingi? Kwamba ziko laini kama nywele halisi? Vua janga hilo.Usisemee mioyo ya wengine
Hivi mkisomaga huwa mnaelewa?Unasifiwa ili ukitongozwa usikatea. Hapo hawasifii wigi wanasifia papucha wanayoitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye kuacha mapaja wazi sio pabaya. Mie napapendaNawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Mpaka mimi mnafiki???😀😀😀😀Karibia vidume vyote hapa vimeponda wavaa mawigi, ninachojiuliza ni nani anadate nao huku mtaani? 😃😃 Acheni unafiki nyie viumbe