Minah
JF-Expert Member
- Dec 23, 2018
- 840
- 2,343
Usisahau miongoni mwa hayo orijino pia yapo yaliyochanganyika na za marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh kumbe.. Sikujua kuhusu hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau miongoni mwa hayo orijino pia yapo yaliyochanganyika na za marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mzee alimtoa nishai mbele za watiu
khaaa shost ..mbona ulikua unakuja vzr tu na daby
Okay kumbe unamzungumzia mke wa aliyekuwa waziri wa wizara fulani. Mi nazungumzia yule dada wa kiganda aliyeshinda miss Africa last yearHapana siyo huyo niliyemzungumzia mimi, bila shaka alipataga Miss TZ 2006 na Miss world aliipata 2006 hiyo hiyo afu aliolewa mwaka uliofata.
Alikuwa ni Mzuri wa asili asiyetumia chochote feki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh kumbe.. Sikujua kuhusu hilo.
Duh kumbe.. Sikujua kuhusu hilo.
Ndomana nikakwambia wigi ni kama nguoHivi nayo huwa mnayafua kama nguo?
Ndiyomaana husumbuliwa sana na mapepo, dunia hii imeficha mambo mengi sana sirini ni Mungu tu atusaidie kwakweli.
Kuna Dada m1 kwenye nyuzi za dini alieleza kuwa kuna perfume flani hv alitengeneza Msanii mahiri sana wa hapa TZ, akizichimba kiundani zaidi kuwa alizihusisha uwepo wa ufanisi wa kifreemasons lkn ule uzi ulifutwa baada ya dkk 5 tu na aliyeufungua alikula ban 1 kwa 1.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana. Siwezi kuacha Chura kisa wig...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unakauzoefu nao eeeh
Hahaha hahaha😀😀😀😀😀
Sana. Siwezi kuacha Chura kisa wig...
Kwahiyo ukivaa wigi hujiamini?Hamna cha original au fake zote ni wigi na kukosa kujiamini tu ndicho kinachowasumbua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duuuh...! Baba hiki kituko chako hata yeye uliyemtaja hapo atakuwa kacheka[emoji3][emoji23][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
LolHuwa wananichekesha wakianza kutikisa vichwa ili waonekane wazungu! Mwingine anajiparua parua eti anaweka nywele sawa! hmmmm!
Sent using Jamii Forums mobile app
Au mm sijamuelewa? Mbona nimehisi anani attack. Kama ni mis understanding naomba aniwie radhi🙏
Ngojea nijeNyie wanaume nanyi hamsomeki
Mbona mm sivai wigi nna nywele zangu natural sibandiki kucha. Siachi mapaja wazi, etc lakini hamna hata wa kunishobokea mitaani wote mnabanana kwa wavaa mawigi [emoji29][emoji856] au ndo tatizo nyota
Sent using Jamii Forums mobile app