Therapist 2015
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 791
- 831
Mtani na huku upo, nilidhani kwenye soka tuNiseme tu na nyuma ya keyboard muyachukie hivi hivi ili hao wavaaji wapungue ikiwezekana waishe kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani na huku upo, nilidhani kwenye soka tuNiseme tu na nyuma ya keyboard muyachukie hivi hivi ili hao wavaaji wapungue ikiwezekana waishe kabisa.
Kuna mtu alisema kakutana na dada kavaa wigi, yule dada kugeuka pembeni wigi bado linaangalia mbele
Acha unafiki uende mbinguni!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mtu alisema kakutana na dada kavaa wigi, yule dada kugeuka pembeni wigi bado linaangalia mbele
Kwani hakuna waafrika wenye nywele ndefu na weupe?Wanawatukana wahindi na waraabu lakini wanakimbilia nywele zao na kujigeuza na mikorogo wawe kama asian woman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi nayo huwa mnayafua kama nguo?Huyo ni mchafu..wigi ni kama nguo tu.
Mimi huwa namkubali sana mzee M7 alimtoa nishai yule aliyeshinda miss Africa na mawigi yake
Ha ha ha ha ha ha!!Waambie hivyo wanaokutamani wala siyo mm ninayekupenda toka rohoni[emoji847]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wapotezee tu hao Mama maana wakati mwingine ni vichwa vyao vya chini ndivyo huwachanganya kitamaa lkn si kiupendoHa ha ha ha ha ha!!
We wanijua vizuri kabisaaa! Hayo mandude sivaiii...
Ila naona kutwaaa wanasifiwa haoo wanaovaa mkija huku mwawasema !!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiona mwanamke kavaa wigi anajipigapiga kichwani ujue linamuwasha na ndio anajikuna kiaina
Sawa babaaBasi wapotezee tu hao Mama maana wakati mwingine ni vichwa vyao vya chini ndivyo huwachanganya kitamaa lkn si kiupendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisaNawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Ndio Mkuu [emoji23][emoji23] kuna Original na fake. Yaani wigi Original ni nywele halisi za binadamu naskia kuna baadhi ya wahindi huwa wanafanya hio Biashara wanafuga nywele then wanazikata nywele zao na kuziuza kwa makampuni ya nywele, huko zinafangwa wigi na weaving kisha kuuzwa bei ghali zaidi kwa wavaagi.
Lakini mzee alimtoa nishai mbele za watiuNimemkumbuka sana Miss wetu kipenzi Nancy, alikuwa anajikubali na Mungu kamsaidia tangu achukue tuzo kaolewa na kutulia bila ya skendo yoyote ile mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app