interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Ni mbwebwe tu huwa hamjielewi Wanaume aina zenu, mfano wale house girs ni wangapi hawana muda wa kuvaa hayo mawigi, huwa hamuwatongozi hadi kusaliti ndoa na wengine kuwa wake?Hahaha.
Mzee baba.... wewe unataka wanawake wawe unavyotaka?
Mwanamke akijiremba anavutia...kama hautaki wanaojiremba si ichukue asiyejiremba?
Anasahau kwamba mtu hawezi akajiremba kwa uzuri wa kuazima.
Kuna zinaowapendezesha wengine haziwapendezeshi.Mimi ambacho sipenď binafsi kbs kope za bandia..kucha zle ndef nazo sipend..nabandika lakini inakatwa inakuwa km yako tu..napo nafanya mara moja moja..
Ila kope nitabandika sku 1 am sure zitapendeza...jaman mambo mengine mtuache tufanyajge tu...we only liv once
Wanawake ni watu wa urembo...mwanamke anaweza kubadili gauni kisa chupi ndani haiendani nalo.
Mnataka wawe kama sisi? Wajirembe mawigi acha wavae kizuri tu yawe yanawapendeza.
Avatar yako kiukweli inaniacha hoi nikiweka masihara pembeni. Ni matata sana.
Ni nani asiyejiremba hapa duniani? Wewe mwenyewe unachonga nywele na kuvaa mavazi unayodhani yanakuvutia ili tu upendeze.
Wenzio wakienda mbali kwa kuvaa wig unaona nongwa?
Kuna zinaowapendezesha wengine haziwapendezeshi.
Wala hawaaamulii endeleeni kujiremba kikubwa usijirembe hadi ukajilemaza tu.
Ni nani asiyejiremba hapa duniani? Wewe mwenyewe unachonga nywele na kuvaa mavazi unayodhani yanakuvutia ili tu upendeze.
Wenzio wakienda mbali kwa kuvaa wig unaona nongwa?
Kuwa mpole...acheni watu wapendeze.
Tusamehe bure kwa kukuharibia hisia zako kwa shemeji yetu na biashara zako za kuuzia mabinti wasiojitambua vitu feki[emoji87][emoji86][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hata hatuelewani.Ni mbwebwe tu huwa hamjielewi Wanaume aina zenu, mfano wale house girs ni wangapi hawana muda wa kuvaa hayo mawigi, huwa hamuwatongozi hadi kusaliti ndoa na wengine kuwa wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halagu hayo madude ya kuongeza yanawazeesha jamani..unavaa wigi unaonekana mzee maskini kumbe bado mbichi kabisa au hizo makeup zinazeesha ngoziiii...unajua kupaka mara moja moja sio mbaya kwenye special occasion .lakini kuna yule.anapaka 24/7 mpaka ngozi imekua kama sijui kitu gani...wanatia kinyaa jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Vaa wigi halafu jipige picha then vua halafu jipige picha ukiwa na nywele zako zilizosukwa vizuri halafu linganisha hizo picha mbili uone, ile ya wigi utakua unaonekana mzee kuliko hii ambayo hujavaa wigihahaahaa...hii naisikia leo...ila mbona wanakiwa smart sana jaman
Nadhani hata hatuelewani.
Mahouse girl wanatokea wapi hapa mzee?
Pointi yangu ni rahisi tu wanawake waacheni wajirembe maana ndiyo asili yao.
Wewe unashindwa kuelewa unachotaka. Kiuhalisia hakuna binadamu asiyejiremba hapa duniani tunatofautiana viwango tu.
Sasa wewe kama hupendi mwanamke anayejiremba kwa namna unayotaka si uchukue wa namna nyingine shekh?
Mwambie shemeji yangu ajiamini maana Bibi na Mama zake hawakuhangaika na huo upumbavu wa vitu feki lkn walitongozwa na kuolewa na kudumu hata ktk ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ambacho sipenď binafsi kbs kope za bandia..kucha zle ndef nazo sipend..nabandika lakini inakatwa inakuwa km yako tu..napo nafanya mara moja moja..
Ila kope nitabandika sku 1 am sure zitapendeza...jaman mambo mengine mtuache tufanyajge tu...we only liv once
yes..makeup ukizid daily inazeesha ngozi..kwa wigs sijajua kwakwel...Halagu hayo madude ya kuongeza yanawazeesha jamani..unavaa wigi unaonekana mzee maskini kumbe bado mbichi kabisa au hizo makeup zinazeesha ngoziiii...unajua kupaka mara moja moja sio mbaya kwenye special occasion .lakini kuna yule.anapaka 24/7 mpaka ngozi imekua kama sijui kitu gani...wanatia kinyaa jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikushauri kabisa Dada yangu na hata km ni mwenye mali ndiye anayekudanganya basi jikite ktk msimamo wako maana husababisha kansa za macho.
Sent using Jamii Forums mobile app