Wewe tukimchukua hadija wako wa shamba na mtoto mzuri aliyejiremba wa mjini Dasalama kwa piere unadhani utamchagua nani ? Halafu unatuambia waache kujiremba?Tusamehe bure kwa kukuharibia hisia zako kwa shemeji yetu na biashara zako za kuuzia mabinti wasiojitambua vitu feki[emoji87][emoji86][emoji85]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhehehehehehehehe....mwingine ni umaskini unamsumbua so anaamua kuja kivingine
Wewe tukimchukua hadija wako wa shamba na mtoto mzuri aliyejiremba wa mjini Dasalama kwa piere unadhani utamchagua nani ? Halafu unatuambia waache kujiremba?
Mwisho mtawaambia waache kujiliza vitandani nyie maana hamchelewi.
Hisa za wanaume sio za kinafiki hata kidogo huwa tunasifu tunachokiona kwa macho.Wanaume hawa hawa ndio wanaowasifia wanaovaa mawigi huku mtaani..kumbe nanyi huwa hamueleweki!!?
Wanawake na watoto wadogo huwekwa kwenye kundi moja, hata waelezwe vipi ngumu kuelewa. Napenda mwanamke kama huyu. View attachment 1059085
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekanaga una stress sana mkuu nini shida
Hapana too much is harful, watu wajirembe ila kwa kiasi sio mpaka wanakua kama majini jamani...hata mimi najiaremba, napaka poda, mafuta na navaa vizuri lakini siwezi kupaka makeup mpaka nikawa kama majivu au mdoli, nasuka nywele ila sipendelei kuvaa wigi au kushonea weaving, ila rasta nasuka na aina zingine za nyweleWe Mama usizidishe huo ukweli ukasababisha Ke wenzio wakaanza kukuchukia na Wanaume wakajazana pm kukusumbua[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna vichwa vya kunyoa vipara asiee.kama cha hudda monroeWanawake na watoto wadogo huwekwa kwenye kundi moja, hata waelezwe vipi ngumu kuelewa. Napenda mwanamke kama huyu. View attachment 1059085
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hatukisemi vibaya shekh... siunajua sampuli zipo nyingi.Wanawake na watoto wadogo huwekwa kwenye kundi moja, hata waelezwe vipi ngumu kuelewa. Napenda mwanamke kama huyu. View attachment 1059085
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hata hatuelewani.
Mahouse girl wanatokea wapi hapa mzee?
Pointi yangu ni rahisi tu wanawake waacheni wajirembe maana ndiyo asili yao.
Wewe unashindwa kuelewa unachotaka. Kiuhalisia hakuna binadamu asiyejiremba hapa duniani tunatofautiana viwango tu.
Sasa wewe kama hupendi mwanamke anayejiremba kwa namna unayotaka si uchukue wa namna nyingine shekh?
Hayo matako umejuaje ni feki?Tunaelewana sana tu sema tatizo lako unakariri Mtu hawezi kujiremba pasipo kuhusisha vitu feki mwilini mwake[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Vaa wigi halafu jipige picha then vua halafu jipige picha ukiwa na nywele zako zilizosukwa vizuri halafu linganisha hizo picha mbili uone, ile ya wigi utakua unaonekana mzee kuliko hii ambayo hujavaa wigi
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother! Kupendeza ni kuvutia kwa uzuri, na ni hali nzuri na inampendeza hata mtazamaji.Kuwa mpole...acheni watu wapendeze.
Walijiremba naturally lkn siyo artificiallyNani kakudanganya mama zetu hawakujiremba?
Lol...!
Nadhani tunatakiwa tuwape uwanja wa wanawake kupendeza watakavyo...wewe wakishapendeza jichagulie unayevutiwa naye.Brother! Kupendeza ni kuvutia kwa uzuri, na ni hali nzuri na inampendeza hata mtazamaji.
Akina mama/dada zetu ni kweli wanastahiki kupendeza, lakini ni kwa namna gani? Hili ndilo swali lililojenge hoja.
Wapendeze kwa uhalisiya wao na wala si kwa nakshi za kuazima na ndiyo maana strongestbeliefsecret akaainisha mfano wa urembo wa kuazima. Mathalani: Kucha, kope, wigi.
Sasa hiyo ni nini brother! Huko ni kupendeza kwa kuazima! Kwa kifupi wanafoji kupendeza. Wajikubali tu kwa muonekano wao na wapendeze kwa uhalisiya wao. Ndicho kinachozungumziwa.