Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Wewe ni jangu kwa kisukuma tunasema nyai. Mkeo humtunzi ndo maana anazeeka mtunze mkeo uone Kama hajarudi kua binti. Mm nmemkuta mama watoto akiwa 35 Mimi 32 lakini saivi anaonekana mdogo kuliko Mimi. Sababu Mimi namhangaikia yeye namvisha nguo nzuri za thamani mm naenda okota za buku buku ilala boma. Sasa wewe mkeo unamnunulia malonya wewe unaenda kwa mkinga kununua nguo zilizochanika kwa magoti. Home unaiacha buku wewe unaenda kula nyama choma viepe kitaa na kiboda boda chako leo useme mkeo anazeeka. Wewe ndo unamzeesha
 
Karidhka uyoo me wangu alipo pata mimba ali nenepa sanaa afu me sio mpenzi wa woman wanene au wenye matako makubwa saaana ..

nka subiri ajifungue naona still mtu karidhika na ana jua vitu napenda .kilicho fata ni kupiga matukio kama mawili hadi saiv karudi kama mwanzo ki portable

kilicho fata ni kupiga matukio kama mawili hadi saiv karudi kama mwanzo ki portable.

😄😄, ulimpa automatic stress, Atakua alijiongeza mapema sana.
 
wanaume mdomoni wako vizuri kuongea ila wapeleke field ndio utagundua kwa nin serengeti boys muhimu
Sasa Serengeti boy si yupo kwenye ajira,lazima ajitutumue... mkute na mumeo kwa bi mdogo,uone kama anapiga kwa mazoea... ni showshow...
Serengeti boy anajua hapa nakula bure na ntapewa hela ya shopping,ngoja nijitutumue.
 
Wewe ni jangu kwa kisukuma tunasema nyai. Mkeo humtunzi ndo maana anazeeka mtunze mkeo uone Kama hajarudi kua binti. Mm nmemkuta mama watoto akiwa 35 Mimi 32 lakini saivi anaonekana mdogo kuliko Mimi. Sababu Mimi namhangaikia yeye namvisha nguo nzuri za thamani mm naenda okota za buku buku ilala boma. Sasa wewe mkeo unamnunulia malonya wewe unaenda kwa mkinga kununua nguo zilizochanika kwa magoti. Home unaiacha buku wewe unaenda kula nyama choma viepe kitaa na kiboda boda chako leo useme mkeo anazeeka. Wewe ndo unamzeesha

😀😀😀, Mkuu Kila siku 15000, ipo mezani, Ila kwenye umri hapo uliupiga mwingi sana, lakini hakunyanyasi mkeo 🤔


Mm nmemkuta mama watoto akiwa 35 Mimi 32 lakini saivi anaonekana mdogo kuliko Mimi

Sasa wewe mkeo unamnunulia malonya wewe unaenda kwa mkinga kununua nguo zilizochanika kwa magoti.

Unaenda kula nyama choma viepe kitaa na kiboda boda chako leo useme mkeo anazeeka. Wewe ndo unamzeesha
 
Si ulisema kwenye shida na raha, haya vumilianeni ndiyo chaguo lako, lkn pia muelekeze au mfanyie shopping ya nguo unazopendelea avae
Si ulisema kwenye shida na raha,
Hili neno inabidi lisitumike tena, Maana limekua halina faida hata kidogo kwenye ulinzi wa ndoa 😀
 
Tunzeni wake zenu wapendeze,ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka .

Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea ,kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba ,tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .

Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
Kupendeza ni hulka ya mtu, aanze yeye kutaka hayo, afurahie kuvaa hivo hapo ndo utaenjoy.

Sasa unamnunulia nguo 150k hata havai wala nini.
 
Mwanamke anazeeka haraka ikiwa hatakosa kuwa na mtindo mzuri Wa maisha na hii sio wanawake tu binadamu yeyote.


Mazoezi
Virutibisho
Stress free

Kama upo dsm zingatia hayo mambo.


Kama upo dsm zingatia hayo mambo.

Dsm nimeenda zaidi ya mara 5, ili niishi lakini imeshindikana, Watu wa Dsm maisha yao magumu sana, nyuso zao zimepauka kwa mawazo, wana stress, joto kali,


Mazoezi
Virutibisho
Hapo kwenye mazoezi na virutubisho upo sahihi, Tatizo sisi Waafrika nimeona kipaumbele chetu ni unene, pamoja na Nyash(wanawake) . 😄
 
Back
Top Bottom