Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Una dhambi. Wazee hawatakiwi kuendelea kuwepo kwenye ndoa?Mfukuze tu Sasa, maana hapo naona kama ni kosa kisheria kutembea na wazee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dhambi. Wazee hawatakiwi kuendelea kuwepo kwenye ndoa?Mfukuze tu Sasa, maana hapo naona kama ni kosa kisheria kutembea na wazee..
Joto la Dar hili linaweza kuua mtu, leo tangu asubuhi umeme ulikata dah ndani hakukaliki kabisa, kama tupo kwenye ki oven vile😀Dsm nimeenda zaidi ya mara 5, ili niishi lakini imeshindikana, Watu wa Dsm maisha yao magumu sana, nyuso zao zimepauka kwa mawazo, wana stress, joto kali,
Hapo kwenye mazoezi na virutubisho upo sahihi, Tatizo sisi Waafrika nimeona kipaumbele chetu ni unene, pamoja na Nyash(wanawake) . 😄
Kupendeza ni hulka ya mtu, aanze yeye kutaka hayo, afurahie kuvaa hivo hapo ndo utaenjoy.
Sasa unamnunulia nguo 150k hata havai wala nini.
Sasa unamnunulia nguo 150k hata havai wala nini.
Umesema sahihi Mkuu, Wanaume huwa tunakawia kuzeeka, ndiyo maana kuna cases za wazee wa miaka 75 kuendelea kuzaa na dogodogo 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️Safi sana mkuu, pia hii ya kuoana miaka ikiwa sawa naona kuna changamoto yake.... Mwanamke akisha zaa tu.. Mwanamke anaaza Kuonekana Mkubwa
😄😄, balaa sana, hii Hatua ndo huaza kuitana majina ya ajabu, " utasikia we Rashid, Rashidiiii" Mboga zipo jikoni sisi tumesha kula tayari"Hilo ndiyo neno kuu muhimu, haiwezekani umzeeshe mdada wa watu akuzalie watoto 6 afu umuache au umuone kazeeka nope, tuendelee kupambana na machaguo yetu 😀
• Ukiwa Dsm, Unaweza hisi hewa hamna hapa duniani,Joto la Dar hili linaweza kuua mtu, leo tangu asubuhi umeme ulikata dah ndani hakukaliki kabisa, kama tupo kwenye ki oven vile😀
Yeah, inachangia hiyo, mwanamume ana 75,, mwanamke ana 77 tayari hapo maelewano inakuwa hamna hasa kwenye minyanduano.Umesema sahihi Mkuu, Wanaume huwa tunakawia kuzeeka, ndiyo maana kuna cases za wazee wa miaka 75 kuendelea kuzaa na dogodogo 😜🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😂😂 Haya bwanaMkuu ndoa ya uzee haina ishu, ukiwa mzee kinacho baki huwa ni kuota moto, kuongea pekee ako, Labda na miguu kufa gazi, 😀
Mshukuru Mungu kwa Mke uliyenaye!Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝,
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.
• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.
• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.
• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.
• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.
........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." 😎.
Sahihi Mkuu, kwanza umri wa miaka kuanzia 55 hivi kwenda juu Wanawake wengi almost 80% huwa wanapoteza uwezo wa kushiriki.Yeah, inachangia hiyo, mwanamume ana 75,, mwanamke ana 77 tayari hapo maelewano inakuwa hamna hasa kwenye minyanduano.
Shishi yupoje?Yupo kama shishi?
Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝,
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.
• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.
• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.
• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.
• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.
........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." 😎.
Akili yako ina umama mwingi sana. Hadi umeshindwa kuelewa dhima ya madaTunzeni wake zenu wapendeze,ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka .
Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea ,kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba ,tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .
Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
Haya ndio madhara ya kutegemea furaha yako kwa watu wengineSijui kwann mimi sinaga hii mitizamo. Miminyf akonde labda ndio nitashtuka. Akininenepa au kufumuka hata sioni tabu. Acha tu aishi anavyotaka maisha haya sio kilankitu cha kukijali muda woote uko makini kama nurse wa zam shift ya usiku..Mwache ajiachie..avae anavyotka ale anavyotaka afanye anavyotaka.. kuna muda maisha hayakupi hii option.
Laki 150 (150x100,000=15,000,000)Laki 150 kawaida sana? Mimi namudu laki 1.5!