Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝,
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.

• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.

• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.

• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.

• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.

........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." 😎.
Swali ni je unampenda mkeo?? Kama jibu ni ndio usizungumze nae chochote fanya action, siku mtoe mpeleke sehemu wanakotengeneza kucha ., siku mbili tatu mletee viwalo unaweza kutoka nae siku nyingine ukamuacha na saluni jirani mwambie atengeneze nywele wewe ukiwa ka bar jirani ukimsubirii siku akipendeza sana mpige picha zitie kwenye frame zipambe sebule na jambo hilo liwe ni jambo endelevu sio la wiki 1 au mwezi
 
Sahihi Mkuu, kwanza umri wa miaka kuanzia 55 hivi kwenda juu Wanawake wengi almost 80% huwa wanapoteza uwezo wa kushiriki.

Wakati huo Mwanaume hata akiwa na miaka 72 still anaweza kupiga mashuti yake mawili kwa siku na kujilalia zake 😜🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
😀😀, mimi ni nani mpaka nipinge hii kauli,
 
Uzee wa Mwanamke unatokana na matunzo ya mumewe.
Nguo na chakula unampatia wewe.
Hivyo wewe ndiye unayemzeesha mkeo.
Sio ajabu siku ukifa akaanza kunawiri

😀😀, Hapana mkuu, ni yeye labda anapenda kuishi na malonya, maana chakula uhakika, kila siku 15000/- inaachwa mezani,

Sio ajabu siku ukifa akaanza kunawiri
 
Tunzeni wake zenu wapendeze,ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka .

Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea ,kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba ,tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .

Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
mimi narafiki yangu wa kike tumekubaliana tupunguze kwa 80% kuvaa nguo au mikoba ya mtumba...nimegundua ukipendelea sana manguo ya mtumba au mikoba ya mtumba unaonakena local sana..atleast uvae mtumba ule mpya..nao usiuzoee sana .jaribu kuvaa nguo ya dukani p8ga picha then vaa ya mtumba piga picha ya dukani unashine sana kuliko mtumba...na mikoba ni vile vile..pendelea ya dukani ...
hao wavaa abaya za dukani na mtumba ni tofauti kabisaa mionekano...NAUNGA HOJA YAKO
 
mimi narafiki yangu wa kike tumekubaliana tupunguze kwa 80% kuvaa nguo au mikoba ya mtumba...nimegundua ukipendelea sana manguo ya mtumba au mikoba ya mtumba unaonakena local sana..atleast uvae mtumba ule mpya..nao usiuzoee sana .jaribu kuvaa nguo ya dukani p8ga picha then vaa ya mtumba piga picha ya dukani unashine sana kuliko mtumba...na mikoba ni vile vile..pendelea ya dukani ...
hao wavaa abaya za dukani na mtumba ni tofauti kabisaa mionekano...NAUNGA HOJA YAKO

mimi narafiki yangu wa kike tumekubaliana tupunguze kwa 80% kuvaa nguo au mikoba ya mtumba..
Upo sahihi kabisa mkuu, hizi nguo za mitumba zinazeesha watu, mikoba ya mitumba za Grade F, masuluali yaliyo tuna mifuko, Kwa hapo lazima mwili uharibike..
 
😄😄, hiyo miaka 80, umetupiga kamba aise, kwa miaka hiyo lazima ucheze na Nokia kitocho. Siyo smart.
Ni kweli umri huu huwa mikono na vidole vinatetema japo sio wote;

Ila binafsi natumia application ambayo naikomandi ina niandikia badala ya mimi mwenyewe kuandika 🤗

Mambo ya Wazee hayo 😜
 
Swali ni je unampenda mkeo?? Kama jibu ni ndio usizungumze nae chochote fanya action, siku mtoe mpeleke sehemu wanakotengeneza kucha ., siku mbili tatu mletee viwalo unaweza kutoka nae siku nyingine ukamuacha na saluni jirani mwambie atengeneze nywele wewe ukiwa ka bar jirani ukimsubirii siku akipendeza sana mpige picha zitie kwenye frame zipambe sebule na jambo hilo liwe ni jambo endelevu sio la wiki 1 au mwezi
😋😋, imekaa poa sana hii mkuu, mda ukifika atajiongeza mwenyewe.. Ila dah kazi Kweli Kweli.
 
Wewe ni jangu kwa kisukuma tunasema nyai. Mkeo humtunzi ndo maana anazeeka mtunze mkeo uone Kama hajarudi kua binti. Mm nmemkuta mama watoto akiwa 35 Mimi 32 lakini saivi anaonekana mdogo kuliko Mimi. Sababu Mimi namhangaikia yeye namvisha nguo nzuri za thamani mm naenda okota za buku buku ilala boma. Sasa wewe mkeo unamnunulia malonya wewe unaenda kwa mkinga kununua nguo zilizochanika kwa magoti. Home unaiacha buku wewe unaenda kula nyama choma viepe kitaa na kiboda boda chako leo useme mkeo anazeeka. Wewe ndo unamzeesha
Unampendezesha ghafla anakuwa pisi anaanza kutombwa na raia nje. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa nawaambia watu hii kitu wanabisha eti ooh nitaonekana natembea na binti mdogo.

Wanawake wakishaingia katika mahusiano sijui wanapata virutubisho gani ghafla unashangaa anakuwa mkubwa wewe unaonekana dogo.


Wanawake wakishaingia katika mahusiano sijui wanapata virutubisho gani ghafla unashangaa anakuwa mkubwa

Akizaa tu nyonga hutanuka, ichangie na mwili wake unaumbile la unene, tayari unaaza kumuita dada.
 
Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝,
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.

• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.

• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.

• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.

• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mliooa, mnahisi hivi pia kama ninavyohisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.

........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." 😎.
Mh
 
Back
Top Bottom