Unajisikiaje serikali yako inaponunua vifaa vya kukuumiza si kwa sababu wewe ni mwizi, jambazi, muuaji, mbakaji, nk, bali kwa sababu unadai haki?

Unajisikiaje serikali yako inaponunua vifaa vya kukuumiza si kwa sababu wewe ni mwizi, jambazi, muuaji, mbakaji, nk, bali kwa sababu unadai haki?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Angalia hili lidubwana hapa chini;

1738434221866.png


Sasa madudu ya kutisha kama haya, serikali yako ya Tanzania imeyanunua kwa ajili ya kuumiza wananchi wake, ambao sio kwamba wana makosa makubwa kama uasi dhidi ya serikali, ujambazi, uharamia, ujangili, ubakaji, uuaji wa watu wasio na hatia, utapeli, ufisadi nk, bali madudu kama haya ni kwa ajili ya kuwaumiza na kuwakomesha Watanzania ambao wanadai haki zao, na mara nyingi wakiamua kuzidai kwa kufanya maandamano ya amani.

Jiulize, kuna maandamano yeyote ya kudai haki ambayo Polisi wanakubali ni maandamano ya amani?

Au umewahi kusikia serikali yako ya Tanzania imenunua madudu kama haya ya kutisha kwa ajili ya kupambana na mafisadi, wauza rasilimali za taifa, majangiri katika mbga zet, panya road, nk?

Kimsingi, serikali ya Tanzania inakuambia hivi wewe unaetaki haki hasa katika mambo ya uchaguzi, ni bora uwe jambazi, jangiri, fisadi, mbakaji wa watoto, nk, kuliko uwe mtu anaedai haki yake ya uchaguzi hiru, kwa sababu madudu haya ni kwa ajili yako wewe unaetaka uchaguzi huru

Sasa jiulize, katika hali kama hiyo, unajiona mtu huru katika nchi yako?

Kumbuka, hili dudu la kutisha, lisipotumiwa dhidi yako, litatumiwa dhidi ya baba yako, mama yako, dada yako, mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, binamu yako, jirani yako, rafiki yako, mfanya kazi mwenzako nk. Unaona ni sawa kwa sababu anaeumizwa si sawa?

Au hata jiulize, ni sawa serikali yako itumie madudu kama haya kwa Mtanzania mwenzako, unaesali kanisa moja au unaswali nae msikiti mmoja, kwa sababu tu yuko chama cha upinzani?

Hili sio dude serikali ya DRC inataka kutumia dhidi ya M23, ni dude serikali ya Tanzania inataka kutumia dhidi ya watu wake yenyewe! Kosa lao kubwa sana ni nini? Kusem tunataka kuwe na haki kwenye uchaguzi.

Ni sawa watuwanaojiita viongozi wa wananchi kuamuru Polisi watumie madudu haya dhidi ya wananchi katika nchi yao wenyewe kwa sababu tu wanadai mambo yafanyike kwa kufuata haki na usawa?
 
Kwa sehemu tuliyofika. Waongezee mengine.

Hata hivyo hainitishi na wala haitishii chechote hio.
Watu walisimama mbele ya Mutenki itakuwa hiyo noah?

👉💥💥
Najisikia poa kujua iko ulinzi mu mali yangu.
 
Hata wangenunua mavitu gani lakini lazima wajue safari hii " NO REFORM, NO ELECTION ".
 
Kuna mtu mmoja mwenye akili sana ndani ya CCM aliwahi kusema hivi, "najisikia vibaya sana pale ambapo najua CCM wamedanganya kwenye uchaguzi, halafu watu wanapodai haki bado tunawapiga na kuwaumiza. Yaani uchaguzi tunawaibia na bado tunawapiga na kuwaumiza sana. Ingekuw ni vema tuwaibie uchaguzi lakini tusiwaumize kwa kuwapiga"
 
Harafu unakuta mtu anapiga kelele kuhusu groves za Hospital wakati hela nyingi imekaa tu hapo na Agent kala cha juu cha kutosha hapo hiyo gari unaweza kushangaa ni Bus moja la Iriza i6.
 
Angalia hili lidubwana hapa chini;

View attachment 3221581

Sasa madudu ya kutisha kama haya, serikali yako ya Tanzania imeyanunua kwa ajili ya kuumiza wananchi wake, ambao sio kwamba wana makosa makubwa kama uasi dhidi ya serikali, ujambazi, uharamia, ujangili, ubakaji, uuaji wa watu wasio na hatia, utapeli, ufisadi nk, bali madudu kama haya ni kwa ajili ya kuwaumiza na kuwakomesha Watanzania ambao wanadai haki zao, na mara nyingi wakiamua kuzidai kwa kufanya maandamano ya amani.

Jiulize, kuna maandamano yeyote ya kudai haki ambayo Polisi wanakubali ni maandamano ya amani?

Au umewahi kusikia serikali yako ya Tanzania imenunua madudu kama haya ya kutisha kwa ajili ya kupambana na mafisadi, wauza rasilimali za taifa, majangiri katika mbga zet, panya road, nk?

Kimsingi, serikali ya Tanzania inakuambia hivi wewe unaetaki haki hasa katika mambo ya uchaguzi, ni bora uwe jambazi, jangiri, fisadi, mbakaji wa watoto, nk, kuliko uwe mtu anaedai haki yake ya uchaguzi hiru, kwa sababu madudu haya ni kwa ajili yako wewe unaetaka uchaguzi huru

Sasa jiulize, katika hali kama hiyo, unajiona mtu huru katika nchi yako?

Kumbuka, hili dudu la kutisha, lisipotumiwa dhidi yako, litatumiwa dhidi ya baba yako, mama yako, dada yako, mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, binamu yako, jirani yako, rafiki yako, mfanya kazi mwenzako nk. Unaona ni sawa kwa sababu anaeumizwa si sawa?

Au hata jiulize, ni sawa serikali yako itumie madudu kama haya kwa Mtanzania mwenzako, unaesali kanisa moja au unaswali nae msikiti mmoja, kwa sababu tu yuko chama cha upinzani?

Hili sio dude serikali ya DRC inataka kutumia dhidi ya M23, ni dude serikali ya Tanzania inataka kutumia dhidi ya watu wake yenyewe! Kosa lao kubwa sana ni nini? Kusem tunataka kuwe na haki kwenye uchaguzi.

Ni sawa watuwanaojiita viongozi wa wananchi kuamuru Polisi watumie madudu haya dhidi ya wananchi katika nchi yao wenyewe kwa sababu tu wanadai mambo yafanyike kwa kufuata haki na usawa?
Aisee, nimeyaona leo mida ya saa moja usiku yanajazwa mafuta pale kwenye sheli ya PUMA karibu na RITA. Kiukweli nimefadhaika sana. Nina wasiwasi hata mafuta hawajalipia wamewekewa bure.

Binadamu wasio na akili hufanya lolote ili wawe na maisha mazuri duniani hata kwa kumwaga damu za watu wengine.
 
Angalia hili lidubwana hapa chini;

View attachment 3221581

Sasa madudu ya kutisha kama haya, serikali yako ya Tanzania imeyanunua kwa ajili ya kuumiza wananchi wake, ambao sio kwamba wana makosa makubwa kama uasi dhidi ya serikali, ujambazi, uharamia, ujangili, ubakaji, uuaji wa watu wasio na hatia, utapeli, ufisadi nk, bali madudu kama haya ni kwa ajili ya kuwaumiza na kuwakomesha Watanzania ambao wanadai haki zao, na mara nyingi wakiamua kuzidai kwa kufanya maandamano ya amani.

Jiulize, kuna maandamano yeyote ya kudai haki ambayo Polisi wanakubali ni maandamano ya amani?

Au umewahi kusikia serikali yako ya Tanzania imenunua madudu kama haya ya kutisha kwa ajili ya kupambana na mafisadi, wauza rasilimali za taifa, majangiri katika mbga zet, panya road, nk?

Kimsingi, serikali ya Tanzania inakuambia hivi wewe unaetaki haki hasa katika mambo ya uchaguzi, ni bora uwe jambazi, jangiri, fisadi, mbakaji wa watoto, nk, kuliko uwe mtu anaedai haki yake ya uchaguzi hiru, kwa sababu madudu haya ni kwa ajili yako wewe unaetaka uchaguzi huru

Sasa jiulize, katika hali kama hiyo, unajiona mtu huru katika nchi yako?

Kumbuka, hili dudu la kutisha, lisipotumiwa dhidi yako, litatumiwa dhidi ya baba yako, mama yako, dada yako, mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, binamu yako, jirani yako, rafiki yako, mfanya kazi mwenzako nk. Unaona ni sawa kwa sababu anaeumizwa si sawa?

Au hata jiulize, ni sawa serikali yako itumie madudu kama haya kwa Mtanzania mwenzako, unaesali kanisa moja au unaswali nae msikiti mmoja, kwa sababu tu yuko chama cha upinzani?

Hili sio dude serikali ya DRC inataka kutumia dhidi ya M23, ni dude serikali ya Tanzania inataka kutumia dhidi ya watu wake yenyewe! Kosa lao kubwa sana ni nini? Kusem tunataka kuwe na haki kwenye uchaguzi.

Ni sawa watuwanaojiita viongozi wa wananchi kuamuru Polisi watumie madudu haya dhidi ya wananchi katika nchi yao wenyewe kwa sababu tu wanadai mambo yafanyike kwa kufuata haki na usawa?
Hilo si gari tu ....Au ni Mrap?

T14 Armata
 
Angalia hili lidubwana hapa chini;

View attachment 3221581

Sasa madudu ya kutisha kama haya, serikali yako ya Tanzania imeyanunua kwa ajili ya kuumiza wananchi wake, ambao sio kwamba wana makosa makubwa kama uasi dhidi ya serikali, ujambazi, uharamia, ujangili, ubakaji, uuaji wa watu wasio na hatia, utapeli, ufisadi nk, bali madudu kama haya ni kwa ajili ya kuwaumiza na kuwakomesha Watanzania ambao wanadai haki zao, na mara nyingi wakiamua kuzidai kwa kufanya maandamano ya amani.

Jiulize, kuna maandamano yeyote ya kudai haki ambayo Polisi wanakubali ni maandamano ya amani?

Au umewahi kusikia serikali yako ya Tanzania imenunua madudu kama haya ya kutisha kwa ajili ya kupambana na mafisadi, wauza rasilimali za taifa, majangiri katika mbga zet, panya road, nk?

Kimsingi, serikali ya Tanzania inakuambia hivi wewe unaetaki haki hasa katika mambo ya uchaguzi, ni bora uwe jambazi, jangiri, fisadi, mbakaji wa watoto, nk, kuliko uwe mtu anaedai haki yake ya uchaguzi hiru, kwa sababu madudu haya ni kwa ajili yako wewe unaetaka uchaguzi huru

Sasa jiulize, katika hali kama hiyo, unajiona mtu huru katika nchi yako?

Kumbuka, hili dudu la kutisha, lisipotumiwa dhidi yako, litatumiwa dhidi ya baba yako, mama yako, dada yako, mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, binamu yako, jirani yako, rafiki yako, mfanya kazi mwenzako nk. Unaona ni sawa kwa sababu anaeumizwa si sawa?

Au hata jiulize, ni sawa serikali yako itumie madudu kama haya kwa Mtanzania mwenzako, unaesali kanisa moja au unaswali nae msikiti mmoja, kwa sababu tu yuko chama cha upinzani?

Hili sio dude serikali ya DRC inataka kutumia dhidi ya M23, ni dude serikali ya Tanzania inataka kutumia dhidi ya watu wake yenyewe! Kosa lao kubwa sana ni nini? Kusem tunataka kuwe na haki kwenye uchaguzi.

Ni sawa watuwanaojiita viongozi wa wananchi kuamuru Polisi watumie madudu haya dhidi ya wananchi katika nchi yao wenyewe kwa sababu tu wanadai mambo yafanyike kwa kufuata haki na usawa?
Hii chuma haiwezi kuwa chini ya 100mil. Hata kama ni used
 
Haya ndio Mambo yanafanyaga nione kupiga Salute Ni Kama kusema nachomoa Ubongo Sasa.
 
Angalia hili lidubwana hapa chini;

View attachment 3221581

Sasa madudu ya kutisha kama haya, serikali yako ya Tanzania imeyanunua kwa ajili ya kuumiza wananchi wake, ambao sio kwamba wana makosa makubwa kama uasi dhidi ya serikali, ujambazi, uharamia, ujangili, ubakaji, uuaji wa watu wasio na hatia, utapeli, ufisadi nk, bali madudu kama haya ni kwa ajili ya kuwaumiza na kuwakomesha Watanzania ambao wanadai haki zao, na mara nyingi wakiamua kuzidai kwa kufanya maandamano ya amani.

Jiulize, kuna maandamano yeyote ya kudai haki ambayo Polisi wanakubali ni maandamano ya amani?

Au umewahi kusikia serikali yako ya Tanzania imenunua madudu kama haya ya kutisha kwa ajili ya kupambana na mafisadi, wauza rasilimali za taifa, majangiri katika mbga zet, panya road, nk?

Kimsingi, serikali ya Tanzania inakuambia hivi wewe unaetaki haki hasa katika mambo ya uchaguzi, ni bora uwe jambazi, jangiri, fisadi, mbakaji wa watoto, nk, kuliko uwe mtu anaedai haki yake ya uchaguzi hiru, kwa sababu madudu haya ni kwa ajili yako wewe unaetaka uchaguzi huru

Sasa jiulize, katika hali kama hiyo, unajiona mtu huru katika nchi yako?

Kumbuka, hili dudu la kutisha, lisipotumiwa dhidi yako, litatumiwa dhidi ya baba yako, mama yako, dada yako, mdogo wako, kaka yako, mjomba wako, binamu yako, jirani yako, rafiki yako, mfanya kazi mwenzako nk. Unaona ni sawa kwa sababu anaeumizwa si sawa?

Au hata jiulize, ni sawa serikali yako itumie madudu kama haya kwa Mtanzania mwenzako, unaesali kanisa moja au unaswali nae msikiti mmoja, kwa sababu tu yuko chama cha upinzani?

Hili sio dude serikali ya DRC inataka kutumia dhidi ya M23, ni dude serikali ya Tanzania inataka kutumia dhidi ya watu wake yenyewe! Kosa lao kubwa sana ni nini? Kusem tunataka kuwe na haki kwenye uchaguzi.

Ni sawa watuwanaojiita viongozi wa wananchi kuamuru Polisi watumie madudu haya dhidi ya wananchi katika nchi yao wenyewe kwa sababu tu wanadai mambo yafanyike kwa kufuata haki na usawa?
We bwege acha kihoro isipokuwa km we ni mhalifu. Raia mwema ataogopaje vyombo vya ulinzi? Au una mpango wa kufanya uhalifu?
 
Kuna mtu mmoja mwenye akili sana ndani ya CCM aliwahi kusema hivi, "najisikia vibaya sana pale ambapo najua CCM wamedanganya kwenye uchaguzi, halafu watu wanapodai haki bado tunawapiga na kuwaumiza. Yaani uchaguzi tunawaibia na bado tunawapiga na kuwaumiza sana. Ingekuw ni vema tuwaibie uchaguzi lakini tusiwaumize kwa kuwapiga"
Yuko wapi sasaivi huyu malaika mwema? ( I mean his/ her political fate)
 
Licha ya yote,
Kuenforce jeshi letu na zana za kisasa ni muhimu,
Kesho na kesho kutwa tukupata majambazi halafu hamna hata gari la maana, mnataka polisi waende na Hilux ?
 
Back
Top Bottom