Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa mpaka unaoa ukujua kuwa ni singo maza na ana mtoto? Sasa asimpende mtoto, amuue?Ungekuwa umeoa Single Mother ndio ungenielewa ninachomanisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mpaka unaoa ukujua kuwa ni singo maza na ana mtoto? Sasa asimpende mtoto, amuue?Ungekuwa umeoa Single Mother ndio ungenielewa ninachomanisha.
Duh hongeraAna watoto wawili wananiheshimu sana kama baba Yao nami kanizalia mabinti wawili huwa nafarijika sana nikiwaona wakiwa na furaha muda wote huku wakicheza na kufurahi Kwa pamoja, kiufupi najivunia kuwa baba mlezi na baba wa familia nzima hayo mengine Baki nayo wewe
Habari zenu,
Hili ni swali kwa Vijana wabishi walioamua kuoa Single Mother.
Unajisikiaje pale unapoona Single Mother uliemuoa anampost mtoto wake na kuandika maneno kama My World, My Everything halafu Baba Mtoto nayeye anakuja kucomment My family.?
Kumbuka kuwa wewe hujawahi kutamkiwa hayo maneno na hata ukitamkiwa hauamini kuwa anamaanisha?
Aisee! Kweli mlioa Single Mother mna mioyo Migumu kulalaleki.
Unajuaje yule ndio baba yake na wewe ulisingiziwa tu?Kwa hiyo unalea bao la mwanamume mwenzako?
Kakuzalia hao mabinti wawili ili acheze na akili zako uumtumzie hao watoto wawili wasio wakoAna watoto wawili wananiheshimu sana kama baba Yao nami kanizalia mabinti wawili huwa nafarijika sana nikiwaona wakiwa na furaha muda wote huku wakicheza na kufurahi Kwa pamoja, kiufupi najivunia kuwa baba mlezi na baba wa familia nzima hayo mengine Baki nayo wewe
Mjinga mwenyeweMwanamume anayeoa single maza ni mjinga sana
Sawa bossKakuzalia hao mabinti wawili ili acheze na akili zako uumtumzie hao watoto wawili wasio wako
Mwanamume anayeoa single maza ni mjinga sana
Wanaume wahvo Ndio yanazalisha halafu yanakimbia wanawake hayana yanachojiweza😂🤣🤣kuja kupga kelele mitandaoni, wanaume wenzao wanawasaidia maana wao hawana tofauti na wanawakeSawa boss
HahahahahaKakuzalia hao mabinti wawili ili acheze na akili zako uumtumzie hao watoto wawili wasio wako
Njoo uchukue Pepsi Big ya baridi sana hapa kwa mangi..Umeshaamua kuoa huna budi kukubaliana na hayo, hiyo ni moja ya upendo japo si lazima kumpost.
Mambo mengine hata hayana msingi kwahyo asimpende mwanae kisa sio wako?
HahahahahaTuacheni na ujinga wetu
Usiniambie na wewe ni baba wa kambo? 🤣Mjinga mwenyewe
Kwanza mi siamini katika kupost mtu awe ananipost eti na kusindikiza na maneno mazuri naona miyeyusho tu .Umeshaamua kuoa huna budi kukubaliana na hayo, hiyo ni moja ya upendo japo si lazima kumpost.
Mambo mengine hata hayana msingi kwahyo asimpende mwanae kisa sio wako?
HahahahahaMjinga mwenyewe
Umeshajichanganya mkuu endelea kulea mabao ya kidume mwenzio.Sawa boss
Ndio maana nimeamua kumwacha nishamjua ni mtu wa aina gani.Wanaume wahvo Ndio yanazalisha halafu yanakimbia wanawake hayana yanachojiweza😂🤣🤣kuja kupga kelele mitandaoni, wanaume wenzao wanawasaidia maana wao hawana tofauti na wanawake
Sikopeshi soda tafadhali 😅Njoo uchukue Pepsi Big ya baridi sana hapa kwa mangi..