totoadela
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 369
- 1,106
Unavyokandia single mother ukute mwenyewe huyo unaedhani ni baba Yako sio maana Mama ndo anaejua muhusika mkuuMkuu umeoa Single Mother?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyokandia single mother ukute mwenyewe huyo unaedhani ni baba Yako sio maana Mama ndo anaejua muhusika mkuuMkuu umeoa Single Mother?
Na wewe mtibeli unalea watoto wa mwanamume mwenzako?Tuacheni na ujinga wetu
Yani kuna mambo watu wanalazimisha ubaya kwa wengine, unajua fika singo maza ni changamoto alafu unakaza fuvu unaoa, baada ya kuoa unakuja na maswali kama haya kweli huo si uchizi?Njoo uchukue Pepsi Big ya baridi sana hapa kwa mangi..
Mume akifariki mke anakua single mother au mjane?Mm naishi na single mother, binti mrembo sana kutoka tanga, amenizalia mabinti wawili warembo kama yeye anajiheshimu sana na anaheshimu wengine pia sipati changamoto yyte kutoka kwake maana mume wake alifariki.
Ulionyeshwa kaburi na cheti cha kifo cha mumewe?Mm naishi na single mother, binti mrembo sana kutoka tanga, amenizalia mabinti wawili warembo kama yeye anajiheshimu sana na anaheshimu wengine pia sipati changamoto yyte kutoka kwake maana mume wake alifariki.
Kumekucha kumekucha
Siamini hivyo ila wanawake wengi kupost ni kawaida yao hasa watoto wao. Shida inaanza mtu unajua fika huyu mwanamke tayari ana mtoto na unaoa alafu unategemea asifanye aliyozoea kufanya.Kwanza mi siamini katika kupost mtu awe ananipost eti na kusindikiza na maneno mazuri naona miyeyusho tu .
Upendo haupo kwenye kuwekeana kwa social media. Ushaamua kubwa nae mapungufu yake yaweze tu
Usiniambie na wewe ni baba wa kambo? 🤣
Ma wewe mtibeli unalea watoto wa mwanamume mwenzako?
Sawa baba wa kambo pambaneni kulea mabao ya wanaume wenzenuWanaume wahvo Ndio yanazalisha halafu yanakimbia wanawake hayana yanachojiweza😂🤣🤣kuja kupga kelele mitandaoni, wanaume wenzao wanawasaidia maana wao hawana tofauti na wanawake
Kazi yenu ni kuwatafuta single maza na kufanya nao maisha?Tuna chama chetu kinaitwa "Chama Cha Baba wa kambo Tanzania" CHABAKATA"
Wewe uliyenae ulimkuta bikra mkuu?.. au Ni Mama WA marehemu mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa baba wa kambo pambaneni kulea mabao ya wanaume wenzenu
Yaani wewe kukimbia watoto hilo halituhusu sababu mwanaume akimbii mtoto anapambana mwanzo mwisho hata kama ni kwa kufanya vibarua 🤣🤣🤣Sawa baba wa kambo pambaneni kulea mabao ya wanaume wenzenu
Kazi yenu ni kuwatafuta single maza na kufanya nao maisha?