Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Wewe uliyenae ulimkuta bikra mkuu?.. au Ni Mama WA marehemu mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]

Faida ya Kwanza ya single Maza anakupa assurance kwamba anaweza kuzaa.. sio Hao wenu unaweka ndani alafu unanza kuzunguka Kwa Mwamposa kutafuta mtoto..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuoa single maza ni kujishusha thamani sana kwa mwanamume. Yaani unaanza maisha ya ndoa kwa kulea mtoto asiye wako. Hivi hiyo ni akili au matope?
 
Huu mtego nimedumbukia had kutangaza ndoa singo maza wana nguvu nyie nilizubaishwa nashtuka watoto wawil sjui nilipgwa juju [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Nipeni mbinu nijinasue kwny huu mtego wakuu .....
 
Mjinga ni mwanaume anayezaa hovyo hovyo na hajui hata malezi ya mtoto wake yakoje, yupo busy kutamba kwa rafiki zake ana watoto kadhaa kila mmoja na mama yake, kwangu huyo ni mwanaume mjinga na hajitambui.
Upo sahihi.

Mjinga zaidi ni yule anaejibebesha majukumu ya kulea Watoto wa Mwanaume mwenzie.
 
Huu mtego nimedumbukia had kutangaza ndoa singo maza wana nguvu nyie nilizubaishwa nashtuka watoto wawil sjui nilipgwa juju [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Nipeni mbinu nijinasue kwny huu mtego wakuu .....
😁
 
Demu wangu wa kwanza alikuaga singo maza duh ili baki hivi🤏 maana niliingizwa kwenye ulimwengu wa raha ambao sikuwahi kuushuhudia
Nashukuru niliweza kutoroka
Hahaha! Nomah sana.
 
Yaani wewe kukimbia watoto hilo halituhusu sababu mwanaume akimbii mtoto anapambana mwanzo mwisho hata kama ni kwa kufanya vibarua 🤣🤣🤣
Tulia usaidiwe na wanaume mvulana kaa pembeni mishindo ya watu wanaume huiwezi. Unafikiri mapenzi ni kumpandia juu tu🤣🤣
Hao single maza wapo na nyinyi ili muwalelee watoto wao ila hakuna upendo wowote

Ni wanawake ambao wameshatombeka sana ili kujaribu kupata mwanamume mjinga mjinga wa kulea mtoto/watoto wake

Single maza akishaahidiwa ndoa tu lazima akutunuku mbususu ili umuoe

Wakiwapata wajinga wa kulea watoto wao wananendelea kuliwa mbususu na watu wao wanaowakubali kwa sababu wana uhakika wa malezi ya watoto. Speaking from experience
 
Ulionyeshwa kaburi na cheti cha kifo cha mumewe?

Siku isiyo na jina usije shangaa kidume anakuja from no where kumchukua mtoto wake na wewe unadhani alikufa.
Hivyo vitu ulivyovitaja hapo juu sidhani kama vinahitaji muda mrefu na akili ya chuo kuvigundua.

Niko naye mwaka wa 6 huu nashindwaje kumjua nje ndani mtu ninayeishi naye?
Lakin pia kama mtoto SI wako kwann umzuie baba yake kumchukua?

Tatizo ninaloliona kwa wanaume wengi mnakutana na single mothers vichwa vibovu wanawapiga matukio mwishowe mnafikiri single mothers wote wako hivyo, same apply hata kwa wanawake wasio single mothers unakutana na pisi waruwaru unaunga tela inakupiga tukio unakuja jf kuwalalamikia wanawake wote.
 
Back
Top Bottom