Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
Uko sahihi jamaa anashindwa kutofautisha mjane na single mother.Nikishakufa aliyekuwa mke wangu hayuko chini ya mamlaka yangu tena akiamua kuolewa na mwanamume mwingine hilo ni juu yake
Ukiwa umekufa ni sawa kabisa haupo tena.
Lakini ukiwa hai na mume wa huyo single mother nae yuko hai.
Never ever