Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Nikishakufa aliyekuwa mke wangu hayuko chini ya mamlaka yangu tena akiamua kuolewa na mwanamume mwingine hilo ni juu yake
Uko sahihi jamaa anashindwa kutofautisha mjane na single mother.

Ukiwa umekufa ni sawa kabisa haupo tena.

Lakini ukiwa hai na mume wa huyo single mother nae yuko hai.

Never ever
 
mwanaume mjinga na mpumbavu ndiye mwanaume pekee atakaye amua kuoa mke wa mtu huku na yeye akijisifu ana mke.

Nb: Umekosa bikra basi oa hata huyo Used aliyetoa mimba bila wewe kujua kuliko kuoa mke wa mtu
Uko sahihi ni mke wa mtu kabisa huyo

Mwanamke aliyetolewa mahari huwezi kumtolea mahari mara mbili.
 
Ana watoto wawili wananiheshimu sana kama baba Yao nami kanizalia mabinti wawili huwa nafarijika sana nikiwaona wakiwa na furaha muda wote huku wakicheza na kufurahi Kwa pamoja, kiufupi najivunia kuwa baba mlezi na baba wa familia nzima hayo mengine Baki nayo wewe
Usiwasikilize hao,Lea family yako ndugu,


Binafsi nimelelewa na baba mlezi,baba alifariki alituacha 3 na vidogo, huyu baba mlezi katulea vyema na watu wasiotujua wanajua ni baba yetu mzazi,,na kazaa na mama watoto wawili na tunaishi hakuna ubaguzi.
 
Habari zenu,

Hili ni swali kwa Vijana wabishi walioamua kuoa Single Mother.

Unajisikiaje pale unapoona Single Mother uliemuoa anampost mtoto wake na kuandika maneno kama My World, My Everything halafu Baba Mtoto nayeye anakuja kucomment My family.?

Kumbuka kuwa wewe hujawahi kutamkiwa hayo maneno na hata ukitamkiwa hauamini kuwa anamaanisha?

Aisee! Kweli mlioa Single Mother mna mioyo Migumu kulalaleki.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe uliyenae ulimkuta bikra mkuu?.. au Ni Mama WA marehemu mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]

Faida ya Kwanza ya single Maza anakupa assurance kwamba anaweza kuzaa.. sio Hao wenu unaweka ndani alafu unanza kuzunguka Kwa Mwamposa kutafuta mtoto..[emoji23][emoji23][emoji23]
Je akiwa singo maza na kizazi ishachomoka kwa mimba zilizofuata mbele..? Hio unaiitaje
 
Back
Top Bottom