Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Nimekutafakar unavyocheka huyo anaelea mtoto wa mwenzie ambaye n marehem,je ikitokea umetangulia mbele za haki(samahan lakin).Wanao wanao wasilelewe na mwanaume mwingine kisa sio mabao yao
Nikishakufa aliyekuwa mke wangu hayuko chini ya mamlaka yangu tena akiamua kuolewa na mwanamume mwingine hilo ni juu yake
 
Hua najaribu sana kukwepa kuandika maneno yanayoumiza hisia za hao masingle maza lkn saa zingine tunaflow tu!

Vijana wengi hizi harakati za pimbi dhidi ya singo mazaz mnafanya humu tu lakn kwa ground mnawaoa sana, miongoni mwa marafiki zangu naefanya nae kazi pamoja & tunaishi majirani na pro kitimoto mwenzangu January hii kaweka single mama ndani.....ni mzur kinoma yaan kwa uzur tu jamaa kapata kitu red carpet material 😁sema sio wife material
 
mwanaume mjinga na mpumbavu ndiye mwanaume pekee atakaye amua kuoa mke wa mtu huku na yeye akijisifu ana mke.

Nb: Umekosa bikra basi oa hata huyo Used aliyetoa mimba bila wewe kujua kuliko kuoa mke wa mtu
 
Hua najaribu sana kukwepa kuandika maneno yanayoumiza hisia za hao masingle maza lkn saa zingine tunaflow tu!

Vijana wengi hizi harakati za pimbi dhidi ya singo mazaz mnafanya humu tu lakn kwa ground mnawaoa sana, miongoni mwa marafiki zangu naefanya nae kazi pamoja & tunaishi majirani na pro kitimoto mwenzangu January hii kaweka single mama ndani.....ni mzur kinoma yaan kwa uzur tu jamaa kapata kitu red carpet material [emoji16]sema sio wife material
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Banae nimetoka kupokea muamala Muda huu kutoka Kwa single Maza..[emoji23][emoji23][emoji23]

Huko Malipo mnapokea miamala na kuwekwa kwenye mabilboard kama alivyofanya Zamaradi?..

Yani hata ukimsema vipi huyo uliyemzalisha hatumuachi ng'oo wahumi twala mpaka maini na bado ukizubaa mtoto unaweza usimpate vilevile..[emoji23][emoji23][emoji23]🦥🦥🦥
Wewe acha ujinga huyo single mother uliye nae anakudanganya!!

Wewe lini uliona damu ya mtu inachukuliwa kwa style hiyo.
Baba mtoto yupo na ndugu wa baba mtoto wanajua mtoto wao aliko.
 
Huu mtego nimedumbukia had kutangaza ndoa singo maza wana nguvu nyie nilizubaishwa nashtuka watoto wawil sjui nilipgwa juju [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Nipeni mbinu nijinasue kwny huu mtego wakuu .....
Ujinasue kwani anawasiliana na baba mtoto wake?

Kama wanawasiliana piga chini haraka sana.
 
Hao single maza wapo na nyinyi ili muwalelee watoto wao ila hakuna upendo wowote

Ni wanawake ambao wameshatombeka sana ili kujaribu kupata mwanamume mjinga mjinga wa kulea mtoto/watoto wake

Single maza akishaahidiwa ndoa tu lazima akutunuku mbususu ili umuoe

Wakiwapata wajinga wa kulea watoto wao wananendelea kuliwa mbususu na watu wao wanaowakubali kwa sababu wana uhakika wa malezi ya watoto. Speaking from experience
True mimi pia nina uzoefu na hili
 
Ana watoto wawili wananiheshimu sana kama baba Yao nami kanizalia mabinti wawili huwa nafarijika sana nikiwaona wakiwa na furaha muda wote huku wakicheza na kufurahi Kwa pamoja, kiufupi najivunia kuwa baba mlezi na baba wa familia nzima hayo mengine Baki nayo wewe
Maua kwako
 
SIngle maza wenyewe basi wanawaheshimu baba walezi ni ile basi tu maisha yaende.

Kwa sababu hata wao wanawake wakikutana huko wanawapondaga sana baba wa kambo wanawaitaga wajinga.

Nilishawahi kusikia single maza mmoja akiwa salon na mashosti zake wakisema Kweli mwanamume mzima anakosaje mwanamke ambaye hajazalishwa ila wewe shoga yangu mgande usimwache akulelee mtoto wako
Hiyo ndio habari ya mjini...huyo amepata chaka lake
 
Back
Top Bottom