Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wakati si huyo mama marehemu mbalimbali hata wanaume wengi wanashida sana, na ndiyo maana wanawake wengi wanachepuka na kuketa watoto ndani, wanaume wengi hujifanya hawana tatizo kumbe wao ndiyo shida, ila kwasababu mwanamke ndiye mbeba mimba anaangushiwa jumba bovuWewe uliyenae ulimkuta bikra mkuu?.. au Ni Mama WA marehemu mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]
Faida ya Kwanza ya single Maza anakupa assurance kwamba anaweza kuzaa.. sio Hao wenu unaweka ndani alafu unanza kuzunguka Kwa Mwamposa kutafuta mtoto..[emoji23][emoji23][emoji23]