Uko sahihi jamaa anashindwa kutofautisha mjane na single mother.Nikishakufa aliyekuwa mke wangu hayuko chini ya mamlaka yangu tena akiamua kuolewa na mwanamume mwingine hilo ni juu yake
Uko sahihi ni mke wa mtu kabisa huyomwanaume mjinga na mpumbavu ndiye mwanaume pekee atakaye amua kuoa mke wa mtu huku na yeye akijisifu ana mke.
Nb: Umekosa bikra basi oa hata huyo Used aliyetoa mimba bila wewe kujua kuliko kuoa mke wa mtu
Umeona mkuu? Tukiwaambia baba wa kambo humu wanasema tunajitungia stori wakati watu wana uzoefu naoTrue mimi pia nina uzoefu na hili
Umesema vyema sana mkuuUko sahihi jamaa anashindwa kutofautisha mjane na single mother.
Ukiwa umekufa ni sawa kabisa haupo tena.
Lakini ukiwa hai na mume wa huyo single mother nae yuko hai.
Never ever
Wengi ni single maza sema kimya kimya wanapitaNi red carpet material sio wife material..
Kwenye huu Uzi wanawake wengi wanaupita kimyakimya inamaana JF Hakuna single Mazas??[emoji23][emoji23][emoji23]
Usiwasikilize hao,Lea family yako ndugu,Ana watoto wawili wananiheshimu sana kama baba Yao nami kanizalia mabinti wawili huwa nafarijika sana nikiwaona wakiwa na furaha muda wote huku wakicheza na kufurahi Kwa pamoja, kiufupi najivunia kuwa baba mlezi na baba wa familia nzima hayo mengine Baki nayo wewe
HahahahahahahaJipe moyoooooo utayashinda[emoji23][emoji23][emoji23] mzimu wa mumewe bado unajipigia usiku kila siku
Majibu yako,hahahahahahahSasa mpaka unaoa ukujua kuwa ni singo maza na ana mtoto? Sasa asimpende mtoto, amuue?
HahahahahaWengi ni single maza sema kimya kimya wanapita
[emoji23][emoji23][emoji23]Habari zenu,
Hili ni swali kwa Vijana wabishi walioamua kuoa Single Mother.
Unajisikiaje pale unapoona Single Mother uliemuoa anampost mtoto wake na kuandika maneno kama My World, My Everything halafu Baba Mtoto nayeye anakuja kucomment My family.?
Kumbuka kuwa wewe hujawahi kutamkiwa hayo maneno na hata ukitamkiwa hauamini kuwa anamaanisha?
Aisee! Kweli mlioa Single Mother mna mioyo Migumu kulalaleki.
Je akiwa singo maza na kizazi ishachomoka kwa mimba zilizofuata mbele..? Hio unaiitajeWewe uliyenae ulimkuta bikra mkuu?.. au Ni Mama WA marehemu mbalimbali[emoji23][emoji23][emoji23]
Faida ya Kwanza ya single Maza anakupa assurance kwamba anaweza kuzaa.. sio Hao wenu unaweka ndani alafu unanza kuzunguka Kwa Mwamposa kutafuta mtoto..[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha,dahWengi ni single maza sema kimya kimya wanapita
Majibu alafu ni maswali hapo hapo πMajibu yako,hahahahahahah
Mama ntilie kwemah!Hahahahaha
Kwema kabisa,Mama ntilie kwemah!
Jf Kuna vijana wa hovyo.Majibu alafu ni maswali hapo hapo [emoji23]
anastahili nilichojibu.
Sana yahitajika mabadilikoJf Kuna vijana wa hovyo.
Hakuna nachotumia hapoπππ
kahawa au Juice unatumia ?
Heinken, Henessy, jagermeister, Zapa or ????? ππππHakuna nachotumia hapo