Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Unajisikiaje ukiandika mada mzuri na yenye maana lakini ukakosa replies.?

Wewe wapime wanao reply tu, hata thread yenyewe, utaona kabisa kuna wenye mawazo mazito na mawazo ambayo ni mepesimepesi yaani unajua tu hapa shule ipo au shule nusu, au hakuna kabisa , au hii shule amekariri kariri tu, hana uelewa ukimbana kidogo tu hana cha kujibu.

ni vizuri kwenda majukwaa tofauti tofauti hata jamii forum Kenya. jamii forum Ufaransa ( km french inapanda), Australia nk kuna majukwaa ya kiswahili nje ya nchi. upime hoja zako huko ktk majukwaa hayo uone, na zingine zilzo changamkiwa huko, ziibe huko ulete humu bisha maksudi. utajua akili zako ni kubwa au ndogo kiasi gani.

ANGALIZO;
usituhame wana JF kwa utamu wa huko nje kuna burudani yake hapa ndani kwetu. wana JF Hoyeeeeeee!

jibuni baaaasi! aaahah!
 
Tuendelee kuchat basi jaman tupate hata 1k huon kama unaifunga hiyo comment yako my handsome boy

Mkuu hilo neno la " my handsome boy" naona hunitakii mema, Mr. Mshan Jr. huwa hataki masihala kwenye mali zake! usinitafutie balaa!
 
Kwasisi waTz ni kawaida tu maana mambo ya umbea mbea ndo tunapenda na kuyashangilia
 
zamani tulikuwa tunaweza kuchangia kwa hoja lakini kwa sasa tunachangia kwa vihoja! watu wanapenda majibu mepesi kwa maswali mazito na makini. mfano kwanini huna hela? jibu serikali haina demokrasia lakini usimuulize muunganiko wa unachofanya na serikali kama atakuwa na majibu.
 
Mdogo wangu unaogopa kukosa likes.
Personally siwapendi wanaoendesha JF for obvious reasons!

Effort ya kwenda kufungua thread ni too much na hawa watu wanataka thread inayowafurahisha wao tu,kinyume chake wanaifuta au heavily censor it up which is total nonsense to me.

Ni heri niendelee kuchangia threads za watu maana tayari nipo kwenye second tier content generation loop walao nipo najibizana na hisia za watu baki which makes sense to me!

Plus,ninavyojijua threads nitakazotoa ni za ugomvi na Jiwe,atanitafuta mno na sipendi ugomvi bure!
 
Haya mambo ndio yanaingia hadi kwenye mifumo ya serikali....

Huu uzi nao umekosa wachangiaji ila ingekuwa issue za vibamia au kaandika famous fasta reply 1k alafu reply zenyewe ni nonsense tu.
Tatizo ni kwamba JF ya sasa imekosa ma GT.
 
Back
Top Bottom