dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kwahyo huo uzi mnaudiscus wawili tu!?[emoji3]Mshana nipo nae kwenye uzi flani amaizing sana kule mkuu,
Huyo ni mwanangu sana mkuu, nyue wengine mtakaa kwa adabu
Tupo wengi mkuuuukwahyo huo uzi mnaudiscus wawili tu!?[emoji3]
anafuata mkumbo tu huyo, ameona ni sifaKitimoto is back qmmmmq
Kheeeeeh tenaaa?? Makubwaaaaaa!!!Bure kabisa wewe hata kwa mkopo sikusogelei[emoji35][emoji35]
nani anafuata mkumbo ?anafuata mkumbo tu huyo, ameona ni sifa
Kuna vitu vinaleta raha sanaππππ don't take it personal brotherππππ hadi wewe Santos06 dah! Hahahaaa vilaza ni wengi sana....hahahahaa
View attachment 2626236
Mambo ya copy n paste.Kuna hii shida ingine imeingiwa na bacteria sasa inawashwa....
View attachment 2626233
Hata siwaelewi kabisa ni shida hii imeikumba JF yani kama corona kabisa hii ππππMambo ya copy n paste.
Washaona ye34nbe anafaidi sijuiππ
hahahahDo ya thing hommie.
I believe you are just doing this for fun.
Its okay to play sometimes.
We cant be serious all the time.
Kwa upande wangu huwa ukinitwangaga hizo dislike huwa nacheka sana.
Kuna mahali nilikutetea halafu ukanitwanga dislike nilicheka sana mana sikutegemea. Najua hata hii coment utaitwanga dislike mwehu wewe
kitimoto na santos06nani anafuata mkumbo ?
ππ Don't take things personal brother ππ huwezi kua serious mda wotekitimoto na santos06
Ewaaa rafiki tuendeleze mchezo π‘π‘π‘π‘π‘ππ Don't take things personal brother ππ huwezi kua serious mda wote
siyo kwamba kitimoto ndiye muanzilishi ?kitimoto na santos06
Yupo mwamba sahz kala banππsiyo kwamba kitimoto ndiye muanzilishi ?