Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi Kuna Dogo(Demu) Yuko form 6 mwaka huu (Mimi nilimaliza 2012) kanikuta nakula Cafe na ndugu yangu kakaniambia "Mambo" halafu mbele kamsalimia binamu yangu nimemzidi miaka 4 "shikamoo" Moyoni nikajitukana mwenyew Qmmke[emoji849]Wewe ni mimi Kabsa aisee sem tu mim ni mrefu hcho nd kinasaidia,
ila Sura yangu na Umri wangu nkikutajia ni Mbingu na Ardhi.
Madhara ya kutype Huku unavuka barabara[emoji28]Hauko pk yko uzuri mm nna vindezi vinaniaNza sa hv [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣vindevu dahMadhara ya kutype Huku unavuka barabara[emoji28]
Umewaza mbali sana[emoji1787]Yaan binadam walivo ukibaka hapo watakwambia jamaa hakuona watu wazima wenzake ila ss ivi wanakuona mtoto
Raha sanahabari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
👉Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
👉Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
👉Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
👉Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
👉inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
🤣🤣🤣Nakushauri tengeneza uwalaza feki. Yaani nyoa hapo katikati. pembeni acha nywele. Watakuogopa na kukuheshimu.
🤣🤣🤣acha pombe mkuu
habari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
[emoji117]Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
[emoji117]Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
[emoji117]Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
[emoji117]Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
[emoji117]inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
Kwangu mm ni vice versa naonekana mkubwa kuliko umri wangu, kuna siku nipo home nafyeka majani akaja jirani mzee sio sana nikamsalimia baada ya salamu akaulizia kaka yupo nikamjibu kaka haishi hapa, akanambia kaka ako si nimemuona muda si mrefu kaingia ndani, kumbe yeye siku zote anajua mimi ni mdogo ake na baba angu kutokana na muonekano wanguhabari wanajf,
Hili Jambo la kuonekana mdogo kuliko umri wangu limekuwa Jambo ambalo naona kwangu ni Kama laana au kama baraka Tena maana nikimwambia mtu umri wangu akanitazama na Mimi haamini.
Naonekana mdogo miaka kumi nyuma kuliko umri wangu halisi na hii imekuwa na madhara haya kwangu
👉Kushindwa kuchukuliwa sirias na watu.
👉Kushindwa ku date na baadhi ya wanawake kwasababu wanaoona Kama wanadate kijana mdogo wa shule.,
👉Kutokusikilizwa , na kupuuzwa.
👉Kukosa baadhi ya nafasi za kazi au uongozi sehemu Fulani Kwani watu wanakuuona Kama wewe ni mdogo Sana
👉inakupasa uwe ni mtu wa kujielezea Sana hata Kama ni interview basi unataja umri wako hata Kama hujaulizwa ili kuwa ondoa hofu. , hata Kama unatongoza msichana unakuwa unatamani umuonyeshe angalau cheti chako Cha kuzaliwa aamini.
Unaeza tamani uwe hata na ndevu tu lakini wapi!
hili Jambo naona Kama litanichelewesha kufika mbali kwani hata kukaa na watu wa Rika lako unaonekana Kama hupaswi kuwa hapo hivyo unajikuta umezungukwa na vijana wadogo , basi tu.
Hii hali inaweza kuwa ni nzuri kwa wanawake lakini kwa mwanaume inampunguzia heshima.
Kama Kuna mtu anapitia Maisha Kama haya naomba tusaidiane jinsi ya kukabiliana na hali hii.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Dah sio poaKwangu mm ni vice versa naonekana mkubwa kuliko umri wangu, kuna siku nipo home nafyeka majani akaja jirani mzee sio sana nikamsalimia baada ya salamu akaulizia kaka yupo nikamjibu kaka haishi hapa, akanambia kaka ako si nimemuona muda si mrefu kaingia ndani, kumbe yeye siku zote anajua mimi ni mdogo ake na baba angu kutokana na muonekano wangu
Nimecheka hadi nimepaliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Yaan binadam walivo ukibaka hapo watakwambia jamaa hakuona watu wazima wenzake ila ss ivi wanakuona mtoto
[emoji23] ushauri gn huuKabake ndio utajua km wewe unakua au hukui?