Unajua asili ya neno Tanzania linatokana na asili ya Kiarabau?

Unajua asili ya neno Tanzania linatokana na asili ya Kiarabau?

hilo neno la kwanza limefanya nisielewe swali lako, sorry
TanzanIA
LithuanIA
AlgerIA
ZambIA
RussIA
MongolIA
IndIA
EthiopIA
MauritanIA
NigerIA
TunisIA
Saudi ArabIA
SyrIA
IndonesIA
AustralIA

NB: Mleta mada Apuuzwe
 
bhachu
TanzanIA
LithuanIA
AlgerIA
ZambIA
RussIA
MongolIA
IndIA
EthiopIA
MauritanIA
NigerIA
TunisIA
Saudi ArabIA
SyrIA
IndonesIA
AustralIA

NB: Mleta mada Apuuzwe
Kuna muda huwa nawaza nchi nyingi hefuri ya mwisho ni A...is it a coincidence..?
Siyo coincidence!

Screenshot_20240625_001115_Instagram Lite.jpg
Screenshot_20240625_001105_Instagram Lite.jpg
 
Usijizime data. Nakuuliza siku hizi mnawatambua Ahmadiyya kuwa Waislam?
Mimi ni Muislam, yeyote anaeshahadia kwangu ni Muislam.

Sina dhehebu wala siyatambui madhehebu kwa kuwa katika Uislam hakuna mahali imefundish tuwe na madhehebu. Dhewbu letu ni Uislam tu.

Hayo mengine mtajuwa nyinyi mnaotaka kujaza watu ujinga wa kuwagawa muwatawale.
 
Usijizime data. Nakuuliza siku hizi mnawatambua Ahmadiyya kuwa Waislam?
Mimi ni Muislam, yeyoite anaeshahadia kwangu ni Muislam.

Sina dhehebu wala siyatambui madhehebu kwa kuwa katika Uislam hakuna mahali imefundish tuwe na madhehebu. Dhewbu letu ni Uislam tu.

Hayo mengine mtajuwa nyinyi mnaotaka kujaza watu ujinga wa kuwagawa muwatawale.
 
Nnachofahamu ni kuwa aliyetowa jina hilo ni Muislam na mshindi wa pili ambae alitowa jina hilohilo alikuwa ni Muislam pia. Wote wana asili ya Asia. Mmoja kutokea Tanga mmoja kutokea Morogoro, kama sijakosea.

Wakati huo wajomba wa kikatoliki walikuwa bado hawajafunguliwa macho na masikio na Nyerere, walikuwa kwenye slumber.
Inferiority complexities at its best!
 
Mimi ni Muislam, yeyote anaeshahadia kwangu ni Muislam.

Sina dhehebu wala siyatambui madhehebu kwa kuwa katika Uislam hakuna mahali imefundish tuwe na madhehebu. Dhewbu letu ni Uislam tu.

Hayo mengine mtajuwa nyinyi mnaotaka kujaza watu ujinga wa kuwagawa muwatawale.
Safi sana. Naona sasa umemkubali Mizra Gullam kuwa mtume wako wa mwisho
 
Unajua asili ya neno Tanzania kwamba linatokana na neno la Kiislam?
Tan - Tanganyika
Zan- Zanzibar
TANZANI jee unajua herufi IA zinatokea wapi? zikakmilisha neno TANZANIA?

CC
Sheikh Mohd Said
na wasomi wenzangu tulisoma seminary za wakatoliki
I maana yake India A Asia
 
Hivi unaamini Nyerere kwa namna aliipenda Tanganyika by then angeruhusu huo upuusi?Endeleeni kudanganyana huko kwenye vijiwe vya kahawa.Kwamba jina la mtu na dhehebu lake viwe sehemu ya jina la nchi?
Hawa watu wanatia huruma basi tu, Tuishi nao hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom