Unajua asili ya neno Tanzania linatokana na asili ya Kiarabau?

Unajua asili ya neno Tanzania linatokana na asili ya Kiarabau?

Nnachofahamu ni kuwa aliyetowa jina hilo ni Muislam na mshindi wa pili ambae alitowa jina hilohilo alikuwa ni Muislam pia. Wote wana asili ya Asia. Mmoja kutokea Tanga mmoja kutokea Morogoro, kama sijakosea.

Wakati huo wajomba wa kikatoliki walikuwa bado hawajafunguliwa macho na masikio na Nyerere, walikuwa kwenye slumber.
Kuachiwa kinafasi kidogo cha kutoa jina.unajigamba namna hii. Ndio mana mfumo katoliki umewanyoosha sana nchi hii
 
Ta....nza.... Neno la mwsho...ni "NIA" ...wakimaanisha "nia" ya kuungana...
Nb: amewahi kutoa ufafanuz huu msomi flan wa Basata huko miaka flan ....
 
Ukifatilia nchi zote duniani zenye influence na lugha ya kilatin, kigiriki au zilizopata majina wakati wa ukoloni mwishoni mwa jina lake zinaishia na hizi herufi IA.

Ukiachana na Tanzania, Kuna Nigeria, Italia, Serbia nk. Hizi herufi mbili za mwisho zinamaanisha land au ardhi. Hakuna cha uislam Wala ukristo hapo, shwaini
 
Inaitwa Persia sio Persian
Kati ya yooooooteee uliloliona ni hili tu? Na hauko sahihi by the way.

Persia ni nomino (noun) - Uajemi

Kinachoongelewa hapa ni lugha ya Kiajemi (Persian language). Ulitaka hata Kiajemi nacho kiitwe Persia na siyo Persian? 😳

Kazi kweli kweli yaani! 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Kiambishi ia kwenye jina la nchi yoyote mfano zambia,Tanzania ,Australia,Russia n.k asili yake ni kilatini na feminine nature na humanisha ''land of"kwa kiswahili ''ardhi ya.kwa kesi ya Tanzania,-ia humanisha ardhi ya Tanzan yaani ardhi ya Tanganyika na Zanzibar.Nchi nyingi zinaishia neno ia ambayo asili yake ni kilatini kwa sababu ya utawala wa Roman empire iliyosambaza lugha ya kilatini sehemu kubwa ya dunia.kwa sababu hiyo waliotoa jina Tanzania walizingatia sababu hiyo either kwa kujua ama kutojua.
 
Kiambishi ia kwenye jina la nchi yoyote mfano zambia,Tanzania ,Australia,Russia n.k asili yake ni kilatini na feminine nature na humanisha ''land of"kwa kiswahili ''ardhi ya.kwa kesi ya Tanzania,-ia humanisha ardhi ya Tanzan yaani ardhi ya Tanganyika na Zanzibar.Nchi nyingi zinaishia neno ia ambayo asili yake ni kilatini kwa sababu ya utawala wa Roman empire iliyosambaza lugha ya kilatini sehemu kubwa ya dunia.kwa sababu hiyo waliotoa jina Tanzania walizingatia sababu hiyo either kwa kujua ama kutojua.
Bwana wee asili ya IA kwa mujibu wa wenye dini yao ni Ikbar Ahmadiya.Umesoma shule gani wewe?
Bila sisi wenye dini yetu nchi hii isingekuwa popote.
 
Unajua asili ya neno Tanzania kwamba linatokana na neno la Kiislam?
Tan - Tanganyika
Zan- Zanzibar
TANZANI jee unajua herufi IA zinatokea wapi? zikakmilisha neno TANZANIA?

CC
Sheikh Mohd Said
na wasomi wenzangu tulisoma seminary za wakatoliki
vichaa vya dini is real!!
Yanayoturudisha nyuma ni haya ambayo yanafikiria dini kila wakat
 
Bwana wee asili ya IA kwa mujibu wa wenye dini yao ni Ikbar Ahmadiya.Umesoma shule gani wewe?
Bila sisi wenye dini yetu nchi hii isingekuwa popote.
Wathibitishe jambo hilo na vipi nchi zingine za dunia ambazo majina yake yanaishia na ia nayo inffluence ni kiislam?
 
Kwani hilo neno uislam ni dubwasha kubwa kiasi gani hadi lionekane linatisha watu?naona wengi mnasema wanaogopa hilo nipe mantiki kwanini unadhani linaogopwa.
linatenda haki, na dunia hii wengi wao ni mafisadi na madhluma ndio maana wanaogopa uislam
 
Nnachofahamu ni kuwa aliyetowa jina hilo ni Muislam na mshindi wa pili ambae alitowa jina hilohilo alikuwa ni Muislam pia. Wote wana asili ya Asia. Mmoja kutokea Tanga mmoja kutokea Morogoro, kama sijakosea.

Wakati huo wajomba wa kikatoliki walikuwa bado hawajafunguliwa macho na masikio na Nyerere, walikuwa kwenye slumber.
Kazi ya akhera hiyo kwa wenye nchi yao!!
 
Ukifatilia nchi zote duniani zenye influence na lugha ya kilatin, kigiriki au zilizopata majina wakati wa ukoloni mwishoni mwa jina lake zinaishia na hizi herufi IA.

Ukiachana na Tanzania, Kuna Nigeria, Italia, Serbia nk. Hizi herufi mbili za mwisho zinamaanisha land au ardhi. Hakuna cha uislam Wala ukeisto hapo
Wewe hujui kitu mkuu,hilo jina ni la kiislam limetokana na kutoholewa kutoka kwenye Deen yetu tukufu sana na lilibuniwa na muislam mwenzetu aliyesoma dini kumkaribia mtume
 
Wewe hujui kitu mkuu,hilo jina ni la kiislam limetokana na kutoholewa kutoka kwenye Deen yetu tukufu sana na lilibuniwa na muislam mwenzetu aliyesoma dini kumkaribia mtume
😅😅 Naona unawainjoi wafia Deen tukufuuu
 
Bwana wee asili ya IA kwa mujibu wa wenye dini yao ni Ikbar Ahmadiya.Umesoma shule gani wewe?
Bila sisi wenye dini yetu nchi hii isingekuwa popote.
😂😂😂😂 Hakika kosa vyote usikose elimu!

Sijui wanajisikiaje wakisoma ufafanuzi uliowekwa wenye mantiki zaidi ya huu ujinga wao.
 
Back
Top Bottom