Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio utuwekee tuone Big ashafanya mangapi mazuri ya kuigwa.Tupa qumerr tu..Msikilize notorius B.I.G
Tupa alibamba kwasababu ya lifestyle yake, ila kimziki yani punch to punch, mistari mikali, biti kali, style kali...tupa hamgusi BIG hata kwa mbali
Pac hakuwa mnafiki, ukizingua anakuchana. Alimchana hadi dr Dree tena live uso kwa uso. Kesho yake dr akaacha studio ya deathrow na kuhamia katika studio nyingine.ile michano kwenye HIT EM UP daaa !!! jamaa alikuw mhuni vibaya mno.sio hawa marapa wakiwa wanakuchana wanaficha ficha unabaki unajiuliza kanichana mimi au kamchana fulan
sasa mwamba yeye alikuwa anaanza na jina la mhusika ,halafu zinafuata mazafacka sasa[emoji3]
na ndivyo maisha yanavyotakiwa yawe,nikikosea nichane sio kuniwekea mafumbo kama hawa marappa wa kibongo.
Hakika mkuu 😂😂😂You crame to be player but I JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala your wife ,hit them up.kuchapiwa kunauma ,big apa aliumia sana
Ya ila sio wabongo wote waliomuiga Nelly, wapo wengine walimuiga Sisco, wengine DMX wengine Pac na kilemba chake, suruali mlegezo nk.Mkuu ukimalizi unitajie na wasanii wa Bongo waliokua wanamuiga lifestyle ya Nelly😅.
Ile kuvaa Kofia ya kuxhwa wazi, kuvaa singlend juu ya shati.
Mimi naanza na Jaymoo...
Ndoto ya kila msanii wa Bongo ilikua kua kama Nelly.
Sio kifo bali uwezo aliokuwa nao mkuu. 2pac kama haukumfatilia vizuri hauwezi kumjua, ila ukiwa mfuatiliaji wa life style yake utamjua tu.Mi naona kama 2pac ana kuzwa sana.
Sijui ndo tuseme nyota...au ndo kifo!!!! Maana ukifa napo una trend
Huna ulijualo yaani BIG alijitahidi kujulikana maeneo ya New York, wakati hadi wewe hapo mpitimbi unamfahamu.Sio kifo bali uwezo aliokuwa nao mkuu. 2pac kama haukumfatilia vizuri hauwezi kumjua, ila ukiwa mfuatiliaji wa life style yake utamjua tu.
Kumbuka mama yake 2pac alikuwa ni kiongozi wa black panther (chama cha kupigania uhuru wa mtu mweusi Marekani) Yeye alikuwa kiongozi pale New York kwa upande wa wanawake.
Kwahiyo 2pac na familia yake walianza kujulikana na kufuatiliwa na FBI pamoja na CIA toka 2pac hajazaliwa, baada ya kuzaliwa na mpaka alipokuwa mkubwa.
Wewe unafikiri hao wasanii wakubwa kujaribu kuwa kama yeye na kumtaja taja ni kwa bahati mbaya? Mbona hawakumtaja au kuiga kutoka kwa Big Punish, mbona hawakumtaja au kuiga kutoka kwa Easy E, 50 Cent Original hao wote niliokutajia wameshakufa kabla na wengine baada ya 2pac lkn hawajulikani kivile kwa sababu hakuna la maana walilofanya ambalo lingefanya wasanii wengine wa waige.
Angalau BiG kidogo alijitahidi na kukubalika maeneo ya New York.
Tupa qumerr tu..Msikilize notorius B.I.G
Tupa alibamba kwasababu ya lifestyle yake, ila kimziki yani punch to punch, mistari mikali, biti kali, style kali...tupa hamgusi BIG hata kwa
Ligi ipi?kwahiyo unanilazimisha naamini kama wewew?Unatafuta ligi au?
Kwahiyo watu wa Kenya na Tanzania wakisoma mfano post zako na kujua jina lako unalotumia hapa JF tayari na wewe utajiona maarufu kama Samata, Mondi nk?Huna ulijualo yaani BIG alijitahidi kujulikana maeneo ya New York, wakati hadi wewe hapo mpitimbi unamfahamu.
Hivi umesoma post vizuri?2pac kilichompa umaarufu ni mdomo mchafu au usema ovyo (big mouth). Ila kwa mistari hamfikii hata Nas hata robo tu hagusi.
weka fact za Big tuone acha kumbwela!Ligi ipi?kwahiyo unanilazimisha naamini kama wewew?
Narudia tena.Hivi umesoma post vizuri?
Unamzungumzia Nas ambae alikuwa anafanya mziki wake kupitia kimvuli cha 2pac? Nas huyu huyu ambae alikuwa akimuiga, na mpaka leo anaendelea kumuiga 2pac kimavazi?
2pac alikuwa ashamchana Nas live bila kupepesa macho, na Nas hakuwa na uwezo wa kutunga nyimbo ya kumjibu.
[emoji445] This little nigga named Nas thinks he live like me, talking bout he left hospital took five like me.
You living fantasies, nigga i reject your deposit[emoji445]
Ni nyimbo zipi au kitu kipi ambacho Nas alifanya wasanii wenzake wakubwa wakakiiga kama walivyoiga kwa 2pac?